ninyi mtajinasua lini kutoka kwenye hili ziwa la umasikini? View attachment 1286280View attachment 1286281
paining truth lol mlifikiri mkifake GDP itajicopy mpaka kwenye reality population in poverty?approximately 70 per cent of Tanzanians continue to live on less than US$2.00 a day.
Yaani asilimia 70% maaskini wa kutupwa....
Hizo asilimia nyingine 30% ni wahindi na waarabu, ila nyie mpo nje nje
Prove your allegations that Kenya ni 48% with world Bank and IMF reports,.LOL anasema Tanzania masikini wa kutupwa wakati population below the poverty line ni 26% wakati Kenya ni 48% sasa sijui hapo nani wa kumcheka mwenzake
Huku wenyewe wakisaidiwa chakula na 99.9% desert country View attachment 1286264
Leta reports za World bank ama IMFpaining truth lol mlifikiri mkifake GDP itajicopy mpaka kwenye reality population in poverty?
Kenya ninyi bado mafukara sana, kama hamuwezi kununua unga mpaka serikali itoe ruzuku je tuendelee bado kujadili hali ya umasikini wenu? Mnakufa njaa na kupokea misaada ya chakula daily View attachment 1286376View attachment 1286377
Acha wajibambe na hizo fake blogs. Hawana credible informationLeta reports za World bank ama IMF
NOT githeri blogs....
Tuletee ya kenya πππLeta reports za World bank ama IMF
NOT githeri blogs....
Ingekuwa kenya ndio asilimia ndogo isingekuwa fake blogs πππAcha wajibambe na hizo fake blogs. Hawana credible information
paining truth lol mlifikiri mkifake GDP itajicopy mpaka kwenye reality population in poverty?
Kenya ninyi bado mafukara sana, kama hamuwezi kununua unga mpaka serikali itoe ruzuku je tuendelee bado kujadili hali ya umasikini wenu? Mnakufa njaa na kupokea misaada ya chakula daily View attachment 1286376View attachment 1286377
Attention seeker wewe! Nani alikuambia uniquote in the first place?Usini QUOTE
LOL hawaamini macho yaoTuletee ya kenya πππ
πππLOL hawaamini macho yao
Naona wanalialia tu
Sawa professor.Aha haa
Kwenye Kamusi Kuu ya Kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Inasema Nishati Jadidifu inahusisha nishati itokanayo na upepo, jua, maji, joto ardhi na mboji. Ni nishati rafiki kwa mazingira. Ndiyo maana tumeapa kutekeleza mradi mkubwa wa umeme wa Bonde la Nyerere licha ya propaganda za kuwa mradi siyo rafiki wa mazingira.
Walifikiri kama wameweka kufake gdp basi kazi yote kwisha lolIngekuwa kenya ndio asilimia ndogo isingekuwa fake blogs πππ
Wanapenda kujifariji ujinga sana na rank za kijinga zisizoendana na hali halisi πππWalifikiri kama wameweka kufake gdp basi kazi yote kwisha lol
Halafu kitu wakenya hawajui ni maana ya GDP (jumla ya bidhaa zilizozalishwa mostly industrial products)
Sasa wao wanadhani kuzalisha bidhaa nyingi ndio kuondoa umasikini, kuzalisha bidhaa hakuna uhusiano wowote na kuondoa umasikini
Viwanda viwili tu vya General motors na General electric vya marekani vinaweza kuset biashara yao Tanzania na kwa muda mfupi Tanzania ikawa na gdp kubwa Africa
Lakini je huo uzalishaji mkubwa wa hivi viwanda viwili ndio umemaliza kabisa tatizo la maji, barabara, umeme, afya, elimu, lishe Tanzania nzima?
Sasa jinsi walivyo na akili ndogo wanafikiri gdp kubwa ndio kila kitu kwisha lol
Nyie pia mna chuki sana na Kenya kwanza Geuza milele, baridi la jiwe na akili punguani. Wote watatu wana chuki sana na Kenya. Fuatilia nyuzi zao uoneHivi wewe huwezagi kuiongelea Kenya vizuri bila kuzidunisha nchi nyingine? Mbona mna chuki zisizokoma muda wote? Sehemu wala haihitajiki chuki kabisa lakini unaiibua ili Kenya ionekane bora?
Toa boriti jichoni kwako kabla ya kuanza kuangaika kutoa machoni pa wengine.Nyie pia mna chuki sana na Kenya kwanza Geuza milele, baridi la jiwe na akili punguani. Wote watatu wana chuki sana na Kenya. Fuatilia nyuzi zao uone
LOL waangalie Nigeria, ndio inaongoza kwa gdp kubwa Africa lakini pia ndio nchi masikini number moja AfricaWanapenda kujifariji ujinga sana na rank za kijinga zisizoendana na hali halisi πππ
Wao huongea kwa facts sio kwa chuki kama huyo mkenya mwenzako, yeye pekee ndio naona ana chuki ya wazi waziNyie pia mna chuki sana na Kenya kwanza Geuza milele, baridi la jiwe na akili punguani. Wote watatu wana chuki sana na Kenya. Fuatilia nyuzi zao uone
GDP ya kwenye makaratasi πππLOL waangalie Nigeria, ndio inaongoza kwa gdp kubwa Africa lakini pia ndio nchi masikini number moja Africa
India na yenyewe ina gdp kubwa size ya G7 lakini ndio nchi yenye masikini wengi dunia nzima
Wakenya bado sana, elimu ndogo