Kenya ndio nchi masikini katika ukanda wa EAC

Kenya ndio nchi masikini katika ukanda wa EAC

Who are you to dispute a recognized magazine? So between a written article by a recognized institution and an oral reported message without any numbers to support the claim which one do you believe in?
Sasa ulitegemea east african lisemeje, hilo gazeti lina beef na Tz kitambo. Hujui? Leta evidence from a reputable source.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ingekua Kenya ni nchi masikini kabisa ukanda huu, Watanzania wasingejaza miji yetu kutembeza bakuli/ kuombaomba. Wangebakia hukohuko Tanzania kuchuna pesa kwenye miti, avocado na madini

Nategemea miwape pesa mingi waache kuomba,kumbe mnapeana na masikini kwa masikini kwa 2bob.
 
Takwimu za 2018 kutoka kwa U.N. Nchi- Idadi ya wananchi masikini- %. 2018 GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX | Human Development Reports

1. Nigeria - 99 166 000 - 51.95%
2. Ethiopia - 85 834 000 - 83.82%
3. DRC - 57 050 000 - 72.46%
4. Tanzania - 30 915 000 - 55.63%
5. Uganda - 23 549 000 - 56.76%

6. Mozambique - 20 913 000 - 72.54%
7. Sudan - 20 738 000 - 52.40%
8. Madagascar - 19 366 000 - 77.79%
9. Kenya - 18 837 000 - 38.87%
10. Niger - 18 727 000 - 90.59%
11. Burkina Faso - 15 655 000 - 84.01%
12. Angola - 15 494 000 - 51.17%
13. Mali - 14 056 000 - 78.11%
14. Chad - 12 409 000 - 85.86%
15. South Sudan - 11 242 000 - 91.92%
16. Cote d'Ivoire - 10 926 000 - 46.11% NB: Zimepangwa kulingana na wingi wa idadi ya wananchi ambao ni masikini, sio % ya wananchi masikini kwenye nchi husika.
 
Kuna siku niliwahi kusema ktk UZI flan maskini wa TZ na maskini wa KE mara 1000 maskini wa TZ kuliko KE. kwa sababu nilikuwa najua hilo ILA nika mwambia MKE mmoha ya kuwa NAIRB ni pazuri kuliko DSM pengine ni jiji tajiri kbs lkn sio nchi ya kenya ni tajiri .. unfortunately kuna mwaka flan mtangazaji mmoja wa KE anaitwa Kamene Goro alikuwa ktk show moja ya HOT96 aambiwa yule mdada akasema eti TZ kuifikia KE inasubiri mara 500 😀😀😀 nilicheka sanaaa
aiseee kuna watu tanzania ni maskini we sikia tu hivo hivo!.......


yan inapokua ishu ya umaskini kuna watu hata marekani ni maskini wa kutupwa mpk unashangaa


umaskini wa mtu mmoja mmoja hauhitaji kushabikia,....... nina uhakika hujapita baadhi ya maeneo magumu ya tanzania, japo kenya pia maskin wa kutupwa wapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aiseee kuna watu tanzania ni maskini we sikia tu hivo hivo!.......


yan inapokua ishu ya umaskini kuna watu hata marekani ni maskini wa kutupwa mpk unashangaa


umaskini wa mtu mmoja mmoja hauhitaji kushabikia,....... nina uhakika hujapita baadhi ya maeneo magumu ya tanzania, japo kenya pia maskin wa kutupwa wapo!

Sent using Jamii Forums mobile app


Nafikiri we ni mgeni ktk forum ya EAC hususani humu KE ila sio mbaya Hawa ndugu zetu wa Kenya walishawahi kuleta UZI humu JF wakijinadi ya kuwa wao ni developed country na sio developing country kidogo ilitushitua ss wang'amuzi wa mambo ya maendeleo, watu na mazingira iliongeza curiosity ss pita pita yangu nikasikia makala ya redio Dutch vede hidhaya ya kiswahili ... wakisema ya kuwa KE ni nchi maskini ndio nikawaletea hapa hii taarifa kwa hawa ndugu zetu,..kwa swala uelewa wa umaskini binafsi naelewa sana umaskini upo hata US na naelewa umaskini uliopo ndani ya nchi yangu
 
Compare that with Tanzania the Poorest country in the world.. .... ...
Poorest country in what measure?
- we feed ourselves,
- we build new railway systems with our own money,
- we fund our biggest project (the electric dam),
- we build another phase of BRT,
- we buy new planes with cash,
- we design our own roads, bridges, skyscrapers and fund them with our own money.

Oh, BTW all these happening concurrently.
 
Hapa motanzania ambayo imezoea propaganda na kupumbazwa hawawezi kubali, report ya radio it can come from an opinion from someone's thinking, it ain't necessarily factual, lakini ju wameone DW ama iwe BBC, basi ni sawa., umefanya vyema kuweka concrete facts. Ni aibu kwa nchi kama Tanzania to be ranked such low in extreme poverty index.
Home

News

East Africa

Sub-Saharan Africa is likely to miss poverty targets: WB

WEDNESDAY FEBRUARY 6 2019







[https://www]

Members of the public wait to get food ration in Kenya. Sub-Saharan Africa has little or no chance of achieving the UN target of having not more than three percent of its population living in extreme poverty by 2030, according to a new World Bank report. PHOTO | FILE | NMG

In Summary

Poverty rates have declined dramatically since the early 1990s but the rate of decline is now decelerating.

While Kenya is now among the sub-Saharan African countries described as lower middle-income, this has not helped close the poverty gap between the rich and the poor.

ADVERTISEMENT

[https://www]By PAUL REDFERN
More by this Author

Sub-Saharan Africa has little or no chance of achieving the United Nations target of having not more than three percent of its population living in extreme poverty by 2030, according to a new World Bank report.

While rates of absolute poverty have declined dramatically across many parts of the African countries since the early 1990s, the rates of reduction are now decelerating.

The report says that in 2015, the last year for which detailed government statistics are available, more than half of the 736 million global poor resided in sub-Saharan Africa and more than 85 percent of the poor resided in either SSA or South Asia.

Poverty gap

The World Bank says about 368 million people — half of the total extremely poor — lived in just five countries: India, Nigeria, Democratic Republic of Congo, Ethiopia, and Bangladesh. They also happen to be the most populous countries of South Asia and sub-Saharan Africa.

However, the rates of poverty reduction are far greater in South Asia than sub-Saharan Africa, leading the World Bank to declare that this year Nigeria will overtake India in terms of having the most people living in extreme poverty; that is, living on less than $1.90 a day.

Related Content

How Tanzania is lifting slum dwellers out of poverty

“Simulations show that, as the number of the poor continues to decline in South Asia, the forecasts based on historical regional performance indicate that there will be no matching decline in poverty in sub-Saharan Africa.”

In East Africa, Tanzania has more people living in extreme poverty, some 21.9 million, followed by Kenya at 17.6 million and Uganda's 15.8 million.

While Kenya is now among the sub-Saharan African countries described as lower middle-income, this has not helped close the poverty gap between the rich and the poor.

Global poor

By 2030, the share of the global poor residing in sub-Saharan Africa is forecast to be about 87 percent, “if economic growth over the next 12 years is similar to historical growth patterns.”

Around three quarters of the 43 countries with poverty rates above the average of 18 percent are in sub-Saharan Africa, where average rates stand at 41 percent.

The report states that “many of the countries with high poverty numbers, including Bangladesh, India, Indonesia, Kenya, and Nigeria, have grown their economies out of the low-income-country status and are now middle-income countries.”

The World Bank notes that there remain “significant challenges to reaching the goal of a world free of poverty. Meeting the global target of reducing extreme poverty to less than 3 percent will require substantially greater efforts … By 2030, under all but the most optimistic scenarios, poverty will remain in double digits in sub-Saharan Africa.”

The global poverty estimates are based on household surveys from 164 countries.







Related Stories

6/2/2019

How Tanzania is lifting slum dwellers out of poverty

[https://www]

Govt decision to issue slum dwellers with residential licences is changing lives.

ADVERTISEMENT


by Taboola

Sponsored Links

You May Like

This App Teaches Complete Beginners a New Language in 15 Minutes a DayBabbel

15 Cancer Causing Foods You Might Be Eating EverydayActive Feel

How To Reduce Weight NaturallyPurple Mangosteen | Supplement

Flights In Kenya At Ridiculously Low PricesSave70.com

The 9 Best Herbs for Kidney CleansingFood Eat Safe

Top 10 Cheapest Places To Travel To Right NowBleuBloom.com

9 Things That Happen When You Start Eating Ginger DailyFood Prevent

6 Signs You May Have CancerSigns You

In the headlines

Uganda issues advisory on Rwanda travel

[https://www]

No end in sight for Rwanda and Uganda disputes.

TZ orders cleanup at Acacia gold mine, threatens closure

[https://www]

Mining minister says Acacia must stop contaminated water seeping from a waste storage dam.

Planes operating from JKIA seek fuel in neighbour airports

TZ opposition leader freed after nearly four months

Kagame, Magufuli meet in Dar for bilateral, EAC talks

Four dead in Mogadishu car bombing

Airlines count losses in Kenya airports staff strike

Kenya, Somalia fail to settle border row

SUDAN UNREST

1REST OF AFRICA Sudanese protesters defy measures to rally in Khartoum

2EAST AFRICA Rebel leader rebuffs Igad invitation

3REST OF AFRICA UN appeal for S. Sudan activist

4REST OF AFRICA Sudan state of emergency curbing public freedoms - minister

5EAST AFRICA UN accuses oil firms of fuelling armed conflict in S.Sudan

EAC INTEGRATION

1BUSINESS Uganda says Rwanda breaking EAC rules

2EAST AFRICA PART 4: The East African Century is already upon us

3EAST AFRICA Zanzibar wants to name its own EALA members

4BUSINESS Tanzania rolls out vehicle load control law

5EAST AFRICA Border closure: Rwanda tells citizens to stay home!

LATEST NEWS

1COMMENT When people feel safe, national unity flows effortlessly

2WORLD Papua's men-only parliament eyes seats for women

3EAST AFRICA Uganda issues advisory on Rwanda travel

4BUSINESS TZ orders cleanup at Acacia gold mine, threatens closure

5BUSINESS Planes operating from JKIA seek fuel in neighbour airports

6COMMENT To feed his family, a man needs to enter the kitchen

7REST OF AFRICA Sudanese protesters defy measures to rally in Khartoum

8SCIENCE & HEALTH Battle against Ebola being lost amid militarised response

9REST OF AFRICA Comoros president survives assassination attempt

10EAST AFRICA TZ opposition leader freed after nearly four months

NEWS

East AfricaRest Of AfricaWorld

BUSINESS

OPED

Politics And Verse

SCIENCE & HEALTH

MAGAZINE

SPORTS

REST OF AFRICA

[https://www]

Apps

[https://www]


[https://www]

Information

Terms

Privacy Policy

Syndication

Newsfeeds

Help

Contact us

About us

NMG Sites

Africa Review

Rwanda Today

Daily Nation

Business Daily

NTV

Daily Monitor

The Citizen

Mwananchi

Swahili Hub

Follow us



The East African

Ad

View attachment 1040867

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilaza haujasoma hataaa! Tulia ukweli ukuingie hadi kwenye matumbo.
Therefore your intention is to oppose the motion (theme) ? OR , because I have gone through the article you attached here but I see another story it is like the other side of the coin from the head to tale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atasema East African newspaper ni ya Kenya., mtafutie report sahihi from other sources, pia South Africa na Nigeria wako na hii report saw in their news, Nigeria walikubali nao wameamua kuweka mikakati ya kupambana na hali yao., lakin Mitanzania na umasikini jeuri hawajakubali, lao ni waone Kenya tukoje ili wajifariji, badala ya kushughulikia hali. Ole wao wadanganyika., nchi ovyo EAC.
Just say you haven't read the article.This is what I wanted you to read.View attachment 1040968

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu za 2018 kutoka kwa U.N. Nchi- Idadi ya wananchi masikini- %. 2018 GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX | Human Development Reports

1. Nigeria - 99 166 000 - 51.95%
2. Ethiopia - 85 834 000 - 83.82%
3. DRC - 57 050 000 - 72.46%
4. Tanzania - 30 915 000 - 55.63%
5. Uganda - 23 549 000 - 56.76%

6. Mozambique - 20 913 000 - 72.54%
7. Sudan - 20 738 000 - 52.40%
8. Madagascar - 19 366 000 - 77.79%
9. Kenya - 18 837 000 - 38.87%
10. Niger - 18 727 000 - 90.59%
11. Burkina Faso - 15 655 000 - 84.01%
12. Angola - 15 494 000 - 51.17%
13. Mali - 14 056 000 - 78.11%
14. Chad - 12 409 000 - 85.86%
15. South Sudan - 11 242 000 - 91.92%
16. Cote d'Ivoire - 10 926 000 - 46.11% NB: Zimepangwa kulingana na wingi wa idadi ya wananchi ambao ni masikini, sio % ya wananchi masikini kwenye nchi husika.

Tatizo mnatumia vipimo tofauti kupima kitu kimoja.

Dola moja kwa Tanzania ina uwezo wa kununua vitu vingi kuliko Kenya, kwa hiyo huwezi kutumia upatikanaji wa dola moja kama kigezo cha umasikini bali uwezo wake wa kununua. Hao masikini wa Tanzania wengi wao wana mashamba na nyumba zao kitu ambacho wakenya masikini hawana.
 
Stupid mind!!! Uwezi kuwa mpumbavu kiwango hiki. Such deliberate ignorance!!!., Tanzania moja, your revenue is clear, can't even finance national budget, which has a bulk of recurrent expenditures, and other basic needs like health, education etc., haya mengine no obvious porojo ya CCM., did you check your debt to GDP?., and the GDP is around $55B., do the maths wacha pang'ang'a za abunuasi., huu ujinga wa Watanzania una kera wakati wote. Hamuwezi bebwa ujinga miaka hii yote, kwanza hii karne!!
Poorest country in what measure?
- we feed ourselves,
- we build new railway systems with our own money,
- we fund our biggest project (the electric dam),
- we build another phase of BRT,
- we buy new planes with cash,
- we design our own roads, bridges, skyscrapers and fund them with our own money.

Oh, BTW all these happening concurrently.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mnatumia vipimo tofauti kupima kitu kimoja.

Dola moja kwa Tanzania ina uwezo wa kununua vitu vingi kuliko Kenya, kwa hiyo huwezi kutumia upatikanaji wa dola moja kama kigezo cha umasikini bali uwezo wake wa kununua. Hao masikini wa Tanzania wengi wao wana mashamba na nyumba zao kitu ambacho wakenya masikini hawana.
Kina nani hao? Hizi ni takwimu kutoka UNDP, Global Multidimensional Poverty Index. Hayo yote unayoyasema yamezingatiwa, hadi na aina na hali ya nyumba wanazoishi, vyoo wanavovitumia, ubora wa lishe n.k., n.k. Ila sio lazima uzikubali takwimu hizi, kuna option nyingine ambayo haihitaji data, k.m. gumzo kwenye vipindi vya radio, umbea mitandaoni n.k. chaguo ni lako.
 
Stupid mind!!! Uwezi kuwa mpumbavu kiwango hiki. Such deliberate ignorance!!!., Tanzania moja, your revenue is clear, can't even finance national budget, which has a bulk of recurrent expenditures, and other basic needs like health, education etc., haya mengine no obvious porojo ya CCM., did you check your debt to GDP?., and the GDP is around $55B., do the maths wacha pang'ang'a za abunuasi., huu ujinga wa Watanzania una kera wakati wote. Hamuwezi bebwa ujinga miaka hii yote, kwanza hii karne!!

Sent using Jamii Forums mobile app
I can easily draw a vertical asymptote to show the limiting value of your irrational thinking.
 
Kina nani hao? Hizi ni takwimu kutoka UNDP, Global Multidimensional Poverty Index. Hayo yote unayoyasema yamezingatiwa, hadi na aina na hali ya nyumba wanazoishi, vyoo wanavovitumia, ubora wa lishe n.k., n.k. Ila sio lazima uzikubali takwimu hizi, kuna option nyingine ambayo haihitaji data, k.m. gumzo kwenye vipindi vya radio, umbea mitandaoni n.k. chaguo ni lako.

Tatizo sisi waafrika hatuhoji maswali ya maana, tunapelekeshwa na kukubali tuu, kwa kuwa ni UN.

Kutumia kigezo cha dola moja/mbili kama kipimo cha umasikini, si sawa. Kipimo halisi ni uwezo wa hiyo dola kuweza kutumika (PPP) kati ya nchi na nchi.

Hapa US kula vyakula vyenye Afya (Organic) ni gharama sana, watu wengi hawamudu. Maziwa ya kawaida (feki), kwa mfano; Walmart wanauza gallon moja (3.7liters) kwa $1.8 wakati organic milk (real) $6.8. Sasa mtanzania wa kawaida anakula kila kitu organic, kuanzia nyanya, machungwa, mchele n.k. Sasa kama ukichukua kila kitu anachokula mbongo "masikini" na kulinganisha bei yake US utaona watanzania wengi siyo masikini kiivyo, kwasababu wanamudu mahitaji ya kula chakula cha hadhi ya juu (organic).

Sasa badala ya watu wetu kuhoji hivi vipimo vya umasikini kulingana na nchi husika, tunakubali kukokotwa kama mkokoteni, kisa UN kasema.

Umeongelea hali ya nyumba wanazoishi n.k lakini tunarudi pale pale, hizo nyumba zina madeni mpaka utosini. Watu wanaishi paycheck to paycheck, tatizo dogo likitokea mtu anakuwa homeless, sasa utasema hiyo jamii ni ya tajiri?
 
Back
Top Bottom