Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Michezo hii ya riadha ya dunia ya vijana wenye umri chini ya 20 itafanyika hapa Nairobi wiki ijayo. Kenya ndio nchi ya kwanza kuhost mashindano haya Afrika. Kenya pia ilikuwa nchi ya kwanza kuhost under 18 world athletics championships miaka michache iliyopita.
Hapa chini team kutoka Poland imewasili Nairobi kushiriki michezo hii ya riadha.
Team ya France hapa chini ikiwasili Nairobi
Hapa chini team kutoka Poland imewasili Nairobi kushiriki michezo hii ya riadha.
Team ya France hapa chini ikiwasili Nairobi