Kenya ndio uchumi tajika hapa Afrika Mashariki. Hilo jambo halipingiki

Kenya ndio uchumi tajika hapa Afrika Mashariki. Hilo jambo halipingiki

Makampuni iliyo jiwekeza Tanzania sii ya wakenya. Ni makampuni yaliyosajiliwa Nairobi kwa kama HQ. Ni za wazungu hasa UK na holazi. Hakuna mtu mweusi toka Kenya. Ni Wahindi. Sio kama wakina Mengi AZAM. Mashamba. RostamAzzi Manji. MO
Hao uliowataja akina Mo ndio Waafrika? Una ujinga sana.
 
No ni mtanzania mzaliwa na former MP wa Singida.
Si mlisema matajiri wa Kenya ni wanasiasa. Sasa huyo Mo, Mwanasiasa, Rostam, Mwanasiasa. Tofauti tu ni wetu ni Wanasiasa wenye asili ya kiafrika, wenu ni Wanasiasa wenye asili ya kihindi na kiarabu.🤣🤣
 
Yaani kampuni za Kenya zilizo Tanzania zinaajiri Malazy 51,000 huku kampuni za Tanzania zilizo Kenya zikiajiri Wakenya 2,000 only. Halafu bado wivu battalion bado wanataka Tanzania yao ishindane na Kenya kiuchumi. Haiwezekani kamwe. Uchumi wetu wa "kwenye makaratasi" ndio inayoajiri Malazy 51,000.

Cc Geza Ulole
Mkuu naomba niambie ni wakenya wa aina gani ambao wana uwezo wa kuwekeza Tanzania? Nina uhakika humaanishi mabantu na waswahili kama sisi bali ni wakenya wenye asili nyingine ndiyo wanao weza kuwekeza Tanzania. Mbantu wa Kenya na mswahili wa Kenya ana hela gani ya kuwekeza Tanzania? Tusidanganyane hapa.

Mkitaka kujua watu gani wanamaisha mazuri kati ya hizo nchi mbili angalieni idadi ya watu waliokimbia nchi yao na kwenda kutafuta maisha kwenye nchi nyingine.

Kuna idadi ya wakenya wengi sana kwenye nchi zifuatazo kuliko watanzani; Amerika, England, Ujerumani, Uholanzi, Dubai, Qatar, Saud Arabia na South Africa, ni kwanini hasa wakenya wengi wameikimbia nchi yao na kuishi ng'ambo?

Ni kitu ambacho kinaeleweka kuwa wakenya wachache sana wanamiliki ardhi Kenya, sehemu kubwa ya ardhi inamilikiwa na wazungu, zamani tuliwaita setllers; waingereza, wajerumani na waholanzi. Viwanda vingi nchini Kenya ni vya wazungu na wahindi na wafanya biashara wakubwa nchini Kenya ni wazungu na wahindi pia.

Wakenya wengi utawakuta kwenye mambo ya siasa, utumishi serikalini, kwenye serikali kuu na local government, majaji, mahakamani, polisi, jeshini na walimu na wafanya kazi kwenye makampuni na NGOs za wazungu na kwenye mabank.
 
mmeshashiba githeri ndio mnaanza ufala wenu wa kwenye makaratasi
 
Mbaya zaidi kwa wale hupoteza muda wao kwenye malumbano ya Dar vs Nairobi, hebu shangaa na uwaze na kuwazua kwamba GDP ya Nairobi ni mara mbili ya Dar, maana kwamba uchumi wa Nairobi pekee unakaribia kutoshana na uchumi wa Tanzania yote.....yeah Tanzania yote hata ukiunganisha nchi zao mbili, yes Tanzania yote ukiunganisha mikoa yote kote kote pamoja na kila kitu walicho nachoo, Nairobi pekee inapambana na nchi yao yote.

main-qimg-61823c1e2cf8103b1db296a34dfc7e6d
tayari mmeshaenda kwenye vi blog uchwara
 
Mkuu naomba niambie ni wakenya wa aina gani ambao wana uwezo wa kuwekeza Tanzania? Nina uhakika humaanishi mabantu na waswahili kama sisi bali ni wakenya wenye asili nyingine ndiyo wanao weza kuwekeza Tanzania. Mbantu wa Kenya na mswahili wa Kenya ana hela gani ya kuwekeza Tanzania? Tusidanganyane hapa.

Mkitaka kujua watu gani wanamaisha mazuri kati ya hizo nchi mbili angalieni idadi ya watu waliokimbia nchi yao na kwenda kutafuta maisha kwenye nchi nyingine.

Kuna idadi ya wakenya wengi sana kwenye nchi zifuatazo kuliko watanzani; Amerika, England, Ujerumani, Uholanzi, Dubai, Qatar, Saud Arabia na South Africa, ni kwanini hasa wakenya wengi wameikimbia nchi yao na kuishi ng'ambo?

Ni kitu ambacho kinaeleweka kuwa wakenya wachache sana wanamiliki ardhi Kenya, sehemu kubwa ya ardhi inamilikiwa na wazungu, zamani tuliwaita setllers; waingereza, wajerumani na waholanzi. Viwanda vingi nchini Kenya ni vya wazungu na wahindi na wafanya biashara wakubwa nchini Kenya ni wazungu na wahindi pia.

Wakenya wengi utawakuta kwenye mambo ya siasa, utumishi serikalini, kwenye serikali kuu na local government, majaji, mahakamani, polisi, jeshini na walimu na wafanya kazi kwenye makampuni na NGOs za wazungu na kwenye mabank.
Do you know Peter Munga? He is the owner of equity bank.
 
Makelele kibao hata kipande cha ardhi cha mita moja huna.
 
Mkuu naomba niambie ni wakenya wa aina gani ambao wana uwezo wa kuwekeza Tanzania? Nina uhakika humaanishi mabantu na waswahili kama sisi bali ni wakenya wenye asili nyingine ndiyo wanao weza kuwekeza Tanzania. Mbantu wa Kenya na mswahili wa Kenya ana hela gani ya kuwekeza Tanzania? Tusidanganyane hapa.

Mkitaka kujua watu gani wanamaisha mazuri kati ya hizo nchi mbili angalieni idadi ya watu waliokimbia nchi yao na kwenda kutafuta maisha kwenye nchi nyingine.

Kuna idadi ya wakenya wengi sana kwenye nchi zifuatazo kuliko watanzani; Amerika, England, Ujerumani, Uholanzi, Dubai, Qatar, Saud Arabia na South Africa, ni kwanini hasa wakenya wengi wameikimbia nchi yao na kuishi ng'ambo?

Ni kitu ambacho kinaeleweka kuwa wakenya wachache sana wanamiliki ardhi Kenya, sehemu kubwa ya ardhi inamilikiwa na wazungu, zamani tuliwaita setllers; waingereza, wajerumani na waholanzi. Viwanda vingi nchini Kenya ni vya wazungu na wahindi na wafanya biashara wakubwa nchini Kenya ni wazungu na wahindi pia.

Wakenya wengi utawakuta kwenye mambo ya siasa, utumishi serikalini, kwenye serikali kuu na local government, majaji, mahakamani, polisi, jeshini na walimu na wafanya kazi kwenye makampuni na NGOs za wazungu na kwenye mabank.
ATI hawawezi kuekeza wapi??😛Unathani Wakenya Ni warazi ka Watz,Kenya Ina matajiri ambao Wana Pesa Brathe,kwanza Hao Bantu umetaja,eg Wakikuyu Don't Joke with them🤑Ata WWE najua umewaona wakifanya Biashara TZ,They make Big Business out of nothing.Usifikiri Kenya Ni TZ ya Warazi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu naomba niambie ni wakenya wa aina gani ambao wana uwezo wa kuwekeza Tanzania? Nina uhakika humaanishi mabantu na waswahili kama sisi bali ni wakenya wenye asili nyingine ndiyo wanao weza kuwekeza Tanzania. Mbantu wa Kenya na mswahili wa Kenya ana hela gani ya kuwekeza Tanzania? Tusidanganyane hapa.

Mkitaka kujua watu gani wanamaisha mazuri kati ya hizo nchi mbili angalieni idadi ya watu waliokimbia nchi yao na kwenda kutafuta maisha kwenye nchi nyingine.

Kuna idadi ya wakenya wengi sana kwenye nchi zifuatazo kuliko watanzani; Amerika, England, Ujerumani, Uholanzi, Dubai, Qatar, Saud Arabia na South Africa, ni kwanini hasa wakenya wengi wameikimbia nchi yao na kuishi ng'ambo?

Ni kitu ambacho kinaeleweka kuwa wakenya wachache sana wanamiliki ardhi Kenya, sehemu kubwa ya ardhi inamilikiwa na wazungu, zamani tuliwaita setllers; waingereza, wajerumani na waholanzi. Viwanda vingi nchini Kenya ni vya wazungu na wahindi na wafanya biashara wakubwa nchini Kenya ni wazungu na wahindi pia.

Wakenya wengi utawakuta kwenye mambo ya siasa, utumishi serikalini, kwenye serikali kuu na local government, majaji, mahakamani, polisi, jeshini na walimu na wafanya kazi kwenye makampuni na NGOs za wazungu na kwenye mabank.

Endelea kubwabwaja huku tukiendelea kuchukua soko la mabenki Tanzania, na kwa taarifa yako Equity na KCB zinamilikiwa na Wakenya weusi, sio kama kwenu huko uchumi umekaliwa na Wahindi na Waarabu., ambao ndio matajiri kumi bora.

 
Back
Top Bottom