Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya, lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa Wakenya kwa haki bila upendeleo, ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya AfriKa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya AfriKa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya.