Kenya ni habari nyingine, IGP mtarajiwa ahojiwa na kamati ya Bunge

Kenya ni habari nyingine, IGP mtarajiwa ahojiwa na kamati ya Bunge

Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.

Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
Kenya kwa sasa inazidi kutuacha kwa kila kitu.
 
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.

Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
Umenena ndugu, yaani kama Tanzania kwa sasa imekuwa kituko kwa kila jambo; Udikteta, udhulumaji, utekaji, mauwaji ya raia, uminywaji wa demokrasia, kila kitu kibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.

Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
Kabila gani huyo mteule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.

Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
Hapa kwetu hata wakiweka hiko kipengele bado Ma-ccm yatabebana tu! Hutaki tunapiga aunt zenu wote!
 
Ahojiwe au asihojiwe ni kazi bure tu. Kinachotakiwa wala siyo kuhojiwa bali ni mabadiliko ya kila Raia yaani Uzalendo wa kweli kweli.
 
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.

Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
kula LIKE mkuu !
 
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.

Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
Ndio wanaoongoza kwa rushwa ,haina maana yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom