komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
ungelijuaje km sio uhuru wa media na bunge kuonyeshwa live katika ishu zenye tija kw wananchi...
wewe wajua n nn kinachoendelea katika nchi yako...manake kila siku matangazo ni miradi,uzinduzi na ccm...usituone hatuijui nchi yenu bro...yule jamaa amewakalia...