Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
" Nimekuteua mimi , mshahara nakupa mimi halafu unamtangaza mpinzani mshindi ! "Safi sana,hata hapa bongo,hizi nafasi zingekuwa zinaombwa sio kupewa tu kama rushwa,
RPC,IGP,RC,DC wote hawa wangekuwa wanafanyiwa usaili live
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kenya ni level nyingine, nilianza kuvutiwa na wakenya baada ya ile supreme court of kenya kufuta matokeo ya urais.
Aibu sana kuwa na rais wa hovyo namna hii." Nimekuteua mimi , mshahara nakupa mimi halafu unamtangaza mpinzani mshindi ! "
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya
Na mm nakubaliana na ww. Nchi ina rais anajiita jiwe au kusema ye ni kichaa uliona wapi duniani au hata ulimwenguni?
Kwi! Kwi! Kwi!Na mm nakubaliana na ww. Nchi ina rais anajiita jiwe au kusema ye ni kichaa uliona wapi duniani au hata ulimwenguni?
mkuu unaishi Kurasini?Wakenya wataendelea kuwa juu yetu mpaka ccm watoke madarakani
Wako mbali sana na pia unaomba,unafanyiwa usaili huku vyombo vya habari vikiwepoRais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya
Kwa sifa ulizomwaga hapa ,bila shaka ulishatafunwa MombasaRais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya
Nashangaa niko obsessed na citizen kila saa moja usiku kind of creepy!Uzalendo unanitoka sijui nifanyeje asee!ππππππ ww umechok km mm..mm hd asbh nacheki Kenya medias