Hili wazo bab kubwa,watu waombe nafasi,wapigwe interview then wapewe nafasi.Safi sana,hata hapa bongo,hizi nafasi zingekuwa zinaombwa sio kupewa tu kama rushwa,
RPC,IGP,RC,DC wote hawa wangekuwa wanafanyiwa usaili live
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ningeshangaa...unaniambia nn ww mtzed[emoji847]
Hamia KenyaNashangaa niko obsessed na citizen kila saa moja usiku kind of creepy!Uzalendo unanitoka sijui nifanyeje asee!
Ndiyo maana Kenya inatetewa na chadema.
Chadema ndiyo mtetezi namba moja wa Mafisadi duniani kwa sasaView attachment 1056424
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia Kenya.Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya
Ile ilikuwa ni danganya toto mkuu. Mbona alishinda yule yule aliyeshindwa?mkuu kenya ni level nyingine, nilianza kuvutiwa na wakenya baada ya ile supreme court of kenya kufuta matokeo ya urais.
Kweli una akili za kiccm, ukame ni janga la asili, kinachozungumziwa hapa ni utawala boraNenda Turkana Kenya - ndipo utaona yote hayo ni mbwembwe huko watu wanaishi kama stone age. Kuna ukame na hawajui msaada wa serikali! Mambo ambayo hayatokei Tanzania. Ni aibu,
Tanzania zimepotea 1.5 Trillion....!!Ndiyo maana Kenya inatetewa na chadema.
Chadema ndiyo mtetezi namba moja wa Mafisadi duniani kwa sasaView attachment 1056424
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi iliyojaa maiti?
hahahahaha ...........huku kwetu mbona tulifuta uchaguzi ,au umemsahau jecha,mwakani tutamtumia tena ikiwa tutashindwa uchaguzimkuu kenya ni level nyingine, nilianza kuvutiwa na wakenya baada ya ile supreme court of kenya kufuta matokeo ya urais.
Rais Uhuru Kenyatta amemteua HILLARY MUTYAMBAI kuwa IGP mpya wa Kenya , lakini kwa Mujibu wa katiba ya Kenya ni lazima mteule huyu ahojiwe na kukaangwa mbele ya kamati ya bunge ili kuhakikisha kwamba ni kweli anaweza kusimamia usalama wa wakenya kwa haki bila upendeleo , ni lazima bunge liidhinishe uteuzi wake ndipo aapishwe.
Hakika Jamhuri ya watu wa Kenya haistahili kuwemo kwenye jumuiya ya kichovu ya Africa Mashariki.
Mungu ibariki Kenya
Na mm nakubaliana na ww. Nchi ina rais anajiita jiwe au kusema ye ni kichaa uliona wapi duniani au hata ulimwenguni?
" Nimekuteua mimi , mshahara nakupa mimi halafu unamtangaza mpinzani mshindi ! "
Mkuu huwa napata shida kwelikweli kama uko na akili za kutosha hasa kujenga hoja madhubuti mbele za watu tunaojielewa..Sasa hiyo inasaidia nini kwa wananchi? Mbona Odinga alilalamika kuibiwa kura?
kwhyo ilkuwa unataka serikali iwalishe ndio kuwakumbuka...we fala nn...we km unaishi mwituni na umfugaji wa kurandaranda(pastoralist)...sehemu yenyewe ni ukame...sasa hapa ulikuwa wataka serikali iwasaidieje...manake huez mfanyia mtu maendeleo km hatulii...leo yuko manzense kesho mara yuko magomeni...Nenda Turkana Kenya - ndipo utaona yote hayo ni mbwembwe huko watu wanaishi kama stone age. Kuna ukame na hawajui msaada wa serikali! Mambo ambayo hayatokei Tanzania. Ni aibu,