ungelijuaje km sio uhuru wa media na bunge kuonyeshwa live katika ishu zenye tija kw wananchi...
Id yako inatoa jibu. Tunaongea demokrasia wewe unakuja na za kuleta.Hamia kabisa Kenya. Tena Mombassa pale.
Pole sana mura! That is Kenya and this is Tanzania, you moron and lunatic tribalism monger.Id yako inatoa jibu. Tunaongea demokrasia wewe unakuja na za kuleta.
Wenzetu walibadili katiba na inafanya kazi sisi tumerudi chama kimoja.
Subiri nyinyi wasukuma mrudishwe kwenye vijiji vya ujamaa.
Ulisikia mchagga, mhaya, mnyakyusa anaundiwa vijiji? Walijua na wanajua hawa watu hawaguswi sababu wanajitambua na ndio watu wanatambua nini maana ya demokrasia na maendeleo ya watu. Kalaga bao.
Mbona umwambie ahamie Kenya tena Mombasa,Mombasa kina nini?.Hamia kabisa Kenya. Tena Mombassa pale.
Hii ndio bunge iliyo sahihisha kuteuliwa kwa Rashid Echesa kuwa waziri? Jamaa ambaye hata cheti cha shule ya msingi hana..Kama ilivoripotiwa live kwenye stesheni za Tv. Kenya:Usaili wa IGP mtarajiwa jasusi Hillary Mutyambai ulifanywa na 'Joint Committe'(bunge na seneti) ya masuala ya usalama wa taifa. Atakayeweza atizame shughuli yote ilivokuwa kwenye hiyo video ya Citizen Tv hapo juu. Huyu IGP mtarajiwa sio mtu wa maneno mengi ila anajielewa sana. Natumai kwamba bunge litamkubali, la sivyo mtu mwingine atateuliwa alafu hii shughuli yote itarudiwa upya. Hizi 'checks and balances', zinazotekelezwa kwa mujibu wa katiba, ndio huwa zinanipa matumaini kwamba nchi yangu tukufu ya Kenya inaendelea kuchukua mkondo unaofaa.
Etwege: mbona huupendi ukweli? Mwenzio kasema tu hali ilivyo afu wewe unamchamba? Kwanza wewe nilikuona pale juzi ukipelekwa chumba cha wageni kutafunwa.
Umenena ukweli mkuu.Bora huko ufisadi unajulikana.
Huku kwetu nani mwenye ubavu wa kuhoji ufisadi?
Asilimia kubwa ya wateule wa rais, mawaziri na wabunge huko kwenu Tz hawana vyeti, labda vile vya chanjo hospitalini. Mzee mwenyewe alipata phd yake kupitia process ya osmosis. Ila hukomi kuwasifia humu kila uchao. Echesa aliketi mbele ya kamati, na akaulizwa maswali mengi sana kuhusu kiwango chake cha elimu. Uwazi ni kitu cha muhimu. Echesa aliyajibu maswali kwa ustadi na wakaona ana uwezo isipokuwa baadaye kazini alikuja akavimba kichwa kwa kujiona special ndio akafutwa kazi. Kuna wateule kadhaa wa rais U.K. ambao wamebwagwa chini wakati wa usaili. Mkifikia hatua kama hiyo mzee nitag.Hii ndio bunge iliyo sahihisha kuteuliwa kwa Rashid Echesa kuwa waziri? Jamaa ambaye hata cheti cha shule ya msingi hana..
Hawa ni makasuku tu wa jubilee wala hakuna ukaguaji uliopo hapo..Maizigo tupu, uwamuzi upo na rais
😂😂😂 yani sasa unamtetea Rashid Echesa? Hahahaha...eti alijibu maswali kwa ustadi mno...kweli Jubilee ni ugonjwa wa kichaa😂😂😂Asilimia kubwa ya wateule wa rais, mawaziri na wabunge huko kwenu Tz hawana vyeti, labda vile vya chanjo hospitalini. Mzee mwenyewe alipata phd yake kupitia process ya osmosis. Ila hukomi kuwasifia humu kila uchao. Echesa aliketi mbele ya kamati, na akaulizwa maswali mengi sana kuhusu kiwango chake cha elimu. Uwazi ni kitu cha muhimu. Echesa aliyajibu maswali kwa ustadi na wakaona ana uwezo isipokuwa baadaye kazini alikuja akavimba kichwa kwa kujiona special ndio akafutwa kazi. Kuna wateule kadhaa wa rais U.K. ambao wamebwagwa chini wakati wa usaili. Mkifikia hatua kama hiyo mzee nitag.
Uliona usaili wa Echesa? Sijatetea performance yake nimeongoa kuhusu vetting tu. Tena kamati za bunge zinazofanya usaili sio za chama kimoja, jielimishe. Ila nimependa ulivopuuza hoja yangu ya viongozi wenu vyetiless, kama mtoto wa Jiwe, Bashite na phd bonoko ya mzee pia. Ningependa sana kuona usaili wa wateule takatifu wa Jiwe, tena live kwa Tv. Inaweza kuwa comedy ya karne, maanake wengi wao hata majina yao kamili tu wao wenyewe hawayafahamu vizuri. 😀yani sasa unamtetea Rashid Echesa? Hahahaha...eti alijibu maswali kwa ustadi mno...kweli Jubilee ni ugonjwa wa kichaa
Mkuu kwani citizen mnaipata huko Tanzania?Nashangaa niko obsessed na citizen kila saa moja usiku kind of creepy!Uzalendo unanitoka sijui nifanyeje asee!
60% of Tz ministers are former lecturers of udsm. But thats not the point..Am still wondering how parliament can go through the motions of vetting and still approve a class 7 dropout(Echesa). Unless ofcourse this is just lipstick democracy meant to pacify the masses that kenya is democratic while in actual sense the president calls the shots..Uliona usaili wa Echesa? Sijatetea performance yake nimeongoa kuhusu vetting tu. Tena kamati za bunge zinazofanya usaili sio za chama kimoja, jielimishe. Ila nimependa ulivopuuza hoja yangu ya viongozi wenu vyetiless, kama mtoto wa Jiwe, Bashite na phd bonoko ya mzee pia. Ningependa sana kuona usaili wa wateule takatifu wa Jiwe, tena live kwa Tv. Inaweza kuwa comedy ya karne, maanake wengi wao hata majina yao kamili tu wao wenyewe hawayafahamu vizuri. 😀
Ndio!Mkuu kwani citizen mnaipata huko Tanzania?
Endelea na upimbi wako wakutetea vitu vya ajabu ajabu. 100% ya mawaziri, mahakimu, CJ, IGP na maRC Tz ni makasuku wa chama. Ndio maana mlipigwa na butwaa Maraga na mahakama walipotupilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya. Unajivunia kwamba hata hukumu kwenye mahakama huwa ni maagizo kutoka juu? Acha longolongo nyingi, leta C.V za IGP na mawaziri wa Tz tulinganishe na za wenzao wa Kenya. Kumbuka huyo Echesa mmoja unayemtaja hayupo tena kwenye orodha ya mawaziri.60% of Tz ministers are former lecturers of udsm. But thats not the point..Am still wondering how parliament can go through the motions of vetting and still approve a class 7 dropout(Echesa). Unless ofcourse this is just lipstick democracy meant to pacify the masses that kenya is democratic while in actual sense the president calls the shots..
Atleast Tz is honest, The president openly calls the shots without undue pretence
hahaha Jaji aliyewaachilia Mbowe na Matiko kwani sio kasuku wa ccm? Kwani yeye hajateuliwa na Rais? Kwani hakupokea maagizo kutoka juu?Endelea na upimbi wako wakutetea vitu vya ajabu ajabu. 100% ya mawaziri, mahakimu, CJ, IGP, RC Tz ni makasuku wa chama. Ndio maana mlipigwa na butwaa Maraga na mahakama walipotupilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya. Unajivunia kwamba hata hukumu kwenye mahakama huwa ni maagizo kutoka juu? Acha longolongo nyingi, leta C.V za mawaziri wa Tz tulinganishe na za mawaziri wa Kenya. Kumbuka huyo Echesa mmoja unayemtaja hayupo tena kwenye orodha ya mawaziri.
Sawa boss, haina presha.hahaha Jaji aliyewaachilia Mbowe na Matiko kwani sio kasuku wa ccm? Kwani yeye hajateuliwa na Rais? Kwani hakupokea maagizo kutoka juu?
Ingekuwa hoja kama Bunge ingebatilisha uwaziri wa Echesa kwa vigezo za kukosa masomo mwafaka, hiyo ingeashiria demokrasia ya kweli..Lakini Echesa aliteuliwa na dictator akiwa na mapungufu yake wala bunge dhaifu haligemkosoa Kim jon un, na hatimaye, dictator kamuondoa yeye mwenyewe baada ya echesa kuharibu pesa za umma kwa kukula mshahara mwaka moja