Kwani wewe umejenga hoja kwenye huu uzi? Mi naona na wewe umejenga haja kubwa tu kwenye huu uzi!Huu ndiyo ujengaji hoja halisi wa CCM sasa,shukrani sana kwa kuwawakilisha vyema!Halafu mkiitwa mambumbumbu mnaona kuwa mnaonewa gere
Jibu swali wee malengeumesahau mara hii[emoji28][emoji28][emoji28].
KQ wakikusoma hapa wanajuta walikuwa wapi kumshauri baba yako,asitumie mpira ukapatikana.
Lini? Wacha ndoto wee falaunajisahaulisha sio, tulivyofunga mipaka nani alikuja kuomba msamaha?
Jibu swali wee malenge
Am tanzanese but I believe Kenya has a great economy than ours