Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 575
- 655
Kuna nchi inayosikitisha kama kenya??
Madeni kibao
Gharama kubwa za maisha
Ugumu wa maisha ulopitiliza
Nchi iliyokwisha matumaini
Mnajishaua na kenya!Kenya ndo mdudu gani? Nchi inadaiwa mpaka kisogoni![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki hata unipe dollar 500 unambie nichukue uraia wa kenya sikubali
Nchi ya hovyo kuwahi kutokea
Nchi gani hiyo ambayo 95% ya utajiri wa nchi kuanzia majengo,mashamba na bness zote zinamilikiwa na wazungu wachache na kenyatta family huku raia wakiwa masikini kuliko hata nchi yoyote ile ya Africa
Huwa mnachekesha sana wakenya
Madeni kibao
Gharama kubwa za maisha
Ugumu wa maisha ulopitiliza
Nchi iliyokwisha matumaini
Mnajishaua na kenya!Kenya ndo mdudu gani? Nchi inadaiwa mpaka kisogoni![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki hata unipe dollar 500 unambie nichukue uraia wa kenya sikubali
Nchi ya hovyo kuwahi kutokea
Nchi gani hiyo ambayo 95% ya utajiri wa nchi kuanzia majengo,mashamba na bness zote zinamilikiwa na wazungu wachache na kenyatta family huku raia wakiwa masikini kuliko hata nchi yoyote ile ya Africa
Huwa mnachekesha sana wakenya