KENYA: Nicholas Biwott to be Buried in a Gold Bullet Proof Coffin-To Protect Him from Enemies

Sasa what is the meaning of bulletproof Hapo? Is he afraid of bullets?
Tena wakora wakafukue kabisa wachukue hizo dhababu.
Africans are always stupid


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkatoliki lakini nitaweka wosia kwamba nikifa nizikwe bila jeneza ili mwili wangu ukutane ardhini ." Wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi lakini bwana atakufufua siku ya mwisho"
Nakubaliana na wewe, mazishi ya gharama na kifahari hayana maana kama hakuishi kwa kumpendeza Mungu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mwisho wa siku ataliwa na mchwa tu, kwanza hilo jeneza lilindwe kwa makini maana ipo siku wakizubaa litaishia Grogon...
 

Former Powerful Minister, Nicholas Biwott, will be buried in a gold bullet proof coffin to protect him from enemies.

In a will, Biwott said even in death enemies would be all over him. He therefore demanded that he be buried inside a bullet proof coffin so as to scare away people aimed at him. He also told his beloved ones to bury him in a golden coffin, to symbolize his social status.

The tycoon’s coffin has been ordered from USA after it was established that a casket of this nature could not be found in Kenya. Anytime this week the coffin will arrive in the country under maximum security.

Biwott was a man who constantly feared everyone and anyone. He was afraid of death. A secretive man, the former Minister never allowed any person near his compound unless iit was a close family member. Even in death, it was his wish to be protected.

Meanwhile, here is a list of companies he left behind




Biwott to be Buried in a Gold Bullet Proof Coffin-To Protect Him from Enemies | Venas News
 
Mnaopalamika kwani kuna ubaya gani yeye kujiamulia hayo!?

Nimewashangaaa maisha ya mtu, mnamsema shaaaaa kama vile nyie hamna maamuzi yenu pua.

Wivu.com
 
He made his life so strong...
With all the money he had and investments in corporations, surely he deserve that, and his will must be respected.
Alitafuta pesa akaamua zitumike kumzika siku ya mwisho.... Well and good....
Dead and Gone B... Will miss you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…