Siku moja wenye njaa wanaomzunguka watatoa mifupa yake nje wakitafuta dhahabu. Mungu alisema "wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi" Siamini kama kuna uadui unaoendelea hata baada ya kifo.Hiki ni kichekesho. Hivi wataweza kulilinda hilo kaburi daima dawamu?