Kenya nominates Amina Mohamed for AU chair job

Kenya nominates Amina Mohamed for AU chair job

Nilitaka nikuulize hilo huko mwanzo,je UK hakushauriana na M7 kwenye hili?Achana na tetese za kikwete kuwemo,huoni kama ha wamama wanagawanya kura za EAC

Yule mama wa Uganda hakukidhi au kushinda mwanzo na ndio imebidi warudie, nafikiri hili jambo lazima rais Uhuru amekomaa nalo, atakua anapiga piga simu kote kote.
 
Yule mama wa Uganda hakukidhi au kushinda mwanzo na ndio imebidi warudie, nafikiri hili jambo lazima rais Uhuru amekomaa nalo, atakua anapiga piga simu kote kote.
Kama akiingia yule wa Uganda,Amina atakua na hali ngumu sana,Tanzania watampigia Amina,lakini Mugabe!west Africans?Mlitakiwa muhakikishe EA hakuna jina zaidi ya hilo,halafu ni kama UK alikurupuka,ilijadiliwa kweli hii issue?
 
Kama akiingia yule wa Uganda,Amina atakua na hali ngumu sana,Tanzania watampigia Amina,lakini Mugabe!west Africans?Mlitakiwa muhakikishe EA hakuna jina zaidi ya hilo,halafu ni kama UK alikurupuka,ilijadiliwa kweli hii issue?

Hilo tulijua kwamba Tanzania lazima watapigia yeyote asiye Mkenya. Lakini tunategemea kura kutoka kwa mataifa mengine mengi Afrika. Lobbying inafanyika.
 
Hilo tulijua kwamba Tanzania lazima watapigia yeyote asiye Mkenya. Lakini tunategemea kura kutoka kwa mataifa mengine mengi Afrika. Lobbying inafanyika.
Hahaaaa,acha uoga,Amina ameshakuja hapa mara mbili sikujua sababu,sasa naunganisha dots napata,Halafu yupo master minder Mwakwere ameifanya kazi yake vizuri,hatuna tatizo na Mama,ila specioza anatakiwa awe nullified mapema vinginevyo atakupeni tabu
 
The ''Litmus test'' for diplomacy on Hon. Amina Mohammed
BBC HARDtalk - 18 Sept. 2013 - Kenya's Foreign Ambassador, Amina Mohamed on African relationship with ICC-The Hague, on Tanzania........, President Omar Bashir of Sudan..., Koffi Annan, 2007 post election ethnic violence, Tribalism


Source: Templars of Sian
 
Hilo tulijua kwamba Tanzania lazima watapigia yeyote asiye Mkenya. Lakini tunategemea kura kutoka kwa mataifa mengine mengi Afrika. Lobbying inafanyika.

Mheshimiwa Bi. Amina Mohammed atachuana na wagombea wengine 3 wa kiti hicho mnamo Januari 2017 cha Kamisheni (Tume)ya AU (Umoja wa Afrika), ambao wawili wanatokea Afrika ya Magharibi yaani Mheshimiwa Bw. Agapito Mba wa Equatorial Guinea na Mh. Abdoulaye Bathily wa Senegal bila kumsahau mgombea mwingine wa Kusini mwa Afrika toka Botswana, Mheshimiwa Bi. Pelonomi Venson-Moitoi.

Bi Amina Mohammed ameingia katika mchuano huo wa ngazi ya juu ktk AU (Umoja wa Afrika/ African Union) dakika za mwisho baada ya Mgombea toka Uganda Mh. Bi Specioza Kazibwe kujitoa kutokana na kushindwa kupata kura za ushawishi zilizotosha ktk kikao cha hivi karibuni cha AU kilichofanyika huko Kigali, Rwanda.

More info:
SABC South Africa Digital News

SA dismisses criticism for support of SADC candidate for AU chair
South Africa has dismissed criticism for supporting a campaign to have Botswana Foreign Minister Pelonomi Venson-Moitoi elected chairperson of the African Union Commission. SADC countries have been accused of double standards for not letting other African regions field a candidate for the crucial post.
 
Kama akiingia yule wa Uganda,Amina atakua na hali ngumu sana,Tanzania watampigia Amina,lakini Mugabe!west Africans?Mlitakiwa muhakikishe EA hakuna jina zaidi ya hilo,halafu ni kama UK alikurupuka,ilijadiliwa kweli hii issue?
Inaonenaka alijadiliana na watu wengi kabla kutangaza, alipigia simu hata nchi zenye ziko na waniaji kuwashawishi...


Also among the issues set to be discussed will be the candidature of Foreign Affairs Cabinet Secretary Amina Mohamed for the post of chairperson of the African Union Commission.
Kenya has nominated Ms Mohamed to succeed Ms Nkosazana Dlamini-Zuma, who will be seeking an elective post in South Africa.
Ms Dlamini-Zuma is President Zuma’s ex-wife.
“President Kenyatta reached out to a number of his colleagues, including President Zuma, before and after the candidature of CS Mohammed was made public,” said State House Spokesperson Manoah Esipisu during a press briefing at State House Sunday.
President Zuma will be accompanied by a large business delegation for the three-day state visit.
The two presidents will then have one-on-one talks before holding a joint press conference, which will precede a Kenya-South Africa business forum in the afternoon.
The two leaders will also discuss trade and look into a plea by Kenya that costly tea levies be waived and restrictions on processed Kenyan products such as soda ash and processed meat be removed.
Zuma set for 3-day Kenya State visit
 
Nchi za jumuiya ya SADCC Botswana, Mozambique, Malawi, Zimbabwe, Zambia, Angola, Namibia, Swaziland, Lesotho, Tanzania pamoja na DRC Congo, Uganda zinaonekana zitakuwa nyuma ya mgombea Bi. Pelomoni Venson-Moitoi. Hii ina maana kuna uwezekano wa nchi hizo kupiga kampeni za kidiplomasia za chini-kwa-chini kushawishi nchi zingine za Afrika kumpatia kura nyingi Mgombea kutoka Botswana ashike nafasi hiyo.
 
October 11, 2016
Nairobi, Kenya

Shuttle diplomacy intensified to ensure CS Amina clinches AU top seat

Shuttle diplomacy to ensure Foreign Affairs Cabinet secretary Amina Mohammed becomes the next African Union Commission Chairperson has begun with President Uhuru Kenyatta lobbying his fellow heads of state ahead of the African Union meeting set for January. President Kenyatta this week announced that he had nominated Ambassador Mohammed to replace outgoing chair Nkosasani Dlamini Zuma. Among the Presidents in support of Ambassador Mohammed’s candidature includes President Jacob Zuma of South Africa !?

More Info:
July 4, 2016
SA dismisses criticism for support of SADC candidate for AU chair

South Africa has dismissed criticism for supporting a campaign to have Botswana Foreign Minister Pelonomi Venson-Moitoi elected chairperson of the African Union Commission. SADC countries have been accused of double standards for not letting other African regions field a candidate for the crucial post. www.sabc.co.za/news



Source: KBC Channel 1
 
October 2016

Foreign Minister, Amina Mohamed heated interview on Al Jazeera October 2016. Interview Hosted by Mehdi Hasan :


Source: Al Jazeera English
 
Kafrican, Amina hapiti hata first round! Kuna uwezekano voting round hii ikakosa 3/4 inayotakiwa kati ya Wagombea wa West Africa na SADC. Ila sahau chance ya Amina, huku ni kukurupuka kwa serikali ya Kenya kama ilivyozoeleka. BTW Tanzania haija-commit kuna uwezekano mkubwa wakapigia Mtswana maana mmezidi kimbelembele.
 
kabombe, ukweli ni kwamba Kenya ni wakurupukaji, kama suala la EPA, ubinafsi ndo agenda ya Uhuru na serikali yake Deputy chairman wa AU ni Mkenya na sioni akipita huyu mama. Uhuru anatafuta kutumia uchaguzi wa AU ku-boost nafasi ya kushinda Urais mwakani.
 
kabombe, ukweli ni kwamba Kenya ni wakurupukaji, kama suala la EPA, ubinafsi ndo agenda ya Uhuru na serikali yake Deputy chairman wa AU ni Mkenya na sioni akipita huyu mama. Uhuru anatafuta kutumia uchaguzi wa AU ku-boost nafasi ya kushinda Urais mwakani.
Huyu mama akimwagwa,itakua aibu kubwa sana kwa wakenya na UK
 
October 2016

Foreign Minister, Amina Mohamed heated interview on Al Jazeera October 2016. Interview Hosted by Mehdi Hasan :


Source: Al Jazeera English

huhuhu, kama ni mimi waziri, I will never go to that interview.mh mh
She denied everything mpaka kama huyo jounerlst angeingiza swali kama we unaitwa amina mohammed, bado waziri angepinga, No!
 
kabombe, probability ya 95% anamwagwa! Kenya wameweka huyu mama kuzuia chance ya Kikwete ambaye alikuwa anatajwa kama a compromise candidate.
Huwa sizielewi kabisa akili za wakenya
Hivi Amina anaweza kushindana na kikwete kweli
Nimeona UK kaendaTogo sijui,anatafuta kura za Africa Magharibi
 
huhuhu, kama ni mimi waziri, I will never go to that interview.mh mh
She denied everything mpaka kama huyo jounerlst angeingiza swali kama we unaitwa amina mohammed, bado waziri angepinga, No!
Nimetazama interview zilizofanyika Al-Jazeera na BBC Hard Talk huyu Mama yetu toka Afrika Mashariki ana ''panic'' sana kiasi hazungumzi kama Mwanadiplomasia Mzoefu.

Mh. Waziri Amina Mohamed, amezoea sana kusoma hotuba za kuandikiwa na inapokuja masuala ya ''live face to face'' interview kimataifa anakosa muelekeo anaweza sema chochote (kibaya) na kuharibu na watazamaji kuona Afrika na hususan Afrika Mashariki hatuna wakomavu wa kidiplomasia /uongozi.

Hapa mwandishi wa Al-Jazeera Mehdi Hasan, ilibakia almanusra kidogo tu Mh. Balozi Amina Mohamed amkabe shati/shingo ''live on TV'' mtangazaji mahiri . Hii inaniondolea ushawishi kama Mh. Amina Mohamed anafaa kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU.
 
Back
Top Bottom