victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Mnalo mwaka huu,hamna anayewataka kwa sasa,Africa na hata dunia inajua kuwa nyinyi ni waongo,wanafiki,waizi na arrogance za ki nyang'auπ,tulieni sindano iwaingie vizuriπkwani ni nchi gani pia alitusaidi kupata uhuru...tulifaitia wenyewe na husikii tukilialia kuwa hatukusaidiwa.nyi vipi
Hawamjui mugabe nini... Hapendagi hujinga yuleJhaxan, hakuna kitu, subiri watakavyoumbuka! Hapa EAC kwenyewe sidhani kama Tanzania, Uganda na Burundi watampigia! Kenya wanatabia ya unafiki na kukurupuka!
Geza Ulole
Duuu ndo maana wanasema nyang'au hana aibu. Yaani matusi yote ambayo wanaitukana Tanzania na SADC halafu leo wanataka kuitumia kama daraja. SADC ni undugu wa damu siyo wa mashaka kama EAC.
Marijuana addicted boy..... Bangi zinamtuma vibaya huyo rais wenu.... Bangi si mboga ndugu
Kubwa la manyang'au sura imekaa (kilevilevi).
Kwikwikwi. Amina hashindi.Hehe. Sikujua watu wengi wa Tanzania humu JF ni wajinga na wenye moyo za kichawi hivi. Nyinyi wenyewe hamna mtu anayegombea, tatizo lenu ni lipi? Amina akishinda mtafanya ninini? Mtajinyonga? Ujinga kweli umekithiri.
Hehe. Sikujua watu wengi wa Tanzania humu JF ni wajinga na wenye moyo za kichawi hivi. Nyinyi wenyewe hamna mtu anayegombea, tatizo lenu ni lipi? Amina akishinda mtafanya ninini? Mtajinyonga? Ujinga kweli umekithiri.
Kwikwikwi. Miaka hii wakenya mtajiharishia sana. Mtajua sasa what is TZ. Mpaka mje mpige magoti kwetu. Mtahangaika sana kutafuta msaada hapa Africa. Nakuhakikishia kama mnawazo mnataka kupitisha huku mkiichukia TZ ndani ya SADC sahau.Hizi povu zote za Wabongo zinatokana na kutamaushwa kwao, kwani walipoteza raslimali nyingi sana kwa kujikomba komba Afrika Kusini, kwa kiherehere wakaingia kwenye vita vya Kusini. Hadi wa leo umaskini wa Tanzania mkubwa umetokana na kujihusisha kwenye kila ugomvi, Uganda na kote kote. Sasa wanakasirika kuona Kenya inatanua hiyo SADC wakati wao wamelala.
Leo hii Watanzania Afrika Kusini ni wamebaba mabox wakati Wakenya wanawekeza, hilo linawauma sana. Wakati Wasouth wanachinja chinja wageni mitaani hawakusaza hata Wabongo, walifagia kote kote.
Zaidi wanahisi ovyo kuona tumeanza hadi kuamrisha SADC na kuwaambiaa nini cha kufanya. Hilo linawafanya wanag'ake humu povu zikiwatoka. Bila shaka hata ingelikua ni mimi lazima ningelia kwa majonzi.
comment kama hii ni ya aibu...can you compare of multinationals in dar and nai then uniambie nnani hatakikani.upperhill zimejaa multinationals kibao alafu waongea dunia haitutaki.we ni bwege kweliMnalo mwaka huu,hamna anayewataka kwa sasa,Africa na hata dunia inajua kuwa nyinyi ni waongo,wanafiki,waizi na arrogance za ki nyang'auπ,tulieni sindano iwaingie vizuriπ
what is that which you give as payback to us????NYANG'AU mkenya, we r simply paying back the price of greedy! U r in ur own just like EPA n forget of SADC's support! FYI SA is not a founder nation n trying to influence there n jump the real founders was a wrong move!
Nyie wetu safari hii,mbona mtafurahiπcomment kama hii ni ya aibu...can you compare of multinationals in dar and nai then uniambie nnani hatakikani.upperhill zimejaa multinationals kibao alafu waongea dunia haitutaki.we ni bwege kweli
nani ako na multinationals kibao...usirukruke tuNyie wetu safari hii,mbona mtafurahiπ
Wenzenu wanaendelea nyinyi bado tu Ubaguzi na siasa mara Wazungu mara Warabu Tanzania imepata uhuru 1961 na Kenya ikapata miaka miwili baadae 1963 bado Tanzania eti Taifa Changa wenzetu Kenya wanasonga mbele.Hahahahhh Kenya imekula kwenu Jipangeni upya hizi fikra potovu muachane nazo kuweni na adabu na ushirikiano ninyi ni waafrica lakini you try to distance yourselves kwa kila jambo wazungu ndio bwana zenu wanawadanganya wanawatumia. Just said my own oooh!