Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Iconoclastes, a thing KANU could not do with Moi as he openly picked Uhuru via undemocratic means resulting into KANU collapse!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana hawakuwa wanamuelewa na sera zake wakati walimchagua kuania urais kwa tikiti cha CCM. Amewashtukizia tu. Back then he seemed like a good, humble obedient chap whom they could easiy wrap around the pinky finger.
I don't have time for the ideas of loose Canon for hire like Makau Mutua, he can seek Tanzanian citizenship for all i care
CCM ni Chama kikubwa na chenye uzoefu mkubwa sana kwenye mambo ya siasa wengi wanasahau hili, CCM is modelled after communist party of China, Vietnam and the likes na ukitaka kuielewa CCM jaribu kuvielewa vyama vya hizo nchi, hivyo kusema kwamba CCM wanaweza tu kumuweka mtu awe Raisi ambaye hawamjui ni kujidanganya, amini usiamini CCM wanamjua vizuri Magufuli na anayoyafanya ndiyo waliyoyategemea kumbuka kwamba CCM ni lazima ionyeshe kwamba nchi inabadilika hivyo ni lazima ichukuwe hatua ngumu na muhimu ili kuweza kuivusha nchi vinginevyo kuna hatari kubwa ya CCM kukataliwa na hilo wanalifahamu hivyo kila kitu kiko planned na CCM hao hao ni watu wasioelewa ndiyo wanaongea ongea lkn Magufuli na CCM wote lao moja!
Wewe na hii CCM yako naona hukomi kuwadanganya Wakenya na kujidanganya pia. Kuna baadhi yetu tunafahamu fika siasa za Bongo, huna jipya.
CCM ilikua imewafika Watanzania kwenye pua, Magufuli aliwaokoa nyie, mngepigwa chini. Angalia historia ya ushindi wa CCM, wakati wote mlikua mnashinda kwa asilimia nyingi, lakini hii ni mara ya kwanza kwenu kushinda kwa asilimia ndogo sana pamoja na kwamba kulikua na tetesi za wizi wa kura. Halafu katiba yenu mbovu, hairuhusu upinzani kujitetea mahakamani baada ya mshindi kutangazwa.
Magufuli anapata wakati mgumu sana kufanya kazi mkiwemo, hana uhuru wa kutosha maana nyie hapo ndio mlifanya madudu hadi akafikia kuwa rais. Hivyo inakua vigumu kwake kuharibu kiganja kilichomlisha tonge. Hebu nenda kafanye hizi PR zako za CCM huku kwa huyu Mtanzania ambaye bado anasubiri kuona Magufuli akitumbua jipu Magufuli hajatumbua jipu hata moja tangu aingie madarakani
Is it the fashion this days to dismiss anybody whose view you disagree with as gay?I tend to avoid anything Makau Mutua writes.I am not sure of his sanity.The things he writes its like the ramblings and hallucinations of a mad man.He thinks because he hates Uhuruto with an abnormal intensity,that if he writes even lies and out of the world weird things about Kenya he is hurting Uhuruto.Kenya is the ultimate looser and if he is not Kenyan let him stick in Newyork and live his dirty sodomite life in peace.This gay men have an abnormality in their brains,methinks.
Dismiss what he said about Tanzania, because he sounds ignorant of the country down south. But to be honest, there is every need for our country-people to dialogue with each other. We are doing so well economically, but taking a nose dive politically and might cost us heavily.
As long as u dont make a big deal about the fact that u are gay, pipo will leave u alone. But Kenya is still a conservative society, LGBT isnt yet embraced. But there are rights groups calling for their acceptance.I thought Kenyans r tolerable to LGBTs!
Is this really you? Did you just concede to your pending defeat? Hahahaaaa.......this is good. Dawa imewaingia!This is Good... Let's be like Western Europe
Kenya nikama Britain The loudest noisemaker in The West but France and Germany have larger economies than the UK.... am good with that as long as we all develop without war!!!
It is Ethiopia, not Tanzania that is a pain on Kenya's butt. Tz needs at least +20years to catch up with Kenya.Bwahahah, Tanzania is kicking/whipping Kenya's rear ends! This will be my new quote! Those Kenyan tanyees must be in pain soiled, soured n swollen!
I just quoted MakauIt is Ethiopia, not Tanzania that is a pain on Kenya's butt. Tz needs at least +20years to catch up with Kenya.
Finally you have postponed to another 10years just as you are known of.I just quoted Makau
"In the region, two countries are kicking our rear end. Tanzania has slowly been stealing Kenya’s thunder. Visit Dar, if you haven’t lately, and you will see a city on the move. Give Dar a decade and it will totally outstrip Nairobi. President John Pombe Magufuli is a truly new breed. He doesn’t do PR. A throwback to the austere Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, he’s fired up the imagination of Tanzanians. He’s Mwalimu 2.0 No, he’s not digital – he’s better than that. That because he guillotines the corrupt without pity.
He’s taken Africa by storm – he’s truly kusema na kutenda (not just talk but action). I’ve heard some Kenyans pining for Mr Magufuli. He’s Rwanda’s Paul Kagame without autocracy."
mkishatupita njooni mtuambie hizi kelele zimezidi sasaSiku zote ukweli.ni.mchungu,wajukuu wa Kenyatta hawataki kusikia wala kuamini kuwa gap la Kenya.na majirani zake hasa Tz linazidi kupungua siku hadi siku
So tz has had an FDI worth of how much?$5bn,$6bn?Maybe in tanzanian shs.Hahaha!Kenya has never had an FDI worthy $4 bln since her existence!