Kenya: Pacha wawili waomba kuolewa na mwanaume mmoja ili wasitenganishwe. Jamaa akubali kuwaoa

Kwahiyo hao ndo wana wa 3some eeh!! Wanafaidi sana,

Huna ubabu wowote acheni kutunyima ambavyo hatujawaomba๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š

Hauwezi kumnyima mtu kitu usichokua nacho, harakati zilishafika tamati. Muda wetu imeisha, Kwa Sasa tunajitahidi Milo yenye mboga mboga, matunda Kwa wingi na mazoezi ya hapa na pale.

Hao jamaa ndio wataalam wenyewe waasisi kabisa tena wana hati miliki.
 
Simu yangu haina chaji na umeme umekatika babu, nitarudi baadae
 
ni kuwamwaga wazungu kwa kwenda mbele. inapendeza kwa kweli
 

Mii wasiwasi wangu, wanapokuwa na umoja inakuwa sawa una mke mmoja. Maana hakuna ushindani ambao huongeza ubora. Kwa zamani ingekuwa bomba sana, ila kwa sasa inapaswa wawe na biff halafu wewe katikati yao unakula raha.
๐Ÿ˜›
 
Mii wasiwasi wangu, wanapokuwa na umoja inakuwa sawa una mke mmoja. Maana hakuna ushindani ambao huongeza ubora. Kwa zamani ingekuwa bomba sana, ila kwa sasa inapaswa wawe na biff halafu wewe katikati yao unakula raha.
๐Ÿ˜›
Lakini ni bora kuwa na wake wawili wasiojuana kuliko hao pacha
Tatizo mbali na wivu ila hata mwanaume akifanya kosa kubwa kwao watamchangia kwa sababu wapo wawili
Ila tuwaombee maisha mema
Kama nawaona timu ya watoto hapo ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ
 
Hawajafanana kihivyo.
Pili kwa dini yetu ni haramu kuoa mtu na nduguye.
Lazima yatamkuta tu na hatadumu nao.
 
Mzabzab ana cheo chake, nasikia hizi taarifa zimemsononesha sana, anatamani ingekua ni yeye

Nipo Kizimkazi nashangaa Dolphins tajiri
Bwana wee mie sina bahati na threesomes ila natamani sanaaaa
 
Hawataki kutengana!!! Hata kitandani wanalala pamoja???
Je, wazazi wameridhia watoto wao wabebe laana ???
Je, muoaji amekubali kuanzisha kizazi cha laana???
Wanaume ni muhimu sana kujiandaa kuwa na kizazi bora kupitia chaguo sahihi la mama bora!
Mwanaume ndiye mwamuzi wa ndoa so upendo wako usizibe au kuzuia uwezo wako wa kufikiri na kuamua kwa hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ