majasusi wenyewe ndio design ya hwa wauza mabumunda tunabishana nao hapa wakishangiria polisi kuvuka boda wakikimbiza wahamiaji[emoji16][emoji16].Hivi Kenya kuna majasusi naona kuna mabumunda tu
Tahadhali msije kudhani walikimbia kwa kuwa hawayawezi ila vipi kama wanatengeneza ushahidi?Your policemen can't come back after what happened to them yesterday.
Ha ha haaa!The scene was at the border my friend. Today Kenyan police are even navigating hadi kwa boma za watanzania.
Ukimuambia aseme Corona anasema Colona ππ hivyo ndivyo tunatofautisha.lakini nyinyi watu ni wajinga sana leo nimeamini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
kwahiyo mnajuaje huyu ni mkenya huyu mtz kwa kukimbiza watu hapo kama kuku ya sikukuu??
tuliiashawaambia katika nyanja za kutumia akili tuliisha waacha na mnajua hilo,tumeshika waandishi 2 tu wa habari kwa kiherehere chao,mmejaa tayari[emoji23][emoji23][emoji23]
Unakumbuka ng'ombe na vifaranga tulicho fanya TZ uwa hatukulupuki kama NYUMBU endelea kujinadi!Mk254, unakumbuka zile picha za wale majeshi sijui wasomalia zilizosambaa mtandaoni kule mandera ya kwamba wanapiga doria kenya..
Watanzania walikejeli sana na kusema eti kenya ni jeshi dhaifu..
Vile sai imewatokea wao wanajitia eti wao wana busara san[emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya police piga watu bakora hakuna cha kubembelezana, we kwenu kuna chakula unang'ang'ania nn kuingia sehemu ya njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
majasusi wenyewe ndio design ya hwa wauza mabumunda tunabishana nao hapa wakishangiria polisi kuvuka boda wakikimbiza wahamiaji[emoji16][emoji16].
wanasema ukitaka kuona nchi imestaarabika kiasi gani angalia vyombo vya dora yake vimestaarabika kiasi gani???kama polisi wako hivyo unadhani kuna chombo kingine cha serikali kinatumia akili na utaalam tena!!!!
rais mpaka anatoa maamuzi ya ghetto,watu hawajui hata madhara yatakayokuja kutokea!!!!no whonder alshabaab wanajipigia tu,sorry to say tha truth.
nado moja,ukiona anaugua corona anakaa kama kifaranga kilicholoa ujue huyo ni mkenya,ila ukuona corota test +ve na linadunda tu ujue ni mbongo.Ukimuambia aseme Corona anasema Colona [emoji23][emoji23] hivyo ndivyo tunatofautisha.
Nchi ya maziwa na asali.Hivi mbona Watanzania wanalazimishia kuingia Kenya kwa kung'ang'ania, mbona wasifuate taratibu zilizopo za kupimwa kwanza, kwani mna njaa ya aina gani hii hadi mumeamua mtuletee Corona bila kujali au kujijali.
Why would our President talk to Kenyatta?While we have strong institutions working on both sides?Imagine if magufuli could talk to kenyatta and coordinate some of these things, none of this shit would happen.....but one of those men does not want to talk to the other and this is the result
Mmepigana Vita ngapi mkashinda?Tuliwaambia hata hiyo ikulu ya Dar tunaingia bila kuzuiliwa na mtu...jeshi la polisi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeipenda avatar yako πππTuliwaambia hata hiyo ikulu ya Dar tunaingia bila kuzuiliwa na mtu...jeshi la polisi tu πππ
Bro wacha nikufunze kiasi uwache kurely on vijiweni chronicles;Mmepigana Vita ngapi mkashinda?
Si tumeshinda vita zote, mpaka South Africa tumesaidia Liberation.
Nyie mmefanya nini?
Somalia tu imewashinda!!
Jiulize Al shabab kwanini anaogopa kuja hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona Watanzania wanalazimishia kuingia Kenya kwa kung'ang'ania, mbona wasifuate taratibu zilizopo za kupimwa kwanza, kwani mna njaa ya aina gani hii hadi mumeamua mtuletee Corona bila kujali au kujijali.