gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Tofauti yake nini?Uchaguzi hautofanyika!Au IEBC itamzawadia Raila ushindi au unadhani kususa kwake kutafanya madai yake yatekelezwe aaa wapi? He has lost a battle before a war!Tofautisha kenya na TZ mkuu
Raila ni shujaa na mwamba wa Demokrasia.Historia itamkumbuka tu.Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017
Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
- Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
- Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
- Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki
Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;
“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”
"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"
Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.
Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.
Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.
Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
===============================================================================
Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017
Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017
Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
- Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
- Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
- Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki
Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;
“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”
"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"
Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.
Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.
Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.
Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
===============================================================================
Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017
No need to participate in a pre-determined election.Well, if he has a reason to believe the election will be rigged once again, why waste resources? Good move Odinga
You are wise.Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.
Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017
Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
- Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
- Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
- Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki
Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;
“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”
"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"
Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.
Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.
Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.
Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
===============================================================================
Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017
Halafu kipindi hicho IEBC wanaandaa uchaguzi Rais atakuwa nani, Odinga au?!Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.
Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.
Kwann kasema kesho waandamane nchi nzima ka c mshari huyu.Mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya yaani NASA Mh Raila Amolo Odinga leo tarehe 10/10/2017 saa kumi na moja saa za Afrika Mashariki amejitoa rasmi katika marudio ya uchaguzi nchini Kenya yanayotegemea kuanza mwezi ujao.
Akizungumza na waandishi wa habari na wakenya Raila Odinga amesema yeye alikua anataka uchaguzi bora na sio bora uchaguzi hasa baada Rais Kenyatta kukataa kuibadili tume ya uchaguzi mkuu Kenya, aidha Odinga amesema hatashiriki katika harakati zozote za uchaguzi na kampeni nchini humo maana bado kuna tatizo katika tume ya Taifa ya uchaguzi nchini Kenya na amesema atakaa kimya kwa lengo la kuiokoa Kenya.
Tanua ubongo wako japo kidogo uone yaliyomoAlionekana kutotaka marudio toka kitambo
Athari kubwa ni kwamba nchi haitatawalika westen koteNilitegemea kupata athari za odinga kujitoa katika uchaguz lakini hujatoa hata moja!
Ameamua
Kama ni kweli nadhani ni uamuzi sahihi,marekebisho yanatakiwa yaanzie kwenye hiki kitu kilichokua designated kinachoitwa 'Tume'.hii tume inatakiwa ikubalike pande zote mbili