KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

Nilitegemea kupata athari za odinga kujitoa katika uchaguz lakini hujatoa hata moja!
Kwa Raila kujitoa maana yake uchaguzi uliopangwa tarehe 26.10.2017 hautafanyika na badala yake uchaguzi mpya utaitishwa baada ya siku 90 utakaotanguliwa na vyama kuchagua wagombea.

Ujinga kweli kweli, bajeti nzima ya mwaka huu wa fedha wataitumia kwenye chaguzi ambazo hazina mwisho maana hata huo uchaguzi ujao anaweza kujitoa tena mwishoni.
 
Kaamua kumuachia fisi mfupa? Katiba yao inasemaje kama mgombea mmoja akijitoa kwenye 2nd run baada ya ile ya kwanza kufutwa?
 
Kenya haitatawalika tena,

Uhuru atatawala kwa wakikuyu

na wakalenjin tu, naiona kenya

ikipasuka
hlafu huko kwimgine nani atatawala? raisi ni mmoja tu na yeye ndiye mwenye funguo wa hazina sasa mkikaa kusema hatumtambui uhuru nani mwingine atawaletea maendeleo?
 
Ana point, huwezi shiriki tena uchaguzi wakati wale waliounajisi bado kwa nafasi zao, ukifanya hivyo utakuwa dhaifu mno, ni bora utoke.
 
Yaani upinzani bhwana uchaguzi wa haki ni ule wanaoshinda au wanaotarajia kushinda Wakiona hakuna uwezekano wanatafuta sababu haya akisusa wenzake watakula
 
hlafu huko kwimgine nani atatawala? raisi ni mmoja tu na yeye ndiye mwenye funguo wa hazina sasa mkikaa kusema hatumtambui uhuru nani mwingine atawaletea maendeleo?
Kaka subiri uone mchezo I feel very sory for UK
 
Aliposhindwa alienda mahakamani na akashinda kesi na uchaguzi ukaamuliwa urudiwe.Hilo ni jambo la kidemokrasia na nililipenda

Kilichonichosha ni kitendo cha yeye kutangaza kujitoa kupitia media na kuitisha maandamano

Najiuliza:
+Sasa kama amejitoa si anabaki kuwa raia Wa kawaida , sasa anaandamana kama nani?!
+Watu Wa tume wako kwa mujibu Wa sheria,sasa watabadikishwaje ghafla hivi bila vikao vya bunge?!

Najaribu tu kuwaza
 
Ana point, huwezi shiriki tena uchaguzi wakati wale waliounajisi bado kwa nafasi zao, ukifanya hivyo utakuwa dhaifu mno, ni bora utoke.
Maalim Sefu ajifunze kwa Raila jinsi alivyoweka mpira kwapani
 
Tanua ubongo wako japo kidogo uone yaliyomo

usikubali ubongo wako uwe kama bumunda.
Hujui lolote lile wewe akili mgando.. Raila ndo alitaka sana uchaguzi urudiwe sasa hivi yeye anachomoa na aliyoyata asilimia kubwa yamefanywa. Sasa huoni hizi bilioni 12 ambazo zingeweza kutumika kufanya mambo mengine. Yeye angekataa toka mwanzo?

Kwa taarifa yako katiba ya Kenya haizuii kutofanyika uchaguzi.
 
Aliposhindwa alienda mahakamani na akashinda kesi na uchaguzi ukaamuliwa urudiwe.Hilo ni jambo la kidemokrasia na nililipenda
N
Kilichonichosha ni kitendo cha yeye kutangaza kujitoa kupitia media na kuitisha maandamano

Najiuliza:
+Sasa kama amejitoa si anabaki kuwa raia Wa kawaida , sasa anaandamana kama nani?!
+Watu Wa tume wako kwa mujibu Wa sheria,sasa watabadikishwaje ghafla hivi bila vikao vya bunge?!

Najaribu tu kuwaza
Raila anafanya vurugu tu, kwa vyovyote hawezi shinda uchaguz Kenya yote labda kwao Kaunti ya Kisumu
 
Huyu mzee anataka watu wapasuane
HAPANA, Raila Odinga ameishategua Kitendawili " No Reform No Election"
def3721254e291a2b72f22f314e3f232.jpg
 
Kama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].

Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.
Vyama vya upinzani kama vingesusa chaguzi zote tangu hiyo 1995, unafikiri ingesaidia kukuza demokrasia ya nchi yetu.
 
Kama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].

Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.
Aje kushiriki tucta mwezi ujao kama huo autaki
 
Subiri maandamano yake sasa,aliyeitwa Baba wa demokrasia anaenda kuipaka mavi CV yake kwa kutumia polisi.
UK kama namuona vile anavyomchukia Le Dokta Vijembe wetu maana ni kama RAO anapata kiburi toka sehem fulan nchin
 
Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017

Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
  • Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
  • Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
  • Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki


Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;

“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”

"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"

Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.

Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.

Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.

Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku

Uhuru Kenyatta amemjibu Raila kwa kusema hivi


===============================================================================

Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017

Jamaa kachungulia kaona atapigwa tena mchana kweupe!
 
A very wise decision. But I thought they would have designated another one rather than the unpopular Kalonzo. There isn't much time enough to popularize Kalonzo. So, Uhuruto are back, me thinks.
Kalonzo wanamuita WATER MELON (nje kijani, ndani nyekundu) nadhani devil approaches zifuatazo zaweza tumika.
1. Pesa itumike kumnunua Kalonzo.
2. MANATI YA MZUNGU itumike ipasavyo kupunguza kadhia hizi
 
Back
Top Bottom