KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

Tofautisha kenya na TZ mkuu
Tofauti yake nini?Uchaguzi hautofanyika!Au IEBC itamzawadia Raila ushindi au unadhani kususa kwake kutafanya madai yake yatekelezwe aaa wapi? He has lost a battle before a war!
 
Nilitegemea kupata athari za odinga kujitoa katika uchaguz lakini hujatoa hata moja!
 
Huyu jamaa apimwe mkojo...kama alikuwa hana nia ya dhati ya kugombea kwa nini aliingizie taifa la Kenya hasara ya kurudia uchaguzi? Hopeless NASA
 
Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017

Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
  • Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
  • Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
  • Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki


Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;

“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”

"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"

Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.

Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.

Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.

Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
===============================================================================

Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017

Raila ni shujaa na mwamba wa Demokrasia.Historia itamkumbuka tu.
Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017

Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
  • Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
  • Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
  • Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki


Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;

“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”

"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"

Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.

Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.

Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.

Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
===============================================================================

Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017
 
Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.
 
Sasa Tz tungekuwa na uongozi making na wenye mikakati wangetumia hiyo opportunity, kujijenga zaidi na kukaribisha wawekezaji kwa kujenga mazingira rafiki zaidi, coz ndugu zetu hali yao kwa sasa sio stable, ila kwa sababu huyu Jamaa wetu hajui international politics muache aendelee kupambana na kina Mange Kimambi
 
Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.
You are wise.
 
Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017

Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
  • Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
  • Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
  • Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki


Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;

“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”

"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"

Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.

Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.

Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.

Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
===============================================================================

Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017



Shocking announcement.
 
Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.
Halafu kipindi hicho IEBC wanaandaa uchaguzi Rais atakuwa nani, Odinga au?!

Hebu acha kufikiria kishabiki shabiki.
 
Ni njia sahihi kwa mujibu wa katiba ya Kenya hilo ni pigo kwa Uhuru Kinyata sababu muda wa yeye kuitawala Kenya unazidi kuyoyoma na kujiondoa kwa Odinga katika uchaguzi IEBC itawalazimu kuandaa uchaguzi mpya tofauti na huu ambao ulimpa nafuu Uhuru.

Na huo uchaguzi mpya je ataruhusiwa kuwa mgombea tena kwa mjibu wa katiba?
 
Mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya yaani NASA Mh Raila Amolo Odinga leo tarehe 10/10/2017 saa kumi na moja saa za Afrika Mashariki amejitoa rasmi katika marudio ya uchaguzi nchini Kenya yanayotegemea kuanza mwezi ujao.
Akizungumza na waandishi wa habari na wakenya Raila Odinga amesema yeye alikua anataka uchaguzi bora na sio bora uchaguzi hasa baada Rais Kenyatta kukataa kuibadili tume ya uchaguzi mkuu Kenya, aidha Odinga amesema hatashiriki katika harakati zozote za uchaguzi na kampeni nchini humo maana bado kuna tatizo katika tume ya Taifa ya uchaguzi nchini Kenya na amesema atakaa kimya kwa lengo la kuiokoa Kenya.
Kwann kasema kesho waandamane nchi nzima ka c mshari huyu.
 
Huyu Odinga ana tapa tapa sana,bora kajiondoa maana wakenya wangepata ugonjwa unaoisumbua Tanzania ugonjwa wa uongozi wa hovyo
 
Kenya haitatawalika tena,

Uhuru atatawala kwa wakikuyu

na wakalenjin tu, naiona kenya

ikipasuka
 
Nilitegemea kupata athari za odinga kujitoa katika uchaguz lakini hujatoa hata moja!
Athari kubwa ni kwamba nchi haitatawalika westen kote

pamoja na coast regions amboko nasa wana wafuasi wengi

watamkataa Uhuru kama raisi wao halali kitakachotokea

wanaweza kujitenga.....lets wait and see
 
Source al Jazeera . Amejitoa baada ya kuona kutakuwa na udanganyifu hivyo UCHAGUZI kuwa incredible. UHURU Kenyata kupitia jubilee atashiriki pasi kujali kujitoa Odinga kupitia NASA. UKANA SHILUNGO.
 
Kama ni kweli nadhani ni uamuzi sahihi,marekebisho yanatakiwa yaanzie kwenye hiki kitu kilichokua designated kinachoitwa 'Tume'.hii tume inatakiwa ikubalike pande zote mbili

Amekubali yaishe salama. Hataki the Hague. Bora Uhuru aapishwe Kenya ibaki salama na yeye astaafu salama. Ushindi ni kwa Wakenya wote wakiwemo Uhuru na Raila. Uamuzi mzuri. Historia aliyoweka inamtosha. Tusisikie tena anarudi. Na walio mashabiki wa siasa wamwache wasimzonge zonge. Nadhani ameshauriwa na jopo lake mahiri la akina Orengo. Huu unaweza kuwa uamuzi bora sana kwa vile hali ilivyo.

Ushauri wetu awasimamie wafuasi wake wasiandamane na wasilete vurugu. Hapo tu. Waache kwa hiari na kwa amani. Tusisikie matairi yanachomwa ama vizuizi barabarani ama nini sijui. Uchaguzi ukifika wakae nyumbani wampe mwenzao Uhuru uongozi. Akishinda wamuungue mkono. Kenya iendelee. Atapata heshima. Hata wenzake wa Jubilee huenda wakamsema sana mwanzoni kwa kuwa atakuwa amewanyima ushindi uwanjani. Lakini baadaye watagundua ameiokoa Kenya.

Alifanya hivi hivi Toivi ja Toivo Namibia. ingawa yeye hakuwa kutoka upinzani lakini angeweza kudai nafasi ya kuongoza Namibia. Makaburu walimwachilia toka gerezani wakidhani itawagombanisha yeye na Mzee Sam Nujoma. Toivo lah! akasema "'wacha' Nujoma agombee aiongoze Namibia." Mazingira yote hayo ni tofauti lakini la msingi ni kukubali kuachia unachodhani una nafasi ya kukingangania kwa ajili ya mustakabali wa taifa lenye watu wengi. Ikiwa Raila hakujua "nini maana ya uamuzi wake", basi tunamwambia toka mbali.

Wamefanya wengi maamuzi ya namna hii kwa jinsi zao. Gandhi alimwachia Jawaharlal Nehru awe Waziri Mkuu India baada ya uhuru 1947.Walipatana tokea 1941 Gandhi akisema Nehru anafaa zaidi kuliko yeye. Hata baba yake Raila, Mzee Oginga Odinga, alimwachia Mzee Jomo Kenyatta atoke gerezani aje atawale ingawa nafasi ilikuwa yake.Wawili hao waliheshimiana sana hadi pale matatizo yalipotokea Kisumu miaka michache baada ya uhuru. Raila mwenyewe alifanya hivi kwa Kibaki akitoa ule usemi wake maarufu: "Kibaki Tosha". Historia ni kama inajirudia vile.

La msingi Raila asimchukie Uhuru wala Jubilee. Wala asitoe kashfa ama maneno chochezi akiwa nje ya ulingo alimokuwemo. Nimelitazama suala la Raila kujitoa kwa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom