Kenya: Rais Samia afungua kongamano la wafanyabiashara nchini Kenya, Rostam Aziz atema madini ukumbi mzima wamshangilia

Sasa huyo 'Samjo Samjo' Rostam Aziz akitema hayo Madini kwa Kuongea hivyo hapo Ukumbini Nairobi 'Practically' ina Tija ipi ( gani ) kwa Maendeleo ya Tanzania yetu hii?

Usitake tu Kutulazimisha tuseme yake.
Kipi ambacho Rostam hajawahi semwa na bado ana dunda?
 

Sasa hapo point yako ni nini, ama unajaribu kumlaumu mtu mwingine kwa umaskiniwako mwenyewe wa kujitakia.
Hizi akilizako ndogo ulizotumia ku comment huu utumbo hapa ungezitumia kufanya kazi usinge kuwa unalialia hapa.

Awamu ya tano imefundisha watu kupambana kujitegemea, kama ulikuwa mvivu haya ndio matokeo yake.
Namliambiwa kabisa asiefanya kazi na asile, ukiendelea na uvivu utalaumu kila awamu mbaka unaingia kaburini.
 
kapiga hasa

DISAPPOINTED TANZANIA BUSINESS MOGUL ASKS TOUGH QUESTIONS AT UHURU & SAMIA'S MEETING IN NAIROBI!!​

 
Binafsi nachukia bidhaa za Tanzania hazina ubora kabisa nitoe mfano wa dawa ya viatu kiwi ukichukua ya Tanzania inaharibu ngozi ya viatu haina mng'ao kabisa lakini kiwi ya Kenya ninzuri sana ata ukienda kwa shoeshine yeyote anakwambia dawa za Tanzania ni mbaya.
Kwahiyo tusilazimishe bidhaa zetu kwenye masoko tuziboreshe kwanza.

Uyo Rostam ni muhuni tu amewahi kuzalisha kitu gani chenye ubora akakiuza nje ya nchi? Sanasana amekuwa mpiga dili nakukimbiza pesa zetu nje ya nchi.
 
Mnatukela na taarifa za marehemu naninyi mtakufa muda mfupi
 
Rostam kama Mtz, basi mbona hataki wekeza Tz kwenye kilimo ili atoe ajira, na kuwezesha kupata malighafi kwa ajili ya viwanda, ambavyo vitazalisha ajira na pia kuwezesha serikali kupata kodi na kuwezesha kuinua uchumi wa nchi.... kaazikweli kweli.
 
Rostam kama Mtz, basi mbona hataki wekeza Tz kwenye kilimo ili atoe ajira, na kuwezesha kupata malighafi kwa ajili ya viwanda, ambavyo vitazalisha ajira na pia kuwezesha serikali kupata kodi na kuwezesha kuinua uchumi wa nchi.... kaazikweli kweli.
Hivi unajua amewekeza Bilioni 50 kwenye Kiwanda cha Ngozi Morogoro au Unataka Kilimo cha mazao ndio upate amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…