Kenya rules EAC in trade (Uchumi wa makaratasi)

Kenya rules EAC in trade (Uchumi wa makaratasi)

Ni wapi % ya ukuaji ikawa pesa?

So 12% ni heri kuliko 7.9b?[emoji23][emoji23]
Midanganyika bana illiteracy itawamaliza
Sasa kama ni pesa si upige hesabu hapo.Tafuta thamani ya export zenu last year na fanya vivyohivyo kwa upande wetu.Kisha linganisha uone huo u-giant uchwara mnaojiaminisha.

Kama nawe unajihesabu miongoni mwa walioelimika,basi kazi ipo.
 
Kha nusra Kenya iwe kwenye wimbo wenu wa taifa, sidhani kama kuna taifa huwapa kichaa kama Kenya, hehehehe!!! Mumepambana kutufikia ila ndio hivyo kwa mlivyo wazembe huwa tunaongeza pengo na kuendelea kuwaacha kielimu, kiuchumi, kijeshi na kila kitu, mpaka siku mtaacha uzembe ndio mtatunusia kwa nyuma.

Kipindi cha JK mlikua mnajongea, ila awamu hii ndio kwaheri kabisa maana hamna jipya zaidi ya mikwara na makelele.
JK alikuwa anawachekea chekea ndo maana mnamsifia. Ila sahivi mchaka mchaka tu kazi kazi yaani. By 2025 mambo yaliyopo huku mtayaona labda na kwa madiba tu na si nchi nyingine yoyote Africa. Na huo uchumi wenu wa kukua 1.4% hehehe.
 
Kha nusra Kenya iwe kwenye wimbo wenu wa taifa, sidhani kama kuna taifa huwapa kichaa kama Kenya, hehehehe!!! Mumepambana kutufikia ila ndio hivyo kwa mlivyo wazembe huwa tunaongeza pengo na kuendelea kuwaacha kielimu, kiuchumi, kijeshi na kila kitu, mpaka siku mtaacha uzembe ndio mtatunusia kwa nyuma.

Kipindi cha JK mlikua mnajongea, ila awamu hii ndio kwaheri kabisa maana hamna jipya zaidi ya mikwara na makelele.
Kuwafikia kwa kipi mzee?

Siku mtakuja kujua mnashindana na asiyeshindana na nyinyi mtakuwa mmeshapotea kwenye ramani.

Mbele ya tz mkenya unaongea nini zaidi ya hiyo namba ya uchumi bandi?
 
Km kupanga tu imewachukua miaka mitano na bado hamjamaliza. Kwhyo tuwape miaka kumi ya kumaliza mipango yenu, alafu 50years ya utekelezaji.
Tunapanga miaka 5,na mmekimbia uzi wa battle btn,subiri miaka 5 ndio utajua ulikuwa umelala.
 
kuwafikia kwa kipi mzee???

siku mtakuja kujua mnashindana na asiyeshindana na nyinyi mtakuwa mmeshapotea kwenye ramani.

mbele ya tz mkenya unaongea nini zaidi ya hiyo namba ya uchumi bandi???

Halafu kingine kitakacho hakikisha tuaendelea kubaki juu yenu ni elimu, mna elimu mbovu sana na kwa mwaka tunawazidi mara mbili kwa wanaofuzu kutoka vyuo vikuu.
 
Halafu kingine kitakacho hakikisha tuaendelea kubaki juu yenu ni elimu, mna elimu mbovu sana na kwa mwaka tunawazidi mara mbili kwa wanaofuzu kutoka vyuo vikuu.
hao watu mnawaopa nini baada ya hapo kuhakikisha maish yao yanaboreka???

au wanaishia kufaulu mara mbili ya tz tu!!!
 
hao watu mnawaopa nini baada ya hapo kuhakikisha maish yao yanaboreka???

au wanaishia kufaulu mara mbili ya tz tu!!!

Watu hawafuzu vyuoni ili wapewe, wanakwenda kufundishwa jinsi ya kupambana Kikenya, na ndio maana tunatawala ukanda wote huu kiuchumi na kwa kila namna, aisei ndio maana mpo mivivu na maskini wa kutupwa miaka yote hii, ujamaa uliwalemaza mumekaa mpewe, hamchochei ubongo.
 
Watu hawafuzu vyuoni ili wapewe, wanakwenda kufundishwa jinsi ya kupambana Kikenya, na ndio maana tunatawala ukanda wote huu kiuchumi na kwa kila namna, aisei ndio maana mpo mivivu na maskini wa kutupwa miaka yote hii, ujamaa uliwalemaza mumekaa mpewe, hamchochei ubongo.
unamtawala nani wewe,unapewa msaada mpaka wa chakula kutoka nchi za jangwa??

ofcourse kenya ni nchi ya kuhaso,ndio maana tunawaonea huruma ,maana maish ni ngumu sana,pamoja na kupambana sana.

tumeanza na middle income economy this year,no of millionaires tutaendelea kuwagonga na status zingine mpaka mkae sawa.

nyinyi endeleeni kukuza uchumi unaofaidisha wakora wawili tu,huku nyangau zinyine zikiendelea kuhaso.
 
unamtawala nani wewe,unapewa msaada mpaka wa chakula kutoka nchi za jangwa??

ofcourse kenya ni nchi ya kuhaso,ndio maana tunawaonea huruma ,maana maish ni ngumu sana,pamoja na kupambana sana.

tumeanza na middle income economy this year,no of millionaires tutaendelea kuwagonga na status zingine mpaka mkae sawa.

nyinyi endeleeni kukuza uchumi unaofaidisha wakora wawili tu,huku nyangau zinyine zikiendelea kuhaso.

Nyie hamna uwezo wa kumpa yeyote huruma maana kwanza wenyewe maskini nyuma yetu kwa mbali, pili omba omba wenu wamaejaa huku, nyie ndio taifa pekee Afrika hii ambalo watu wake wanateseka kwa ukata mpaka kuvuka mipaka kuja kuomba omba, mumekua aibu ya Afrika. Na tutaendelea kuwatala sana, kwanza mlivyo wazembe ni sababu tosha za kuendelea kuwakalia......tunawapiga double double kwenye kila kitu ikiwemo elimu hehehehe....
 
Nyie hamna uwezo wa kumpa yeyote huruma maana kwanza wenyewe maskini nyuma yetu kwa mbali, pili omba omba wenu wamaejaa huku, nyie ndio taifa pekee Afrika hii ambalo watu wake wanateseka kwa ukata mpaka kuvuka mipaka kuja kuomba omba, mumekua aibu ya Afrika. Na tutaendelea kuwatala sana, kwanza mlivyo wazembe ni sababu tosha za kuendelea kuwakalia......tunawapiga double double kwenye kila kitu ikiwemo elimu hehehehe....
ni afadhali yetu,maana hao ombaomba hakuna ushahidi wa moja kwa moja kwamba wanatoka tz,bali mnawavika utz tu ili kujisafisha,kama omba omba wanatokea tz mazombies nao ni product ya wapi???maana wanapatikana kenya pekee.mnakaa mnatuaibisha EA wote tunaonekana ni shit sababu ya kwenda kupewa misaada ya mahindi na nchi ya jangwa 100%.

nyinyi ni wazee wa kutu double kwenye vitu vya kijinga ndio sabahu hatushtuki,mnatudouble kwenye ukosefu wa ajira,uhalifu,ufisadi,wizi,vurugu,nk.lakini mambo ya msingi hata wewe unajua huwezi kaa meza moja na tz.
 
ni afadhali yetu,maana hao ombaomba hakuna ushahidi wa moja kwa moja kwamba wanatoka tz,bali mnawavika utz tu ili kujisafisha,kama omba omba wanatokea tz mazombies nao ni product ya wapi???maana wanapatikana kenya pekee.mnakaa mnatuaibisha EA wote tunaonekana ni shit sababu ya kwenda kupewa misaada ya mahindi na nchi ya jangwa 100%.

nyinyi ni wazee wa kutu double kwenye vitu vya kijinga ndio sabahu hatushtuki,mnatudouble kwenye ukosefu wa ajira,uhalifu,ufisadi,wizi,vurugu,nk.lakini mambo ya msingi hata wewe unajua huwezi kaa meza moja na tz.

Hamna ushahidi kivipi mumetujazia ombaomba, nyie ni aibu Afrika hii, mna kila kitu, madini, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri, nchi yenye kubwa kushinda hata ukiunganisha Uganda, Kenya na Rwanda. Kwenu huko ni muungano wa mpaka visiwani, yaani kila kitu mnacho lakini maskini wa kutupwa kule hadi kainch kadogo kama Kenya tena kainchi ambako zaidi ya nusu ni kame tupu lakini kanakaribia kuwapiga double kiuchumi, mnatia huruma kwa jinsi mlivyo wavivu.
 
Hamna ushahidi kivipi mumetujazia ombaomba, nyie ni aibu Afrika hii, mna kila kitu, madini, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri, nchi yenye kubwa kushinda hata ukiunganisha Uganda, Kenya na Rwanda. Kwenu huko ni muungano wa mpaka visiwani, yaani kila kitu mnacho lakini maskini wa kutupwa kule hadi kainch kadogo kama Kenya tena kainchi ambako zaidi ya nusu ni kame tupu lakini kanakaribia kuwapiga double kiuchumi, mnatia huruma kwa jinsi mlivyo wavivu.
nyinyi na uchumi double,badala ya kutumia kufanya mambo ya msingi mnatumia kukopa mapesa,sad story hata mnachofanya na hayo mapesa hakionekani.

siku utajua uchumi wa namba hauna nafasi kwenye maendeleo ni siku mnauzwa kwa madeni GDP yenu ya kichora.

warudisheni hao ombaomba kama hamna uwezo wa kuboresha maisha yao,tofauti na walikotoka.
 
nyinyi na uchumi double,badala ya kutumia kufanya mambo ya msingi mnatumia kukopa mapesa,sad story hata mnachofanya na hayo mapesa hakionekani.

siku utajua uchumi wa namba hauna nafasi kwenye maendeleo ni siku mnauzwa kwa madeni GDP yenu ya kichora.

warudisheni hao ombaomba kama hamna uwezo wa kuboresha maisha yao,tofauti na walikotoka.

Mambo ya msingi ndio yameboresha nchi yetu mpaka mumetujazia omba omba huku, isingekua kwa ubora wa nchi yetu hamngekua mnatuma omba ombaa hadi wamekua kero.
 
Kwa Watanzania vichwa maji ambao hawaelewi kingereza, hili ripoti linasema kuwa thamani ya bidhaa ambazo Kenya baba yao (wengine wote ni watoto) inaexport kuelekea nchi zingine za Afrika Mashariki ni kubwa kushinda thamani ya bidhaa zinazotokea nchi zingine za Afrika Mashariki kuelekea Kenya.
Hapa kazi tu sifa peleka kenya kwenye njaa kila mwaka munapokea mchele wa plastic ulishawahi sikia Tanzania tunapokea msaada wa mchele au mahindi ? Sasa hizo data zenu zimesaidia nini ? Ndio maana ukaambiwa hapa kazi tu hatuna haja ya kusifiwa kama hali yako ngumu inajulikana tu hata ukiandaliwa data nzuri nzur ila huwezi ficha uhalisia na kama hali yako nzuri inajulikana hata ukiandaliwa data zote mbaya mbaya ,sasa wewe nitapeee ukimaliza nenda gengeni kaulize tomato na vitunguu hivi vya wapi utaambiwa Arusha, K njaro mbeya ukitoka hapo nenda kwenye unga utaambiwa jibu litakua hilo hilo ukitoka hapo kaguse matunda jibu bado hilo hilo harafu rudi kakumbatie data zako ukisubiri mchele wa China wa bure.
 
hivi
Mambo ya msingi ndio yameboresha nchi yetu mpaka mumetujazia omba omba huku, isingekua kwa ubora wa nchi yetu hamngekua mnatuma omba ombaa hadi wamekua kero.
yaani omba omba ndio awe observer wa ubora wa uchumi kenya hahaaa,sisi tunawatumia nyinyi wenye nguvu na akili timamu mnaokuja kuishi tz.
omba omba kuwarudisha mmeshindwa,kuwasaidia waondokane na hali hiyo pia mmeshindwa.kitu mnajua ni kupiga picha na omba omba ili waume zenu wawaone.
 
hivi

yaani omba omba ndio awe observer wa ubora wa uchumi kenya hahaaa,sisi tunawatumia nyinyi wenye nguvu na akili timamu mnaokuja kuishi tz.
omba omba kuwarudisha mmeshindwa,kuwasaidia waondokane na hali hiyo pia mmeshindwa.kitu mnajua ni kupiga picha na omba omba ili waume zenu wawaone.

Naona umeishiwa hoja, njoo huku uelewe nini maana ya sisi kuwapiga double double Mombasa Port Handles twice the amount of Cargo that all Tanzania Ports handle when Combined.
 
Kwa Watanzania vichwa maji ambao hawaelewi kingereza
Ukipiga hako Ka'Kiingereza chako cha mataputapu ya chang'aa, mwenyewe unajiona mwerevu kweli. Teh...

Huku Tanzania, hivyo viingereza vya mkoloni wa reli tumewaachia walevi wanaojitapa baa.

Ugua pole ZUMBUKUKU!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani hizo cargo zinaishia hapo nairobi pekee!!!

Waza mlivyo mivivu ya kutupwa, mnategemewa na mataifa tisa kwenye bandari zenu zote, ila hata mjumulishe bandari zote bado mnapigwa double double na Mombasa.
 
Back
Top Bottom