mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
unadhani tulikuwa vichaa kuamua kujenga reli ya kasi tokea bandarini??Waza mlivyo mivivu ya kutupwa, mnategemewa na mataifa tisa kwenye bandari zenu zote, ila hata mjumulishe bandari zote bado mnapigwa double double na Mombasa.
mvivu siku zote hufikiri zaidi ya kurahisisha kazi zake,hujui hili???
endeleeni kupiga double,mpaka siku mje shtuka mombasa nayo imekuwa ghost port ndio mtajua hamjui??anyway LAMU iko hatua gani mpaka sasa??