Kenya sasa namba tatu kwenye ushindani wa utalii

Kenya sasa namba tatu kwenye ushindani wa utalii

Adjectives ya vivutio ndio huwa muhimu, kama ni lakes, tayari zipo kwenye nchi nyingi Afrika lakini unakuta ya kwenu ndio refu zaidi ya zote Afrika. Kwamba kuna Wakenya wametaja baadhi ya hivyo vitu kuwepo Kenya, inawezekana ni baada ya kuona mlivyo wazembe mnakalia raslimali bila kuzitumia huku mkitajwa kwenye nchi maskini wa kufa mtu Afrika.
Nimekuuliza nipe kitu unique lakini hadi sasa unarukaruka tu.....
kama lakes mnazo, mbuga za wanyama,cultural heritage, historical sites, mountains hadi desert yaani na zaidi

Kwa hiyo unapoongelea utalii ni kitu kipana sana wala haijalishi rasilimali ngapi unazo bali ni upekee na wakenya hamna ujanja wa kusema kuwa mmetuzidi ujanja kwa kuwa southern circuit ya kenya na northern circuit ya tz ni kama zimeungana ambayo huwapa nguvu zaidi yaani watalii watashukia jommo kenyataa int airport na kufanya transit kuja kwetu lakini hilo litaondoka na hautoamini

Hiyo league mnayocheza ni ya northern circuit tu na sasa kusini panafunguka na hapo ndipo utakapoziona lazy bones zikiingiza pesa zaidi

tatizo huwa mnapenda kuyakuza mambo lakini ukweli mtaujua na hizo mentality zenu mtaelewa muda sio mrefu
 
Dah! Tungekua na hata robo ya vivutio vya Tanzania mbona Afrika tungekua sisi ndio tunakopesha hela za miundo mbinu.
Hapo kwenu kwanza ni nchi mbili zilizounganishwa kisanii, yaani Zanzibar pekee yake ni kivutio tosha chenye usawa na akina Mauritius wanaowashinda kwa kila kitu, uzembe tu hamna chochote.

Tatizo ni uzembe na kutoijua au kuithamini nchi yenu. kazi kushobokea wanamuziki na siasa tu mkiwa kitaa, muulize Mtanzania yeyote akutajie vivutio vyao vya utalii walau vitano, ni wachache sana wataweza, wengi mnavaa milegezo mkiimba Bongo flavo basi na kula chips mayai Dar.

You just wrote what you wanted to write for reasons that you know better.

You are turning a blind eye at our historical past; where we came from and where we are now.
 
Back
Top Bottom