Kenya sasa ni number sita Afrika kwa GDP

Kenya sasa ni number sita Afrika kwa GDP

Data yenyewe sio yetu.
GDP ni hesabu ya IMF. Tutapika vipi?

US GDP yake $20 trillion, lakini lazima wakope miradi yao. Kwa hivyo point yako gani?

Wewe kama mtu wa LDC, nakuelewa unapofikiria GDP ya $100 billion ni kubwa. Lakini ili Kenya ijitoe kwa umaskini, tunahitaji GDP ya $500 billion kwenda juu.

Lakini vile vile, hii GDP yetu imejenga lami mara mbili Tanzania. Stima mara mbili na nusu. Mishahara mara mbili.
Kenya Giza tupu nenda google earth ya usiku,picha ziliwekwa hapa za Kenya na tz zitafute
 
Yaani hawa hata elimu ya msingi kwao ni mtihani, sijui huwa wanasoma vipi kwa kweli, siku nyingine nikitembelea Bongo nitatamani niingie kwenye darasa moja nione kitu gani wanafundishwa, hizi data sio zetu, sio sisi tumezitangaza, sasa unashindwa IMF watapika data za nchi moja ya Kenya ili iweje.
Kwani ujui Kenya ni koloni la mzungu ndiyo maana upumbaavu wa EPA ,Kenya ilikuwa inatumiwa na wakoloni Kwa njama ili kufanikisha EPA
 
Kenya Giza tupu nenda google earth ya usiku,picha ziliwekwa hapa za Kenya na tz zitafute

Wacha kichaa. Kenya ardhi kubwa ni jangwa. Hakuna anayeishi huko. Unafaa ujue stima unatafuta wapi.
Vile vile Australia ambayo ni jangwa, stima yao iko tu kwenye watu wanaishi.
 
Wacha kichaa. Kenya ardhi kubwa ni jangwa. Hakuna anayeishi huko. Unafaa ujue stima unatafuta wapi.
Vile vile Australia ambayo ni jangwa, stima yao iko tu kwenye watu wanaishi.

So in Saudi Arabia there is no even a single light because it's full desert.
Uwe unatumia akili sometimes.
 
Haya mambo ya GDP niyakipuuzi sana,yaani mnagawanya utajili wa watu kadhaa tu na kujumlisha na mamilioni ya maskini namsema GDP,ujinga kabisa huu
 
Jamaa wa kukanusha na kupinga leo wanapinga hadi GDP, ya Kenya, ila sijaona hata mmoja akijadili kuhusu GDP ya Tz. Nilitegemea watasema kwamba GDP ya Tz ni kubwa zaidi ya GDP ya Kenya, kumbe hawa vinyangarika wanajijua na wamejikubali? [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hadi somalia...

Aaah aah list hii.

Ila poa.. Uletage na story za yule aliyeolewa south africa...

Ukipenda kusifia bila kukosoa mabaya unakuwa hauna uzalendo wowote
 
Wale wapgaji walobanwa na mzee magu wanaanza kurudisha mdgomdgo, huyo mwamba karudisha billion 27 alizozipga tene cash. Duh [emoji47]
IMG-20191017-WA0003.jpeg
 
Pimbi za Kenya zimepika GDP dunia ilisha sema lengo ni jubilii na Uhuru wasidhalilike Kwa kupitwa na Ethiopia. True GDP ya Kenya $ 72Bil
Ghana kanchi kadogo na population ndogo pia wamewashinda kwa zaidi ya 7 billion dollars? Nyie Ni vilaza wa kuzaliwa 😂
 
Pimbi za Kenya zimepika GDP dunia ilisha sema lengo ni jubilii na Uhuru wasidhalilike Kwa kupitwa na Ethiopia. True GDP ya Kenya $ 72Bil
Na ya Tanzania ni ngapi? 😂
 
Ghana kanchi kadogo na population ndogo pia wamewashinda kwa zaidi ya 7 billion dollars? Nyie Ni vilaza wa kuzaliwa [emoji23]
Jidanganye Ghana tunaijua miji yake hata Kampala kumejengeka
 
Back
Top Bottom