Kenya: Serikali yatangaza kuwepo kwa njaa

Kwetu hapa hakuna njaa....
Kweli hakuna njaa wala dalili ya njaa bali kuna ukame kiasi na upungufu wa nafaka ya mahindi peke yake mchele ifakara wanalia soko huko mihogo imejaa mtama umejaa viazi vitamu na mbatata vimejaa karanga zimejaa njaa inaingilia wapi?
 
Huruma ya nini kwani ikitangazwa njaa ndio itasaidia nini? Sasa kwa taarifa yako huko ulikotaja kuna mihogo kibao
 
tuko vizuri tuna upungufu wa mahindi tu lkn vyakula vingine kibao. Ifakara wanalalamika hawana soko la mchele njaa gani hiyo?
 
Sisi huku tunaua ng'ombe tunasingizia njaa na ukame
 
Kweli hakuna njaa wala dalili ya njaa bali kuna ukame kiasi na upungufu wa nafaka ya mahindi peke yake mchele ifakara wanalia soko huko mihogo imejaa mtama umejaa viazi vitamu na mbatata vimejaa karanga zimejaa njaa inaingilia wapi?
Anchosema bwana mkuubwa ni sawa..
 
Mkulu ataki kusikia habari za njaa kila mtu atabeba msalaba wake
 
Naomba kuchangia kwenye mada hii..

Kwa kweli kuna maeneo mbalimbali nchini Kenya ambako mvua huwa hainyeshi kwa muda mrefu sana, kama vile pande za Nothern Kenya. Ni sehemu kubwa sana, karibu nusu ya ardhi ya nchi.

Kwenu Tanzania naona hamna shida ya mvua sana kama hapa kwetu. Mna nafasi nzuri sana ya kuwa na chakula cha kutosha ikiwa kutawekwa mikakati inayostahili.
 
Salama wa kuu....

Nipo naangalia NTV, Serkali ya Kenya inatangaza kuwepo kwa ukame na upungufu wa chakula katika eneo kubwa la nchi. Inatoa takwimu muhimu juu ya chakula kilichopo na jitihada za serkali kutatua tatizo.

............
BADO KWETU
Kichwa cha habari ni tofauti na habari
Ukame ni tofauti na baa la njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…