Kweli hakuna njaa wala dalili ya njaa bali kuna ukame kiasi na upungufu wa nafaka ya mahindi peke yake mchele ifakara wanalia soko huko mihogo imejaa mtama umejaa viazi vitamu na mbatata vimejaa karanga zimejaa njaa inaingilia wapi?Kwetu hapa hakuna njaa....
Huruma ya nini kwani ikitangazwa njaa ndio itasaidia nini? Sasa kwa taarifa yako huko ulikotaja kuna mihogo kibaoYaani mkuu huwa najiuliza sana hawa wanao mtetea kwa haya afanyayo sasa ni kutawaliwa na ujinga au upoyoyo?
Maana kama ni Watanzania wanadharau mambo mazito hivi kwa wananchi utadhani ndugu na jamaa zao wote wanaishi New York kumbe wako huko Nanjilinji na shida na mashaka matupu.
Jee hawana huruma na ndugu hata kama wao wana maisha mazuri?
Unataka itangazwe njaa wakati hakuna?Hatuwezi kufanana ila angalau uelewa uelekee basi.
tuko vizuri tuna upungufu wa mahindi tu lkn vyakula vingine kibao. Ifakara wanalalamika hawana soko la mchele njaa gani hiyo?Kwa Kenya kuwa na uhaba wa chakula ni suala la kawaida, watz tunapenda sana siasa mufilisi. Tz ni mvua ni mvua za vuli zimechelewa au zimegoma baadhi ya sehemu, tuna hatari ya baa la njaa na sio tuna baa la njaa. Kama mvua zingenyesha ktk hali ya kawaida bado mazao yangekuwa shambani hadi leo inashangaza mtu kulia njaa saivi.
Kwa kutangaza ukame?Uongozi ni kipaji. Big up rais Kenyatta.
Tafsiri kwa kiswahili toka kihaya ni mtakufaaaaa maana baada ya majanga tutatoa majeneza kuwazikaMWAFWAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Ulitaka awe mnafki?Kwa kutangaza ukame?
Unafiki ganiUlitaka awe mnafki?
Anchosema bwana mkuubwa ni sawa..Kweli hakuna njaa wala dalili ya njaa bali kuna ukame kiasi na upungufu wa nafaka ya mahindi peke yake mchele ifakara wanalia soko huko mihogo imejaa mtama umejaa viazi vitamu na mbatata vimejaa karanga zimejaa njaa inaingilia wapi?
Utakuwa Magufuli weweNawewe tangaza kama unaweza
Kichwa cha habari ni tofauti na habariSalama wa kuu....
Nipo naangalia NTV, Serkali ya Kenya inatangaza kuwepo kwa ukame na upungufu wa chakula katika eneo kubwa la nchi. Inatoa takwimu muhimu juu ya chakula kilichopo na jitihada za serkali kutatua tatizo.
............
BADO KWETU
Sema wanakudharau sio wanatudharau wengine hatudharauliwi!!!!Serikali inayo wajibika kwa RAIA wake hiyo.
Ndio maana wanatudharau kwani hatujitambui