Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
'Ujuavyo'! Hapa hapafai ujuaji kakaNijuavyo mimi anayekukopesha pesa huwa anatazama uwezo wako wa kulipa(source of income),dhamana ulizonazo na muda wa kulipa deni.Hukopeshwi tu. So hizo naona ni propaganda tu.