Kenya should just Join Tz & Uganda to transport it's liitle Oil or loose it all

wewe kichwa maji... habari ulioleta ilikua inangelea refined oil ambayo ni imported. pipeline inayojengwa kwenda Tanga ni crude oil... yani heavens and earth


anyway, eti unasema biashara ya kusafirisha mafuta hatutaiweza... WTF! hivi unajua hata kabla tugundue oil kule turkana Tulikua na refinery plant pale mombasa ambayo tulikua tuna import bulk crude oil na ku refine wenyewe?

Hivi unajua Kenya ina import refined oil zaidi ya Uganda+ Tanzania combined! hebu niambie ni kampuni gani huko Tz zinaweza kushindana na Kampuni ya kikenya kama Kobil...
sometimes people should know their place.
 
Mbona sioni magari ya kitalii ya kutokea Kenya mbugani kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi najua Serengeti na Ngorongoro wanaingia hadi ndani na watalii kama double package kwa watalii wanaozuru nchi zote mbili za Kenya na Tz.
Hiyo mbona ipo tangu zamani? Milichokuwa mnataka ni kuingia bure bila kulipia na ku-bypass Arusha via shorter route ya Bolongoja gate. Hamjaruhusiwa hilo.
 
S kweli leta evidence! Tanzania is a mining country and her use of oil is unprecedentedly!
 
S kweli leta evidence! Tanzania is a mining country and her use of oil is unprecedentedly!
Seriously, How do you figure a country with a bigger GDP to consume less oil products than a country with a smaller GDP..... Perhaps you should first start by finding out how many vehicles are In Kenya in comparison to Tanzania ...

As of 2014, Kenya was consuming the equivalent of 92k barrels per day while Tz was Consuming 58k Barrels per day... KPC just finished construction of a $0.5B 20 inch refined oil pipilene from Mombasa to Nairobi, and is constructing new storage tank all over the country, hii si ligi yenu, shindaneni na Uganda not Kenya


Compare countries | TheGlobalEconomy.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…