Ona sasa, score line maana yake ni nini, kwenye michuano ya kuchujana? Wao wenyewe wametaja wazi, edged out in the other 'last four clash', ambayo ni quaters. Score line za game ambazo zimeisha na matokeo ya 1-0 na 2-1 ni zipi? Si ni 1-0 na 1-0? Aisee, MK254 hufanyi haki na hii lugha ambayo imetumiwa kwenye taarifa yako.
Hujui unachozungumza wewe, Tanzania imeifunga Sudan 2- 1 sio sawa na Kenya iliyoifunga Eritria 1- 0 . these are not "Similar score line".Ona sasa, score line maana yake ni nini, kwenye michuano ya kuchujana? Wao wenyewe wametaja wazi, edged out in the other 'last four clash', ambayo ni quaters. Score line za game ambazo zimeisha na matokeo ya 1-0 na 2-1 ni zipi? Si ni 1-0 na 1-0? Aisee, MK254 hufanyi haki na hii lugha ambayo imetumiwa kwenye taarifa yako.
Aisee, score line kwenye game yenu na Sudan sio 2-1(scores), score line kwenye hiyo game ni 2-1=1, yaani 1-0 kwa Tz. Umeelewa maana ya score line?Hujui unachozungumza wewe, Tanzania imeifunga Sudan 2- 1 sio sawa na Kenya iliyoifunga Eritria 1- 0 . these are not "Similar score line".
Score line maana yake ni number of goals scored, siyo difference kama unavyo taka kujidanganya. Mfano "Gor 3- 3 Simba" unaulizwa score line unajibu zero zero! Wewe ndiyo hujui, Kizungu hakijawahi nipiga chenga msee, toka nikiwa primo.Sikujua kwamba hii lugha inaweza ikakutatiza kiasi hicho. Mtu akisema .....'Tz, who edged out Sudan with a SIMILAR SCORELINE'... Wakati hapo awali alikuwa anaongea kuhusu ushindi wa 1-0, wa timu nyingine. Si hapo 'automatically' inamaanisha kwamba Tz waliwachapa Sudan 1-0 pia? Mna mazoea mabaya sana ya kulialia kwamba mnadhulumiwa kwenye kila jambo.
Hapo kwa hizo mechi mbili, ni team gani iko na clean sheet?Hujui unachozungumza wewe, Tanzania imeifunga Sudan 2- 1 sio sawa na Kenya iliyoifunga Eritria 1- 0 . these are not "Similar score line".
Hahaa! π Umechemsha jombaa, alafu eti kiingereza 'primo'? Si nilidhani huwa mnaanza kusoma kiingereza 'seco'?Score line maana yake ni number of goals scored, siyo difference kama unavyo taka kujidanganya. Mfano "Gor 3- 3 Simba" unaulizwa score line unajibu zero zero! Wewe ndiyo hujui, Kizungu hakijawahi nipiga chenga msee, toka nikiwa primo.
πππππScore line maana yake ni number of goals scored, siyo difference kama unavyo taka kujidanganya. Mfano "Gor 3- 3 Simba" unaulizwa score line unajibu zero zero! Wewe ndiyo hujui, Kizungu hakijawahi nipiga chenga msee, toka nikiwa primo.
Kenyan teamHapo kwa hizo mechi mbili, ni team gani iko na clean sheet?
Umekalili.. namshukuru mungu mzee wangu alipambana nikapitia mfumo tofauti na uliosoma wewe uliokufanya usijue nini maana ya score line [emoji38]Hahaa! π Umechemsha jombaa, alafu eti kiingereza 'primo'? Si nilidhani huwa mnaanza kusoma kiingereza 'seco'?
I would walk a thousand miles just to see your beautiful smile.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sawa, shukuru mungu kwamba walikufikisha pale Tala Boys High School, Machakos.Umekalili.. namshukuru mungu mzee wangu alipambana nikapitia mfumo tofauti na uliosoma wewe uliokufanya usijue nini maana ya score line [emoji38]
Hahahaa.. Tala Boys wanafundisha KCSE mimi sijasoma mfumo uliopitia wewe. Msee mbona uko slowSawa, shukuru mungu kwamba walikufikisha pale Tala Boys High School, Machakos.
Mfumo haujalishi, ukimaliza kushukuru wazazi usiishie hapo. Kuwa mtu mstaarabu na ushukuru wakenya kwa kukuelimisha.Hahahaa.. Tala Boys wanafundisha KCSE mimi sijasoma mfumo uliopitia wewe. Msee mbona uko slow
Kama kushukuru itabidi nishukuru wengi Ug, Naija, Congo, Tz, India e.t.c hizo ni nchi zilizotoa waalimu walio nifundisha. Mpaka wakenya wa JF ninawashukuru kwa kunifundisha ujinga [emoji38]Mfumo haujalishi, ukimaliza kushukuru wazazi usiishie hapo. Kuwa mtu mstaarabu na ushukuru wakenya kwa kukuelimisha.
[emoji1][emoji1][emoji1] Kujichocha nayo! Naona wakenya walikufundisha 'urui' pia, bure ungekua muoga muoga kama wanaume wenzako wa Dar. [emoji23]Kama kushukuru itabidi nishukuru wengi Ug, Naija, Congo, Tz, India e.t.c hizo ni nchi zilizotoa waalimu walio nifundisha. Mpaka wakenya wa JF ninawashukuru kwa kunifundisha ujinga [emoji38]
Hahahaa.. msee wewe si mtu poa umempeleka Nal.......a Olkeju ado nakumpa mang'ombe yako aku angalizie mpaka ameisahau JF [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1] Kujichocha nayo! Naona wakenya walikufundisha 'urui' pia, bure ungekua muoga muoga kama wanaume wenzako wa Dar. [emoji23]
Jesu! [emoji15] Hapo hujanishow poa mzeiya. She will be back though, very soon.Hahahaa.. msee wewe si mtu poa umempeleka Nal.......a Olkeju ado nakumpa mang'ombe yako aku angalizie mpaka ameisahau JF [emoji38][emoji38][emoji38]
Hehee.. poa msee. Fanya hima mrejeshe TzJesu! [emoji15] Hapo hujanishow poa mzeiya. She will be back though, very soon.