Kenya sink Eritrea, set up Tanzania showdown in CECAFA U20 finals


Tutawatafsiria hadi lini, siku hizi huwa nawaacha wahamaki hadi walipuke, hamna haja nipoteze muda kumsaidia mtu ambaye hataki usaidizi atkuchelewesha.
 
Hujui unachozungumza wewe, Tanzania imeifunga Sudan 2- 1 sio sawa na Kenya iliyoifunga Eritria 1- 0 . these are not "Similar score line".
 
Hujui unachozungumza wewe, Tanzania imeifunga Sudan 2- 1 sio sawa na Kenya iliyoifunga Eritria 1- 0 . these are not "Similar score line".
Aisee, score line kwenye game yenu na Sudan sio 2-1(scores), score line kwenye hiyo game ni 2-1=1, yaani 1-0 kwa Tz. Umeelewa maana ya score line?
 
Score line maana yake ni number of goals scored, siyo difference kama unavyo taka kujidanganya. Mfano "Gor 3- 3 Simba" unaulizwa score line unajibu zero zero! Wewe ndiyo hujui, Kizungu hakijawahi nipiga chenga msee, toka nikiwa primo.
 
Score line maana yake ni number of goals scored, siyo difference kama unavyo taka kujidanganya. Mfano "Gor 3- 3 Simba" unaulizwa score line unajibu zero zero! Wewe ndiyo hujui, Kizungu hakijawahi nipiga chenga msee, toka nikiwa primo.
Hahaa! πŸ˜€ Umechemsha jombaa, alafu eti kiingereza 'primo'? Si nilidhani huwa mnaanza kusoma kiingereza 'seco'?
 
Score line maana yake ni number of goals scored, siyo difference kama unavyo taka kujidanganya. Mfano "Gor 3- 3 Simba" unaulizwa score line unajibu zero zero! Wewe ndiyo hujui, Kizungu hakijawahi nipiga chenga msee, toka nikiwa primo.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hahaa! πŸ˜€ Umechemsha jombaa, alafu eti kiingereza 'primo'? Si nilidhani huwa mnaanza kusoma kiingereza 'seco'?
Umekalili.. namshukuru mungu mzee wangu alipambana nikapitia mfumo tofauti na uliosoma wewe uliokufanya usijue nini maana ya score line [emoji38]
 
Umekalili.. namshukuru mungu mzee wangu alipambana nikapitia mfumo tofauti na uliosoma wewe uliokufanya usijue nini maana ya score line [emoji38]
Sawa, shukuru mungu kwamba walikufikisha pale Tala Boys High School, Machakos.
 
Hahahaa.. Tala Boys wanafundisha KCSE mimi sijasoma mfumo uliopitia wewe. Msee mbona uko slow
Mfumo haujalishi, ukimaliza kushukuru wazazi usiishie hapo. Kuwa mtu mstaarabu na ushukuru wakenya kwa kukuelimisha.
 
Mfumo haujalishi, ukimaliza kushukuru wazazi usiishie hapo. Kuwa mtu mstaarabu na ushukuru wakenya kwa kukuelimisha.
Kama kushukuru itabidi nishukuru wengi Ug, Naija, Congo, Tz, India e.t.c hizo ni nchi zilizotoa waalimu walio nifundisha. Mpaka wakenya wa JF ninawashukuru kwa kunifundisha ujinga [emoji38]
 
Kama kushukuru itabidi nishukuru wengi Ug, Naija, Congo, Tz, India e.t.c hizo ni nchi zilizotoa waalimu walio nifundisha. Mpaka wakenya wa JF ninawashukuru kwa kunifundisha ujinga [emoji38]
[emoji1][emoji1][emoji1] Kujichocha nayo! Naona wakenya walikufundisha 'urui' pia, bure ungekua muoga muoga kama wanaume wenzako wa Dar. [emoji23]
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Kujichocha nayo! Naona wakenya walikufundisha 'urui' pia, bure ungekua muoga muoga kama wanaume wenzako wa Dar. [emoji23]
Hahahaa.. msee wewe si mtu poa umempeleka Nal.......a Olkeju ado nakumpa mang'ombe yako aku angalizie mpaka ameisahau JF [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hahahaa.. msee wewe si mtu poa umempeleka Nal.......a Olkeju ado nakumpa mang'ombe yako aku angalizie mpaka ameisahau JF [emoji38][emoji38][emoji38]
Jesu! [emoji15] Hapo hujanishow poa mzeiya. She will be back though, very soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…