- Thread starter
- #21
Si Alshabaab iko Mozambique na waliuwa watu TZ ??? ama na sahau?? I predicted this 4 years ago!Inapendeza... Ila Wasomali wanawaangaisha sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Alshabaab iko Mozambique na waliuwa watu TZ ??? ama na sahau?? I predicted this 4 years ago!Inapendeza... Ila Wasomali wanawaangaisha sana...
Naona bado uko around Jamii mad respectBadass.... Jamaa mpaka napata uwoga kwa walivyo, hongera sana wamefaulu pakubwa sana muda hatujaskia visa vya kigaidi, muhimu sana tuwe tunajua kuna hawa washakaji hukesha maporini ili tulale salama, mad respect.
Again Alshabaab wako Mozambique na last time wali attack village south TZ sikuona jeshi lenu liki saidia!Inapendeza... Ila Wasomali wanawaangaisha sana...
Naona bado uko around Jamii mad respect
Turkana Kuna Nini?Wapelekeni Turkana
Muwanunulie humvee....Badass.... Jamaa mpaka napata uwoga kwa walivyo, hongera sana wamefaulu pakubwa sana muda hatujaskia visa vya kigaidi, muhimu sana tuwe tunajua kuna hawa washakaji hukesha maporini ili tulale salama, mad respect.
Google...Turkana Kuna Nini?
Nyie Ni wale wa vijiweni hamna lolote .Google...
What a waste of brainlłl!!!!!Muwanunulie humvee....
Sio kutumia hizo pickup, mnatia aibu.
Inaonekana hujui kwamba Kapedo ni shimo ambali kdf wakiingia huwa hawarudi.Nyie Ni wale wa vijiweni hamna lolote .
Jeshi lenye vifaa, vizuri EAST Africa kutumia hizo pickup badala ya gari rasmi za kijeshi ni aibu.....What a waste of brainlłl!!!!!
Inaonekana hujui kwamba Kapedo ni shimo ambali kdf wakiingia huwa hawarudi.
Ata hii habari inaonekana huna
Kwahivyo jeshi la Tz linatumia upelelezi kulinda mpaka sio 🤣 kwahivyo Mimi nikiamua Kuingia Tz na kichakani itabidi mue mlikua mko na number yangu ya simu ya Kenya munitrack mazungumzo yangu na wenzangu hadi mjue nilikua napanga kuvuka mpaka ...Wakenya ni mazwazwa sana..umeshawahi kuiona picha ya askari wa JWTZ wakiwa kwenye misheni zao...au ata hapo Mtwara tu?
Wakenya ni mazwazwa sana..umeshawahi kuiona picha ya askari wa JWTZ wakiwa kwenye misheni zao...au ata hapo Mtwara tu?
Hata huko DRC Kagame's special force attacked the UN Special Brigade in DRC and butchered 15 Tanzanian peacekeepers - LeRwandaisSi Alshabaab iko Mozambique na waliuwa watu TZ ??? ama na sahau?? I predicted this 4 years ago!
Jamaa wanatumia landcruiser mkonge Kama ISIS tu au boko Haram au Al shabab
Acha ufala us army wanatumia Jeep
National police service ( NPS)operates a fleet of 25MRAPS and 30 Apcs while the whole of Tpdf has 100 Armoured vehicles.Infact Nps airwing has more choppers than the entire TPDF.Muwanunulie humvee....
Sio kutumia hizo pickup, mnatia aibu.
Hizo za TPDF uliziona wapi?National police service ( NPS)operates a fleet of 25MRAPS and 30 Apcs while the whole of Tpdf has 100 Armoured vehicles.Infact Nps airwing has more choppers than the entire TPDF.