Kenya Takes 70% of East Africa PE Funds Inflows – H1 2018

Chakula kenya ni mara 3 Tanzania
 
Chakula kenya ni mara 3 Tanzania

Propaganda ya CCMtupu. Tembea ujue ukweli.

Sasa hivi bei ya unga Kenya iko chini ya Tanzania. Mchele vile vile. Ata sukari bei yake kwa kilo iko chini.
Mafuta ya gari bei zinafanana.
In short, bidhaa mingi bei ni kama ile ile ya Tanzania.
Hata wenzako hapa JF wameshangaa sana.

 
Hiyo ndiyo sababu Kenya ikashika namba ya mwisho katika economic inclusiveness in Africa, na kuwa na most ruthless economy. Only 2% ya population inatumia 52% ya pato la taifa zima, 98% us population inagombania 48%. Katika hali hiyo unategemea slums na njaa zitamalizika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…