Kenya: Takribani TSh. Bilioni 30 zaibwa Benki ya EQUITY. Mkurugenzi afukuzwa

Kenya: Takribani TSh. Bilioni 30 zaibwa Benki ya EQUITY. Mkurugenzi afukuzwa

Kumbe ukiwa na million mia za Kenya ukienda Tanzania wewe ni muwekezaji na serikali inakulinda kabisa.

Wachumi mnisaidie, imekuwaje Kenya wakatuacha mbali kiasi hiki?
 
Tafadhali fafanua.

Equity Bank ndio bank kubwa kuliko zote africa mashariki. Kwa kila kitu kuanzia Assets, profits mpaka idadii ya wateja equity anaongoza.

Nmb ni namba 7 na crdb ni namba 8 kwenye ranking ya bank kubwa africa mashariki

Screenshot_20240818-150414_Firefox.jpg
 
Equity Bank ndio bank kubwa kuliko zote africa mashariki. Kwa kila kitu kuanzia Assets, profits mpaka idadii ya wateja equity anaongoza.

Nmb ni namba 7 na crdb ni namba 8 kwenye ranking ya bank kubwa africa mashariki

View attachment 3073367
Kwa Tanzania ulishawahi kukutana na wahudumu wa Equity na kugundua walivyo visirani?🤣🤣
 
Kenya kwa utapeli ni sawa na chai na kikombe .
Kuna mzungu raia wa USA namfahamu Ana kampuni huko USA alitaka kutapeliwa na mkenya aliyejifanya anajuana na maofisa wa serikali ya Kenya nikamuonya asitoe ela yotote bila kujiridhisha zaidi ya zaidi.
Mkenya huyo Kwenye WhatsApp profile ameweka picha akiwa na uhuru Kenyatta.
Mkenya huyo alimdanganya mzungu kuwa ameshinda tenda ya serikali kwahio alitakiwa kulipa malipo ya awali kupitia kampuni ya sheria .
Na ajabu mikutano yote ilifanyikia ofisi za wizara ya serikali na usafiri ulikuwa Magari ya serikali kitu ambacho kwa Tanzania haiwezekani kutokea.
 
Kuna namna ya ku track hiyo pesa, zilienda kwa account za wakina nani hao wafanyakazi?
Mzee baba kama ni ishu iko planned sio rahisi , kwanza mpaka waje kugundua mzigo ushatolewa ushaingizwa kweny blockchain ndio basi .

Hapa ni kukamata wahusika kwa kutrack ila sio kureverse miamala , kama walihamisha sehemu tafuta ni ngumu sana .
 
Back
Top Bottom