Kenya-Tanzania Forum fails to strike deal on Dar work permit fee

Kenya-Tanzania Forum fails to strike deal on Dar work permit fee

EAC doesn't need Tanzania in any way......tokeni am sure no one will miss you
hahahaaaa........
watanzania tuna sifa ya upole na ukarimu. hatuombi mipaka ifungwe maana ungejua umuhimu wetu.
 
na licha ya nyie kushindwa kuchangia EAC bado inarun smoothly so hizi argument zenyu that without Tanzania there's no EAC is baseless........ coz you have only one leg in the EAC na ata mkaamua kujitoa we will not miss you..my personal opinion; you should just go we add Ethiopia and Somalia to the community
Hahaha hata hao wa south sudan mliowashobokea walivojua ulafi wenu wakaanza kuwachinjilia mbali na kama hio influence mnayo mngeshamtoa Tanzania mda mrefu sana ishu ni kwamba mule nyie ni wasaka tonge tu na nchi zote zinawajua ulafi wenu sema tu tunaenda kinafki kama Tz isingetakiwa eac ingeshatolewa mdaaa na hao waethiopia mnaowashobokea kila siku hawana habari na nyie au mnataka mfunguliwe na huko mpeleke shida zenu kwa wahabesh
 
It really doesn't matter what you have contributed to revive it, as long as you behave like associate members you can get out
 
It really doesn't matter what you have contributed to revive it, as long as you behave like associate members you can get out
We will when we want to btw eac isnt just about kenya kama hampendi nendeni huko mlipokubaliwa mbona wenzenu hawalii kama nyie
 
Hahaha hata hao wa south sudan mliowashobokea walivojua ulafi wenu wakaanza kuwachinjilia mbali na kama hio influence mnayo mngeshamtoa Tanzania mda mrefu sana ishu ni kwamba mule nyie ni wasaka tonge tu na nchi zote zinawajua ulafi wenu sema tu tunaenda kinafki kama Tz isingetakiwa eac ingeshatolewa mdaaa na hao waethiopia mnaowashobokea kila siku hawana habari na nyie au mnataka mfunguliwe na huko mpeleke shida zenu kwa wahabesh
nyie ni uoga wa competition...... mnajua mkifungulia kenyan companies zitadominate the comunity..it's not our fault nyi ni wazembe, what's stopping you kuenda kuinvest kenya ama south Sudan.... fear of competition is what is eating you up acha kujiconsole na ati wakenya ni walafi
 
Cheap labors wapo kenya. Watu wananjaa, njaa ambayo haijawahi tokea nchi nyingine duniani isipokuwa kenya tu.
Utumbo tuu... Si huyu ni yule anasema ati Tanzania imebaki nyuma kiuchumi juu ya vita vya Kagera.... What a lame lazy duck.
 
Utumbo tuu... Si huyu ni yule anasema ati Tanzania imebaki nyuma kiuchumi juu ya vita vya Kagera.... What a lame lazy duck.
Sasa kama nyie huko kwenu njaa inauma unategemea nini? Lazima uwe cheap ulipwe ndululu kidogo ili maisha yako yaende.
Kenyans are cheapest people in Africa.
 
Sasa kama nyie huko kwenu njaa inauma unategemea nini? Lazima uwe cheap ulipwe ndululu kidogo ili maisha yako yaende.
Kenyans are cheapest people in Africa.

Wewe hauna chochote kipya.Choo tu imejaa in between your ears.
 
Wewe hauna chochote kipya.Choo tu imejaa in between your ears.
Hatutaki tena hapa kwetu. Mnatakiwa kufuata utaratibu. Fuateni utaratibu tutawaajiri maana njaa haina baunsa.
 
Hatutaki tena hapa kwetu. Mnatakiwa kufuata utaratibu. Fuateni utaratibu tutawaajiri maana njaa haina baunsa.

Kwenu ni wapi?? That backwaters thing of a country??You better sell it and you all move to the Indian Ocean. How much could it be?? ? Anyway Don't worry, you're just an ignorant brat.
avatar-bird-bliss-ignorance-Favim.com-2303598.jpg
 
Kwenu ni wapi?? That backwaters thing of a country??You better sell it and you all move to the Indian Ocean. How much could it be?? ? Anyway Don't worry, you're just an ignorant brat.
View attachment 448508
Tatizo lako nakujua kwa povu hujambo. Hebu ongea ukweli je, kwanini mnalia lia kuja kufanya kazi TZ? ni kama baadhi ya watanzania wanavyo pigana juu chini watorokee Marekani.
Hebu niambie kwanini mnalilia sana kuja TZ mbona kwenu kunashida kibao tu?
Sheria ya Tanzania ni kama kuna mtanzania anauwezo wa kufanya kazi hiyo hakuna haja ya kuajiri toka nje au hujui?
Wewe leta biashara hapa ajira waachie wabongo. Leta pesa sio kulia lia. Inajulikana kabisa cheap labors Africa wanapatikana kenya au haujui?
 
.
Tatizo lako nakujua kwa povu hujambo. Hebu ongea ukweli je, kwanini mnalia lia kuja kufanya kazi TZ? nia kama baadhi ya watanzania wanavyo pigana juu chini watorokee Marekani.
Hebu niambie kwanini mnalilia sana kuja TZ mbona kwenu kunashida kibao tu?
Sheria ya Tanzania ni kama kuna mtanzania anauwezo wa kufanya kazi hiyo hakuna haja ya kuajiri toka nje au hujui?
Wewe leta biashara hapa ajira waachie wabongo. Leta pesa sio kulia lia. Inajulikana kabisa cheap labors Africa wanapatikana kenya au haujui?

Habari ndo hiyo. Endelea kuinuainua ta**Hapo you ignorant brat
 
Ass**** you should direct your anger to the tanzanian companies that are sourcing for talent from kenya. Please try to find out why they prefer to hire kenyans
Use that 'talent' to develop your useless country . Stop being crybabies, we won't babysit you nyang'aus .
 
Mtu wa kwikwikwi.... Sawa nenda kafanye hiyo huko mwanjelwa
Sasa kati yangu na wewe wapi na wapi. Wewe ni cheap labor. Ndio maana sisi tunajimwaga maana ni raha. Nikikosa town naenda kulima maana ardhi ipo ya bwerere. Ninalima kisha nakula maisha yanasonga. Lakini wewe mwenzangu lazima uajiriwe uwe shamba boy wa wazungu la sivyo ulie lie uje TZ upate ahueni kidogo.
 
Use that 'talent' to develop your useless country . Stop being crybabies, we won't babysit you nyang'aus .

Hahahaa.... Pole. Usilie mdogo wangu. When you wake up tomorrow you will still be the poorest country in the world
 
Back
Top Bottom