Kenya-Tanzania Forum fails to strike deal on Dar work permit fee

Hatuongei kuhusu ardhi, tunaongea kuhusu suala la ajira, free movement of persons and labour in EAC and its impact to EAC economy.
 
Hatuongei kuhusu ardhi, tunaongea kuhusu suala la ajira, free movement of persons and labour in EAC and its impact to EAC economy.
Hakuna faida yoyote zaidi ya kuleta dhiki kwa taifa husika. Huwezi kuruhusu wageni waje kugombea kazi na raia wakati ajira ni adimu.
Kila nchi itengeneze ajira kwa raia wake na sio kuwa mzigo kwa jirani .
 
Hatuongei kuhusu ardhi, tunaongea kuhusu suala la ajira, free movement of persons and labour in EAC and its impact to EAC economy.

Exclusively.

Immigration or Migration?

"Hakufukuzae hakwambii toka"

Sisi tuna ajbu, Ubinaadamu na tumestaarabika sio kama Bwana Trump. Tanzania, the nation of Diplomats.

We hope our law makers will consider and prioritize first the interest of our people.

Our people comes first.

We are dealing with Capitalist society.


 
We don't follow slogans of ideology, we take the best of capitalism to have free enterprise and take the best of socialism to have sharing of revenue to county governments, free basic education and more to come in healthcare.

We want to engage a TZ that put the interest of its people first and not the one that stays away from the discussion table.
 
Hakuna faida yoyote zaidi ya kuleta dhiki kwa taifa husika. Huwezi kuruhusu wageni waje kugombea kazi na raia wakati ajira ni adimu.
Kila nchi itengeneze ajira kwa raia wake na sio kuwa mzigo kwa jirani .
Free movement of people and labour has worked before for EAC economies, when TZ was busy fighting wars all over the southern Africa map you did not feel its economic impacts. Not until the first EAC collapsed. Baada ya shirikisho kuvunjika ndipo mlipoanza kujua garama ya vita kwa uchumi.

Afrika Mashariki ilishawai kunawiri kwa kuwa na soko huru. Ajira haitakuwa adimu kwa sababu uchumi utakuwa kwa kasi kuliko sasa, uchumi ukiwa, utatengeneza ajira zaidi na kila mmoja atapata mahali pa kuangukia hii Afrika Mashariki.
 
.
 
Sasa ndo hatutaki huko mliporuhusiwa kwenda hapatoshi?
 
Kusoma unaweza kusema haujui ila hata picha huoni au hadi muambiwe kabisa hatutakiii
 
It worked because we had East African corporations owned by all EAC members. So, it was not really about free movement of labour.
But what happened then, Kenya under Jomo Kenyatta and Charles Njonjo betrayed the community spirit.
We've learnt our lesson in the old EAC and we can't do the same mistakes again.
Selfish Kenyans pretend to have community spirit with their hidden agenda.
 

That sounds good. Sweet and Sour Chinese soup. What next? Chinese plastic rice...?

Our decisions are made in Dar Es Salaam not in Washington or London or Paris or Tel Aviv by few unelected elites.

While Cuba produced the best doctors, We produced a society that buys a cow first instead of ordering a suit and tie from London.

Capitalism and its hooligan gesture of so called Liberal market that today our toothbrush and toothpaste has to be imported from neighbouring country. Maziwa yakamuliwe Tanzania, yaende nchi jirani, halafu yarudi tuuziwe sisi Watanzania.
Soko la Sudan ya Kusini limekufa, sasa Mapebari Wakiafrika wanaililia na kuitongoza Tanzania na Afrika ya Kusini wapate eti "furii muvumenti".

"Sema Usiogope Sema, Sisi vijana hatuogopi vibaraka, sema".

Julius hakuwa Kiongozi wa Kabila fulani, wala hakuwaachia mali watu wachache na kunufaisha watu wachache wa kabila lake. Julius alikuwa Mwalimu, leo hii SADC inayaongoza mataifa wanachama na fikra za Mwalimu.

Tulisimama na kuapa "Zidumu Fikra za Mwalimu, Zidumu".

Leo Wall Street, New York na kizazi cha sasa wanazungumza aliyozungumza Mw.Nyerere 1958.

Na hakuna Bepari yeyote hapa duniani asiyetaka kujenga himaya na kuishi na familia yake maisha ya "Ujamaa". What is good for our family, is also good for the country. Ndio sera ya Trump hiyo sasa.



 
The cold war in Africa iliisha, right now is about looking for for our best interest through intratrade and integration in a global competitive world.
 

You must have learnt the wrong lesson. The only lesson to be learnt here is shielding the integration from politicians by requiring the major decisions be taken to the people through a referendum.

Jomo Kenyatta and Charles Njonjo is hardly a a representation of the Kenyan masses.
 
"The degree of one's emotion varies inversely with one's knowledge of the facts. The less you know the hotter you get."

***lakini ukweli upo pale pale, Kenya hapatoshi, wanatafuta pa kukimbilia kwa visingizio vya intratrade and integration in a global competitive world***
 

Umeniquote bila kuniquote!

Follow the facts not your own truths.

Kenya hapatoshi, Afrika Mashariki panatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…