Kenya tena: Waziri wa Kilimo tulikuonya mapema kuruhusu Wakenya kuingia mpaka mashambani kununua mazao hukusikia. Huu ni mwanzo tu!

Kenya tena: Waziri wa Kilimo tulikuonya mapema kuruhusu Wakenya kuingia mpaka mashambani kununua mazao hukusikia. Huu ni mwanzo tu!

View attachment 2644639

Wafanyabiashara wa kitanzania wanaosafirisha mahindi kuingia nchini Kenya wameandamana kwenye mpaka wa Holili kufuatia kuzuiliwa kuingiza shehena za mahindi na Kenya.

Msururu wa maloli umekwama mpakani hapo kufuatia mamlaka za Kenya kuweka kigingi na kuzuia mamia ya maroli hayo kuingia nchini Kenya.

Ikumbukwe tatizo hili limekuwa linajirudia kila mara hasa kwa wafanyabiashara wa kitanzania kuingiza mahindi nchini Kenya.

Madereva hao wamelalamika jinsi ambavyo wanasumbuliwa bila sababu ya msingi mbali na kauli za mara kwa mara za viongozi wa nchi hizi mbili kusema ni ruhusa kwa biashara ya nafaka kufanyika baina ya nchi hizi mbili.

====

Rombo. Wafanyabiashara wa mahindi katika soko la Kimataifa la mazao Holili, lililopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro leo asubuhi Juni Mosi wameandamana mpaka ofisi za Forodha mpakani mwa Kenya na Tanzania, baada ya shehena zao za mahindi kuzuiwa katika mpaka huo.

Wafanyabiashara hao wameeleza kukwama katika mpaka huo kwa siku nne baada ya kuzuiliwa kupita katika mpaka huo kupeleka mahindi katika nchi jirani hali ambayo imezua sintofahamu kwa wafanyabiashara hao.

Mwananchi limefika katika eneo hilo na kushuhudia magari yenye shehena ya mahindi yakiwa kwenye foleni ambapo muda mfupi baadaye magari hayo yaliruhusiwa kuendelea na safari.

Kufuatia hali hiyo, Gazeti hili lilimtafuta Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, James Jilala kujua ni kwa nini magari hayo yenye shehena hiyo yamezuiliwa ambao amesema wao wamepata maelekezo kutoka juu kusitisha mahindi kutokutoka nje ya mpaka huo.

"Tulipata taarifa kutoka kwa viongozi wa juu kwamba tusitishe mahindi yasitoke nje ya nchi ya Tanzania na baadaye tumeletewa taarifa hilo zoezi limeahirishwa kwa muda wa siku kadhaa na wameambiwa ni baada ya muda gani ndio sasa litakuwa limekuja zuio," amesema Jilala.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wafanyabiashara hao, wamesema kukwama kwao kwa siku nne wamepata hasara kubwa kwa kuwa mahindi yao bado yalikuwa hayajakauka vizuri.

Frank Kachema, ambaye ni mfanyabiashara wa mahindi katika mpaka huo amesema zuio hilo ambalo limedumu kwa siku nne limewaathiri kwa kuwa wengi wao wamechukua mikopo na kila siku wanapaswa kurejesha mikopo.

"Kuna watu tulikuwa na mahindi ambayo ni mabichi hayajakauka na hapa tuko kwa siku nne fikiria hapa ni namna gani ambavyo watu watapata hasara, hapa mahindi yameshaanza kuharibika maana yalikuwa na baridi, kwa hiyo zuio hili la mahindi limetupa hasara kubwa mpaka sasa.

"Magari yamerundikana hapa mpakani kwa kuwa kuna zuio la mahindi kutovuka mpaka kwenda upande wa pili, tunaomba serikali iangalie jambo hili maana wafanyabishara tunazidi kupata hasara na tunaumia, wengi wetu tuna mikopo hapa na hizi siku tumekaa hapa hatujui tunarejeshaje."

Mfanyabishara mwingine wa mahindi, Twamsifu Kiangi, ambaye mahindi yake yalikwama katika mpaka huo amesema mpaka sasa hajaweza kuuza mahindi yake zaidi ya magunia 360 kutokana na zuio hilo.

"Kuzuiwa kwa mahindi kumetupa hasara kubwa kwasababu mahindi haya yanapokaa kwa muda mrefu na yana hali ya ubichi ni hasara kwetu, unakuta mtu umechukua mkopo na unatakiwa kurejesha kila siku, sasa hapa unarejeshaje wakati mzigo hautoki na mzunguko wa fedha umekwama, hapa nilipo nina gunia zaidi ya 360 na zilikuwa hazijavuka na mpaka sasa sijaweza kuuza mahindi yangu."

Akizungumzia adha ambayo wamekumbana nayo baada ya kusitisha mahindi kupita katika mpaka huo, Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Zuberi Shango amemtaka Waziri Bashe kuingilia kati kwa kuwa hali hiyo inawaumiza wakulima pamoja na wafanyabaishara wa bidhaa hiyo ya mahindi.

"Kila siku Waziri Bashe unapotetea wakulima tunakusikia sana, lakini kuna vitu vinatokea hatuvielewi kwasababu leo wakulima wameleta mahindi hapa yako kwenye magari lakini ya mezuiwa kwenda Kenya na leo ni siku ya nne," amesema na kuongeza;

"Zuio hili la mahindi hatujui limetoka wapi na watu hawalifahamu maana watu wamelipa ushuru, baada ya kukaa hapa kwa siku nne tumeenda ofisi za Forodha wanatuambia wametupa wiki mbili tuvushe magari yetu lakini tunataka kujua mahindi yanashida gani watufahamishe maana sisi ndio tunaolipa ushuru.

"Tunamwomba Waziri Bashe aliweke hili jambo sawa maana alisema hatafunga mipaka na sisi tumechukua hii kauli kama bango letu, sasa hatuelewi ni nini kimetokea."

Mwananchi
Ni mambo ya kimahusiano tu vipngozi wenye mamlaka pande zote wakae mezani.
 
Hawa wakenya wanajikuta wamebarikiwa akili nyingi na kuna mabwiga kila siku kazi kusifu wakenya tu
 
Bashe alijiiona Big Brain wa Tanzania (BBT), ngoja afundishwe kazi wakora
Ni big brain ndio,hakuna Mkunya ataruhusiwa kununua Mazao Shambani..

Kwani soko la Mahindi ni Wakunya pekee? Kuna DRC,South Sudan,Ethiopia nk.

Serikali inatakiwa iwaambie Wafanyabiashara kwamba watafute soko Nje ya Kenya ila kanuni ziko pale pale na tunakoenda itakuwa marufuku kuuza mahindi ghafi..

Mwisho Rais atafute watu wenye akili Wizara ya Kilimo.ili tujuze sekta ya mifugo ndio iwe inatoa soko kubwa Kwa nafaka zetu hasa mahindi..

Ikibidi ikawaajiei wenye akili kutoka Botswana kama.wa Bongo wameshindwa kugeuza Kilimo kuwa Cha kibiashara,wawape ranch zetu walete Mageuzi.
 
Wewe hutokaa uwe Waziri Hadi unakufa,awe kituko au asiwe kituko ndio Waziri wako huyo
Hivi hapo kwenye balaza la mawaziri una waume wangapi?

Hebu twambie kati ya Makamba, Nape, Bashe na Mwigulu mumeo hasa ni yupi maana huwa una ng'aka sana wakiguswa
 
Mkuu,Kwanza kabisa niseme tu kwamba Tatizo Sio Kuzuia,Tatioz ni unazuiaje?Je hao wanaozuiwa ni kina nani?Walifikaje na Mahindi mpaka Mpakani?Kwa nini wanapeleka Mahindi Nchini Kenya?Je Uzalishaji wetu kwa mwaka huu ni kiasi gani Je mahitaji ya ndani ni kiasi gani na Uhitaji wa nje ni kiasia gani?jJe haya Mahindi yakibaki hapa Tanzania au yakienda Kenya kuna faida au hasara Gani?

Kama taifa lazima tuwe na utaratibu wa wazi wa kuelewa Jinsi Jambo Fulani ambalo lina athari kwetu linatatuliwa.Kama Taifa halitaki Chakula kitoke nje basi ni lazima Liwe Tayari Kuyanunua.Sio tua kuyanunua bali kuyanunua kwa bei ambayo ni shindani sokoni toka kwa Wakulima.

Swali Kujiuliza Je Serikali yetu ina sera gani kuhusu Suala la Ununuzi wa Mazao wakati wa Mavuno?Je Tunayoa Maghala Ya kutosha kuhifadhi Mahindi yaa kutosha kwa Chakula hata kwa kutumia Mfumo wa STakabadhai Ghalani pamoja na Mifumo mingine ambayo ni rafiki kwa wakulima?Kama hatuna basi Jitihada zatu ni BURE kwani Tuataendelea kuuza chakula Chetu nje kwa hasara na Pia Tutaendelea kupandisha gharama za maisha kwa maamuzi ambayo hayako kimkakati.

Tunayo Boda ya Mazao Mchanganyiko na tunayo bodi ya Nafaka ambazo naamni zinayo nafasi ya kuishauri serikali na hata kushirikiana na Serikali katika Kuhakikisha kwamba Biashara ya kilimo inaenda kwa namna ambayo ni rafiki kwa wakulima wafanyabiasha na taifa kwa ujumla Tuumize Kichwa.
 
View attachment 2644639

Wafanyabiashara wa kitanzania wanaosafirisha mahindi kuingia nchini Kenya wameandamana kwenye mpaka wa Holili kufuatia kuzuiliwa kuingiza shehena za mahindi na Kenya.

Msururu wa maloli umekwama mpakani hapo kufuatia mamlaka za Kenya kuweka kigingi na kuzuia mamia ya maroli hayo kuingia nchini Kenya.

Ikumbukwe tatizo hili limekuwa linajirudia kila mara hasa kwa wafanyabiashara wa kitanzania kuingiza mahindi nchini Kenya.

Madereva hao wamelalamika jinsi ambavyo wanasumbuliwa bila sababu ya msingi mbali na kauli za mara kwa mara za viongozi wa nchi hizi mbili kusema ni ruhusa kwa biashara ya nafaka kufanyika baina ya nchi hizi mbili.

====

Rombo. Wafanyabiashara wa mahindi katika soko la Kimataifa la mazao Holili, lililopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro leo asubuhi Juni Mosi wameandamana mpaka ofisi za Forodha mpakani mwa Kenya na Tanzania, baada ya shehena zao za mahindi kuzuiwa katika mpaka huo.

Wafanyabiashara hao wameeleza kukwama katika mpaka huo kwa siku nne baada ya kuzuiliwa kupita katika mpaka huo kupeleka mahindi katika nchi jirani hali ambayo imezua sintofahamu kwa wafanyabiashara hao.

Mwananchi limefika katika eneo hilo na kushuhudia magari yenye shehena ya mahindi yakiwa kwenye foleni ambapo muda mfupi baadaye magari hayo yaliruhusiwa kuendelea na safari.

Kufuatia hali hiyo, Gazeti hili lilimtafuta Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, James Jilala kujua ni kwa nini magari hayo yenye shehena hiyo yamezuiliwa ambao amesema wao wamepata maelekezo kutoka juu kusitisha mahindi kutokutoka nje ya mpaka huo.

"Tulipata taarifa kutoka kwa viongozi wa juu kwamba tusitishe mahindi yasitoke nje ya nchi ya Tanzania na baadaye tumeletewa taarifa hilo zoezi limeahirishwa kwa muda wa siku kadhaa na wameambiwa ni baada ya muda gani ndio sasa litakuwa limekuja zuio," amesema Jilala.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wafanyabiashara hao, wamesema kukwama kwao kwa siku nne wamepata hasara kubwa kwa kuwa mahindi yao bado yalikuwa hayajakauka vizuri.

Frank Kachema, ambaye ni mfanyabiashara wa mahindi katika mpaka huo amesema zuio hilo ambalo limedumu kwa siku nne limewaathiri kwa kuwa wengi wao wamechukua mikopo na kila siku wanapaswa kurejesha mikopo.

"Kuna watu tulikuwa na mahindi ambayo ni mabichi hayajakauka na hapa tuko kwa siku nne fikiria hapa ni namna gani ambavyo watu watapata hasara, hapa mahindi yameshaanza kuharibika maana yalikuwa na baridi, kwa hiyo zuio hili la mahindi limetupa hasara kubwa mpaka sasa.

"Magari yamerundikana hapa mpakani kwa kuwa kuna zuio la mahindi kutovuka mpaka kwenda upande wa pili, tunaomba serikali iangalie jambo hili maana wafanyabishara tunazidi kupata hasara na tunaumia, wengi wetu tuna mikopo hapa na hizi siku tumekaa hapa hatujui tunarejeshaje."

Mfanyabishara mwingine wa mahindi, Twamsifu Kiangi, ambaye mahindi yake yalikwama katika mpaka huo amesema mpaka sasa hajaweza kuuza mahindi yake zaidi ya magunia 360 kutokana na zuio hilo.

"Kuzuiwa kwa mahindi kumetupa hasara kubwa kwasababu mahindi haya yanapokaa kwa muda mrefu na yana hali ya ubichi ni hasara kwetu, unakuta mtu umechukua mkopo na unatakiwa kurejesha kila siku, sasa hapa unarejeshaje wakati mzigo hautoki na mzunguko wa fedha umekwama, hapa nilipo nina gunia zaidi ya 360 na zilikuwa hazijavuka na mpaka sasa sijaweza kuuza mahindi yangu."

Akizungumzia adha ambayo wamekumbana nayo baada ya kusitisha mahindi kupita katika mpaka huo, Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Zuberi Shango amemtaka Waziri Bashe kuingilia kati kwa kuwa hali hiyo inawaumiza wakulima pamoja na wafanyabaishara wa bidhaa hiyo ya mahindi.

"Kila siku Waziri Bashe unapotetea wakulima tunakusikia sana, lakini kuna vitu vinatokea hatuvielewi kwasababu leo wakulima wameleta mahindi hapa yako kwenye magari lakini ya mezuiwa kwenda Kenya na leo ni siku ya nne," amesema na kuongeza;

"Zuio hili la mahindi hatujui limetoka wapi na watu hawalifahamu maana watu wamelipa ushuru, baada ya kukaa hapa kwa siku nne tumeenda ofisi za Forodha wanatuambia wametupa wiki mbili tuvushe magari yetu lakini tunataka kujua mahindi yanashida gani watufahamishe maana sisi ndio tunaolipa ushuru.

"Tunamwomba Waziri Bashe aliweke hili jambo sawa maana alisema hatafunga mipaka na sisi tumechukua hii kauli kama bango letu, sasa hatuelewi ni nini kimetokea."

Mwananchi
Hivi kwa nini soko lisiwe ndani na mnunuzi ndo awwjibike kusafirisha?

Tuna upumbavu wa kijjnga mwingi sana na hatujufunzi.

Tuache kuwa makondoo kwa majirani masnitch kama Kenya na Zambia
 
View attachment 2644639

Wafanyabiashara wa kitanzania wanaosafirisha mahindi kuingia nchini Kenya wameandamana kwenye mpaka wa Holili kufuatia kuzuiliwa kuingiza shehena za mahindi na Kenya.

Msururu wa maloli umekwama mpakani hapo kufuatia mamlaka za Kenya kuweka kigingi na kuzuia mamia ya maroli hayo kuingia nchini Kenya.

Ikumbukwe tatizo hili limekuwa linajirudia kila mara hasa kwa wafanyabiashara wa kitanzania kuingiza mahindi nchini Kenya.

Madereva hao wamelalamika jinsi ambavyo wanasumbuliwa bila sababu ya msingi mbali na kauli za mara kwa mara za viongozi wa nchi hizi mbili kusema ni ruhusa kwa biashara ya nafaka kufanyika baina ya nchi hizi mbili.

====

Rombo. Wafanyabiashara wa mahindi katika soko la Kimataifa la mazao Holili, lililopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro leo asubuhi Juni Mosi wameandamana mpaka ofisi za Forodha mpakani mwa Kenya na Tanzania, baada ya shehena zao za mahindi kuzuiwa katika mpaka huo.

Wafanyabiashara hao wameeleza kukwama katika mpaka huo kwa siku nne baada ya kuzuiliwa kupita katika mpaka huo kupeleka mahindi katika nchi jirani hali ambayo imezua sintofahamu kwa wafanyabiashara hao.

Mwananchi limefika katika eneo hilo na kushuhudia magari yenye shehena ya mahindi yakiwa kwenye foleni ambapo muda mfupi baadaye magari hayo yaliruhusiwa kuendelea na safari.

Kufuatia hali hiyo, Gazeti hili lilimtafuta Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, James Jilala kujua ni kwa nini magari hayo yenye shehena hiyo yamezuiliwa ambao amesema wao wamepata maelekezo kutoka juu kusitisha mahindi kutokutoka nje ya mpaka huo.

"Tulipata taarifa kutoka kwa viongozi wa juu kwamba tusitishe mahindi yasitoke nje ya nchi ya Tanzania na baadaye tumeletewa taarifa hilo zoezi limeahirishwa kwa muda wa siku kadhaa na wameambiwa ni baada ya muda gani ndio sasa litakuwa limekuja zuio," amesema Jilala.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wafanyabiashara hao, wamesema kukwama kwao kwa siku nne wamepata hasara kubwa kwa kuwa mahindi yao bado yalikuwa hayajakauka vizuri.

Frank Kachema, ambaye ni mfanyabiashara wa mahindi katika mpaka huo amesema zuio hilo ambalo limedumu kwa siku nne limewaathiri kwa kuwa wengi wao wamechukua mikopo na kila siku wanapaswa kurejesha mikopo.

"Kuna watu tulikuwa na mahindi ambayo ni mabichi hayajakauka na hapa tuko kwa siku nne fikiria hapa ni namna gani ambavyo watu watapata hasara, hapa mahindi yameshaanza kuharibika maana yalikuwa na baridi, kwa hiyo zuio hili la mahindi limetupa hasara kubwa mpaka sasa.

"Magari yamerundikana hapa mpakani kwa kuwa kuna zuio la mahindi kutovuka mpaka kwenda upande wa pili, tunaomba serikali iangalie jambo hili maana wafanyabishara tunazidi kupata hasara na tunaumia, wengi wetu tuna mikopo hapa na hizi siku tumekaa hapa hatujui tunarejeshaje."

Mfanyabishara mwingine wa mahindi, Twamsifu Kiangi, ambaye mahindi yake yalikwama katika mpaka huo amesema mpaka sasa hajaweza kuuza mahindi yake zaidi ya magunia 360 kutokana na zuio hilo.

"Kuzuiwa kwa mahindi kumetupa hasara kubwa kwasababu mahindi haya yanapokaa kwa muda mrefu na yana hali ya ubichi ni hasara kwetu, unakuta mtu umechukua mkopo na unatakiwa kurejesha kila siku, sasa hapa unarejeshaje wakati mzigo hautoki na mzunguko wa fedha umekwama, hapa nilipo nina gunia zaidi ya 360 na zilikuwa hazijavuka na mpaka sasa sijaweza kuuza mahindi yangu."

Akizungumzia adha ambayo wamekumbana nayo baada ya kusitisha mahindi kupita katika mpaka huo, Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Zuberi Shango amemtaka Waziri Bashe kuingilia kati kwa kuwa hali hiyo inawaumiza wakulima pamoja na wafanyabaishara wa bidhaa hiyo ya mahindi.

"Kila siku Waziri Bashe unapotetea wakulima tunakusikia sana, lakini kuna vitu vinatokea hatuvielewi kwasababu leo wakulima wameleta mahindi hapa yako kwenye magari lakini ya mezuiwa kwenda Kenya na leo ni siku ya nne," amesema na kuongeza;

"Zuio hili la mahindi hatujui limetoka wapi na watu hawalifahamu maana watu wamelipa ushuru, baada ya kukaa hapa kwa siku nne tumeenda ofisi za Forodha wanatuambia wametupa wiki mbili tuvushe magari yetu lakini tunataka kujua mahindi yanashida gani watufahamishe maana sisi ndio tunaolipa ushuru.

"Tunamwomba Waziri Bashe aliweke hili jambo sawa maana alisema hatafunga mipaka na sisi tumechukua hii kauli kama bango letu, sasa hatuelewi ni nini kimetokea."

Mwananchi
Mwananchi na Citizen ni Kenya.
 
Tanzania ndo iliyozuia mahindi kutoka na sio Kenya kuzuia mahindi kuingia nchini kwao. Shida ya wabongo hata hatusomi msitari Kwa msitari. Hata mtoa post naye anapost kitu ambacho naye hajasoma. Nchi ngumu sana hii
 
Ni kuzuwia na wao wasitoke na mahindi na wasipite nayo Tanzania wanayoyanunuwa Zambia. Simpo.

Hizo siasa ndo hatutaki kipindi hiki cha bi mdashi. Mama kafungua nchi wewe unashauri kufungia tena. Bi faiza unayumba sasa na kumuhujumu rais na waziri bashe
 
Yeye Bashe anasemaje kuhusu hili au yuko bize na mambo mengine na zile nywele zake zilizolambwa na paka?
 
Serikali iache kubembeleza Wafanyabiashara,iwaambie Kenya Hawataki mahindi ya Tanzania so wao watafute soko kwingine kama South Sudan,DRC nk
Hapo umewaza kama Bashe mwenyewe au yule mwizi wa jina alisema muhamie Burundi.

Yaani, muwaruhusu waingie kununua hayo mahindi mashambani kwa kisingizio cha kufungua nchi, ujinga ulioje KISHA mdhanie mtabeba mahindi yenu kwenye malori MKAWALANGUE kwao?

Ukiwa kada au chawa, huhitaji UBONGO, UTI wa mgongo unatosha!
 
Hapo umewaza kama Bashe mwenyewe au yule mwizi wa jina alisema muhamie Burundi.

Yaani, muwaruhusu waingie kununua hayo mahindi mashambani kwa kisingizio cha kufungua nchi, ujinga ulioje KISHA mdhanie mtabeba mahindi yenu kwenye malori MKAWALANGUE kwao?

Ukiwa kada au chawa, huhitaji UBONGO, UTI wa mgongo unatosha!
Hivi unakijua unachoongea wewe kweli au unaropoka tuu? Serikali ilizzuia kununua mahindi mashambani na waliozuia mahindi ni Wakenya wenyewe Sasa sijui unaongea nini.
 
Na wewe mara nyingi sana unakuwa mpuuzi kama huyo unayemsea hapo.

Ni nani aliyesababisha malori kukwama hapo mpakani?
Wewe ndio mpuuzi,ni Wakenya Hawataki mahindi yetu kisa walikatazwa kununua mashambani
 
Serikali ilizzuia kununua mahindi mashambani na waliozuia mahindi ni Wakenya wenyewe Sasa sijui unaongea nini.
Sijaelewa kweli!

Iliyoruhusu ujinga huo ni serikali, kule shinyanga, Arusha wakajaa Wakomoro, Wasudani, Wakenya n.k

Serikali hiyo hiyo ikaambiwa huo ni ujinga, mkatumia mpaka waua tembo kusema mkulima auze anapotaka.

Leo unasema serikali imezuia?

Sielewi ujue.
 
Back
Top Bottom