pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
That guy, I cant be able to educate the bugger where Equity bank couldn't. Maybe he meant an Equity agent educated him. 😀😀😀 Tricky sana!Equity walipoteza pesa kusomesha ng'ombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That guy, I cant be able to educate the bugger where Equity bank couldn't. Maybe he meant an Equity agent educated him. 😀😀😀 Tricky sana!Equity walipoteza pesa kusomesha ng'ombe.
Eti anus??? Look at what is in your mind mzee. I said a grown man doesn't think like you, maybe a clueless woman. A simple parable makes you advertise yourself? 😀😀😀 Matusi sio lazima utupe ukiishiwa na hoja. Ikikuuma sana kajitie kitanzi.Its wrong to covet a man's anus.. Take your Gay sexual advances elsewhere..
Iliacha kusumbua kaka.Vipi mvua huko, bado inasumbua?
Give some credit to that moron, He went ahead and took readings of a thermometer while taking a piss.That guy, I cant be able to educate the bugger where Equity bank couldn't. Maybe he meant an Equity agent educated him. 😀😀😀 Tricky sana!
Mwasiti kumbe una fuatilia futii!Real Madrid vs Juventus
Mathare UTD, Manchester UTD na Yanga FC nazifuatilia sana.Mwasiti kumbe una fuatilia futii!
Achana na Yanga, penda mpira mzuri kwa kuifuatilia Simba ScMathare UTD, Manchester UTD na Yanga FC nazifuatilia sana.
Ligi mko kileleni lakini tunawapuliwa kisogoni tukingoja mtibwa sugar wachape hata draw tuwavuke.Achana na Yanga, penda mpira mzuri kwa kuifuatilia Simba Sc
Hahahaa.. msee kweli unafuatilia! Simba bingwa lazima, Mathare siku izi mlipotea, kuna kipindi mlikua na youth program nzuri sana. Timu kama Sofapaka iliyokua ya kidosi nayo imefifia, wapi Oserian?Ligi mko kileleni lakini tunawapuliwa kisogoni tukingoja mtibwa sugar wachape hata draw tuwavuke.
Hehee ume anzaje kuipenda yanga! ungekua pro Nasa ninge kuelewa kidogo. Simba ndiyo ina ties na Kenya, Jacob "ghost" mulee, James Siang'a, Mark sirengo, shikokoti na wengine kibao wamepita hapo, Yanga hamna zaidi ya Boniface Ambani.Hamnaaa!! Nikiwa Bongo mimi huwa shabiki wa hao watoto wa Jangwani...
Watu wa Naivasha walilemewa na ligi kuu, Mathare waligeuka kuwa kama Arsenali kuwauza best players to other teams.Hahahaa.. msee kweli unafuatilia! Simba bingwa lazima, Mathare siku izi mlipotea, kuna kipindi mlikua na youth program nzuri sana. Timu kama Sofapaka iliyokua ya kidosi nayo imefifia, wapi Oserian?
Kuna jamaa yangu anaitwa Njoroge kipindi iko tukiwa wa toyi jamaa alikua ana skills za ajabu.. ali ni ambia alijifunzia mpira kwenye youth program ya Mathare ndiyo nika anza kuifuatilia.. jamaa alikua hana speed ila uki mkaba kifala una ambulia matobo!Watu wa Naivasha walilemewa na ligi kuu, Mathare waligeuka kuwa kama Arsenali kuwauza best players to other teams.
Hizo youth programs ziliingiliwa na ufisadi ikawa ni kujuana badala ya talanta na ndio sababu kubwa ya soccer Kufeli hapa Kenya na Africa kwa ujumla...Ufisadi hadi michezoni.Kuna jamaa yangu anaitwa Njoroge kipindi iko tukiwa wa toyi jamaa alikua ana skills za ajabu.. ali ni ambia alijifunzia mpira kwenye youth program ya Mathare ndiyo nika anza kuifuatilia.. jamaa alikua hana speed ila uki mkaba kifala una ambulia matobo!