Kenya to borrow leaf from Tanzania in cashew nut revival

Kenya to borrow leaf from Tanzania in cashew nut revival

Mkiwa na mahitaji yenu mnajua kweli maana ya kuinuka pamoja.

Ningependa mpigwe spana kidogo akili ziwarudie, ukoloni mamboleo uwatoke. Yaani mbanwe kama vile zipu inabana Kende!
😁😁😁 competition is healthy bro

Tusiposhindana na mbilikimo wetu Tz, tutashindana na nani?🏃‍♂️

Sasa tuwaingize Ethiopia into the mix, hawa mabeberu watashtuka kuona maendeleo upande wetu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Seriously, kwani imefika kiwango hiki? Huu ni uadui au chuki tu. Vuta pumzi, it will get better. Is it really that bad?[emoji45]
Ikiwa upande wa Tz ndio inaitwa uadui ee? Na milipotangaza Watanzania baada ya wiki 2 watakufa kama kuku mara mukasema Kwa wiki wanakufa Watanzania 50 ilikua ujirani mwema ee? Kwamm wakenya hawana tofauti na nguruwe tu naunga mkono hoja hakuna kutoa mbegu.
 
Ikiwa upande wa Tz ndio inaitwa uadui ee? Na milipotangaza Watanzania baada ya wiki 2 watakufa kama kuku mara mukasema Kwa wiki wanakufa Watanzania 50 ilikua ujirani mwema ee? Kwamm wakenya hawana tofauti na nguruwe tu naunga mkono hoja hakuna kutoa mbegu
Waliosema hivyo hawakusema ili Watanzania wafe. Bali ilikuwa tahadhari. Nyinyi mliwaelewa Wakenya vibaya kabisa. Wakenya wangenyamza ndio ungesema hawajali jirani yao.

Baada ya watu 900 kufa kila siku nchi za ulaya ikiwemo watu weusi kufa zaidi ya wengine kule marekani, bado unaona mrengo Tanzania ilichukuwa ni sawa bila upingamizi wa mtu yeyote wakati huo?

Hivi sasa unaezasema Tanzania haijaathirika lakini wakati huo unataka kuniambia hakuna aliyefaa kuwa na maono tofauti? Kuna hata Watanzania waliokuwa na maono tofauti wakati huo. Tulitangaza Tanzania wapi na ni Wakenya tu ndio wanaongea Kiswahili na Watanzania?

Ujirani mwema ni kukosoana na kusaidiana kwa manufaa ya wote.

Mkinuna kutuuzia korosho tutaenda huko Zambia kuinunua.

Ndio hii hapa korosho mlionuna nayo imekita kwa siasa zenyu Serikali hainunui korosho bali inasadia masoko | East Africa Television
 
Waliosema hivyo hawakusema ili Watanzania wafe. Bali ilikuwa tahadhari. Nyinyi mliwaelewa Wakenya vibaya kabisa. Wakenya wangenyamza ndio ungesema hawajali jirani yao.

Baada ya watu 900 kufa kila siku nchi za ulaya ikiwemo watu weusi kufa zaidi ya wengine kule marekani, bado unaona mrengo Tanzania ilichukuwa ni sawa bila upingamizi wa mtu yeyote wakati huo?

Hivi sasa unaezasema Tanzania haijaathirika lakini wakati huo unataka kuniambia hakuna aliyefaa kuwa na maono tofauti? Kuna hata Watanzania waliokuwa na maono tofauti wakati huo. Tulitangaza Tanzania wapi na ni Wakenya tu ndio wanaongea Kiswahili na Watanzania?

Ujirani mwema ni kukosoana na kusaidiana kwa manufaa ya wote.

Mkinuna kutuuzia korosho tutaenda huko Zambia kuinunua.

Ndio hii hapa korosho mlionuna nayo imekita kwa siasa zenyu Serikali hainunui korosho bali inasadia masoko | East Africa Television
Kama Kwania nzuri kwanini walizusha Watanzania Kwa wiki wanakufa 50 Kwa korona ila wanazikwa usiku kwahiyo hii ndio njia ya kumpa tahadhari Kwa kwiswahili cha huko kwenu? Kitu kimoja tu hapa, wakenya hawana tofauti na nguruwe bc hawa lazima tuwaangalie Kwa macho manne Kwa kila Jambo wanalofanya na Kwa kila hatua wanayoichukua hatutakiwi kuwachukulia kama majirani wengine waliotuzunguka .
 
Back
Top Bottom