Kenya to build 50MW solar power plant in Garissa

Kenya to build 50MW solar power plant in Garissa

Huko Garisa kumejaa wasomali si ndio ngome ya Alshabaab.Wataacha kufurumusha makombora huko?
Kila msomali ni alshabaab? Hizi akili za kuazima utazirejesha kwa zero brain mwenzako saa ngapi?
 
Mdau amekuulizia kuhusu cost benefit analysis yako ya hiyo fence hadi uiite nonsense,
And I believe you have facts in your fingertips to defend your claim that the fencing the Mine was Nonsense.
Karibu!
Cost benefit analysis wawape waliojenga
 
Kwa hiyo kwa JPM kuzindua hiyo project ndio it turned useless? The difference occurred so early just after its completion in only three months more than 800 millions tax collected the same period back was less than 40 million tax returns.

So you are stupid
People of maneno miiingi with nothing tangible,weka evidence sio blah blah zenu za kila siku kujifsriji
 
Kila msomali ni alshabaab? Hizi akili za kuazima utazirejesha kwa zero brain mwenzako saa ngapi?
Alshaabab wana support kubwa ya wasomali vinginevyo wasingewezakama kukamata baadhi ya maeneo ya Somalia na kufanya mashambulizi watakavyo.Ukweli ingawa mchungu!
 
Alshaabab wana support kubwa ya wasomali vinginevyo wasingewezakama kukamata baadhi ya maeneo ya Somalia na kufanya mashambulizi watakavyo.Ukweli ingawa mchungu!
Unajua tofauti ya Somali na Somalia? Na je unajua Garrissa ipo wapi kwenye ramani ya nchi ya Kenya?
 
Unajua tofauti ya Somali na Somalia? Na je unajua Garrissa ipo wapi kwenye ramani ya nchi ya Kenya?
Mzee povu!! Umeona uje na maswali ili umtishe mtu [emoji1], hayo maswali ya ramani ya nini sasa!! kwani tupo kwa class? Acha umama

Nyie jengeni muwape al shabaab cha kufanya [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mzee povu!! Umeona uje na maswali ili umtishe mtu [emoji1], hayo maswali ya ramani ya nini sasa!! kwani tupo kwa class? Acha umama

Nyie jengeni muwape al shabaab cha kufanya [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kama hoja za hapa Jf zimekulemea bana, mabraza du wenzako wanakungoja kule Instagram mkaendeleze umbea wenu.
 
Uko kwako na yule engineer wenu wa Mombasa
hello-prayer-warriors-i-need-backup.jpg
 
Wangeweka lami badala ya barabara ya vumbi but all in all good progress.....

DkugLAKX0AAUiYI.jpg


DkugLBOX4AAraVT.jpg


DkugLB4XoAAanSz.jpg
 
hongereni sana



ila wabongo mnaoiponda serikali yenu mnatia aibu hawaa majirani zetu wanachangamoto nyingi kwenye serikali yao ila hawajawahi kukaa nakuibeza hadharani tena kwenye mtandao huu wa JF
 
Back
Top Bottom