Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Bwahahaaaa...fire man, inspectoriate, driver...
Km hzo kwenu ni high end jobs sawa[emoji23][emoji23]
Ila usijali...
Hku mtu akishamaliza kusoma hajisumbui kuzamia mjini...kw sababu county kazi zipo, so itategemea na utenda kazi wa gavana tu
Namba hazidanyi, Kenya inakuwa kwa 5-6%, hiyo haitoshi kuzalisha hizo ajira unazoziongelea, isitoshe ni watu wangapi wa Kibera wanaoweza kuapply hizo kazi ulizoweka?