Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Em niletee, nimemiss kucheka 😑Nikikuletea mawaziri wa county hutokasirika[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Em niletee, nimemiss kucheka 😑Nikikuletea mawaziri wa county hutokasirika[emoji23][emoji23]
Haina haja nikupeleke mbaliLOL muite council muite County muite federal muite senate haibadilishi ukweli kwamba hakuna wizara kwenye County wala hakuna ajira inayotelewa na governor.
LOL ACTING what? Eti 'acting' hiyo ni movie sio real secretary huku tunaita Waziri kivuliHaina haja nikupeleke mbali
Umeelewa nn hapo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1264263
My friend umeelewa kwel hicho nilichokuletea jamani...huyo mwanamke alikua acting na bado akatolewa..LOL ACTING what? Eti 'acting' hiyo ni movie sio real secretary huku tunaita Waziri kivuli
Is useless like 'p' in psychology
OK let make this simpleMy friend umeelewa kwel hicho nilichokuletea jamani...huyo mwanamke alikua acting na bado akatolewa..
Hat matiangi asahwai kuwa acting katika wizara ya elimu...hicho ni kitu cha kawaida sana
Baadhi ya mawaziri walioteuliwa na gavana sonko
[/URL]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona umeanza kupata somo...kukuletea majina ya mawaziri wote kila county uongo..hyo ni kazi ya kimbweha, en google is your friend...OK let make this simple
Niletee majina 21 ya mawaziri waliopo kwenye County ya Nairobi kwanza kisha niletee majina 21 kwenye kila County moja katika County 47
Kisha sasa niletee majina ya mawaziri 21 kwenye Central government yenu
Hapo tutaenda sawa
LOL[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona umeanza kupata somo...kukuletea majina ya mawaziri wote kila county uongo..hyo ni kazi ya kimbweha, en google is your friend...
Nitajie county yyte nikuleteemajina ya mawaziri
Kenya haina mawaziri 1008..LOL
Madai yako ni kwamba mna mawaziri kwenye kila County
Kenya ina County 47
Mawaziri 21
47 mara 21 = 987 + 21 Central government ministers
Kwa hiyo Kenya ina jumla ya mawaziri 1008
Wewe lazima utakua na matatizo ya ufahamu na ndio maana nakuulizaga umri wako.
Nitajie idadi ya wizara kwenye CountyKenya haina mawaziri 1008..
Hayo madai ni yako...
Ukwel ni kwamba counties pia zina wizara zake..una la ziada..
Nitajie county moja nikuletee wizara zake mpka mawaziri
Yani we unataka kubisha tu...Nitajie idadi ya wizara kwenye County
Nataka kuona treasury za kila countyYani we unataka kubisha tu...
Amini vile untaka basi, am off..
Mtu unakaa ni km huzijui wizara ni ngapi
Tufanyaje Tandale sasa Mama bagamoyo??The Move aims to push the slum dwellers to periphery