realsam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 289
- 135
$1 = Ksh 101
$1 = Tsh 2,290
Kojoa ulale.
WE SHANGILIA TU... MATOKEO YAKE UTAKUJA KULIA NA KUTOA CHOZI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
$1 = Ksh 101
$1 = Tsh 2,290
Kojoa ulale.
TANZANIA hatuwezi kufanya UPUMBAVU HUO.😀😀😛🙄🙄🙄
Acha kuzungumza utumbo wewe, hivi unajua maana na umuhimu wa serikali kuendesha bandari zake?, au kumiliki visima vya mafuta kama ilivyo nchi za uarabuni?.Unaelewa maana ya privatization wewe?
We have been privatizing government companies since the 1980s.
In fact, the 26 being privatized now have been delayed since Kibaki's regime.
Kazi ya serikali ni kuokota ushuru kutoka makampuni, sio kuendesha hayo makampuni.
Ukiangalia profit, hayo makampuni yote 26 yaliachwa nyuma na makampuni binafsi. Majority sasa hivi ni loss making.
Acha kuzungumza utumbo wewe, hivi unajua maana na umuhimu wa serikali kuendesha bandari zake?, au kumiliki visima vya mafuta kama ilivyo nchi za uarabuni?.
Privatization ni second option kama serikali imeshindwa kuendesha, lakini sio kitu cha kufurahia hata kidogo katika mashirika muhimu kama KPA, Kenya pipe line, na Kenya Electricity company, jaribuni kuyauza muoni bei ya UMEME kwa unit itakua Mara nne ya bei ya sasa hivi ndani ya mwaka mmoja.
Kitu kinachosikitisha kwa Kenya ni kwamba mnauza haya mashirika ili muweze kufidia bajeti yenu, ambayo zaidi ya 50% ya bajeti yenu mnalipa madeni, kwa hiyo pesa mtakazopata mtaenda kulipa madeni.
Acha kuzungumza utumbo wewe, hivi unajua maana na umuhimu wa serikali kuendesha bandari zake?, au kumiliki visima vya mafuta kama ilivyo nchi za uarabuni?.
Privatization ni second option kama serikali imeshindwa kuendesha, lakini sio kitu cha kufurahia hata kidogo katika mashirika muhimu kama KPA, Kenya pipe line, na Kenya Electricity company, jaribuni kuyauza muoni bei ya UMEME kwa unit itakua Mara nne ya bei ya sasa hivi ndani ya mwaka mmoja.
Kitu kinachosikitisha kwa Kenya ni kwamba mnauza haya mashirika ili muweze kufidia bajeti yenu, ambayo zaidi ya 50% ya bajeti yenu mnalipa madeni, kwa hiyo pesa mtakazopata mtaenda kulipa madeni.
Lol. You don't even know your own country.
National Bank of Commerce
National Insurance Corporation (NIC)
Air Tanzania Company Ltd (ATCL)
Tanzania Telecommunication Company Ltd (TTCL)
Hayo ni baadhi ya makampuni 200+ ambayo serikali yenu imefanya wholly or partial privatization.
I have no problem commenting on any thread. On this one I had to set the record straight.
If I see ignorance, I say this is ignorance.
And if your opinion is not similar to 'Dr. Mumbi's', you should have posted the video plus your thoughts. That statement you posted with the video is your opinion in this case.
WE NDO NJINGA KWELI..
Air Tanzania Company Ltd (ATCL) - Iko chini ya serikali ndo maana tumenunua ndege zetu mpya cash kwa pesa ya serikali.
Tanzania Telecommunication Company Ltd (TTCL) - iko chini ya serikali, we mshamba kweliiiiiiiiiiiiiiiii
Nobody care whether you believe that I should have posted the video plus my thoughts or not.
Sawa mkuu.
Sasa nimejua sababu haya makampuni ya kitambo ata hayawezi shindana ukanda huu wa Africa Mashariki.
BORA YASISHINDANE LAKINI C KWA UJINGA HUO MNAOUFANYA.
KWA SS HATUNA SHIDA TU RAISI BORA AFRIKA BILA SHAKA YATAKUAWA COMPETETIVE.
TUMESHANUNUA NDEGE SABA - UNATAKA NINI TENA, IN 3 YEARS.
BORA YASISHINDANE LAKINI C KWA UJINGA HUO MNAOUFANYA.
KWA SS HATUNA SHIDA TU RAISI BORA AFRIKA BILA SHAKA YATAKUAWA COMPETETIVE.
TUMESHANUNUA NDEGE SABA - UNATAKA NINI TENA, IN 3 YEARS.
KWA SS HATUNA SHIDA TU RAISI BORA AFRIKA BILA SHAKA YATAKUAWA COMPETETIVE.
Are you the person on that video?
You need to see a brain doctor ASAP.
1. No where has it been said that they are being sold to China. Anyone with the money can buy them.
2. I don't know whether you've ever heard of the word 'privatization'. It is done by government world over.
Yule ni kondoo sio mbuziHawa jirani zetu tatizo wana tambo zisizo na msingi.
Yaani dunia nzima wanajua hali yao ni mbaya kwenye swala la deni la taifa na wako kwenye hati hati ya kupandishiwa kodi anatokea mbuzi mwingine anakwambia 'Kenya Shilling is Getting Stronger'
Wewe kweli ni Zero Brain. Just let us wait and see after privatization. RVR inaendeleaje?? Yetu macho..Unaelewa maana ya privatization wewe?
We have been privatizing government companies since the 1980s.
In fact, the 26 being privatized now have been delayed since Kibaki's regime.
Kazi ya serikali ni kuokota ushuru kutoka makampuni, sio kuendesha hayo makampuni.
Ukiangalia profit, hayo makampuni yote 26 yaliachwa nyuma na makampuni binafsi. Majority sasa hivi ni loss making.
Can you say the same thing to the Chinese and India?? Who owns Boeing and Airbus companies ??🙂🙂🙂 Wazungu wenyewe walishindwa kuyafanya makampuni yako ya serikali competitive, ikabidi wame privatize.
Lakini wewe hapa unadhani Supreme leader wenu ndiye ako na formula.
1) Motive ya kuyauza haya makampuni kwa sasa ni ili kupata pesa ya kufidia bajeti, hata kama mpango huo ulikuwepo, lakini kwa sasa ni ili kupata pesa za bajeti. Wakenya majority wanalijua hiliUsual alarmist.
Privatization ni ya kampuni ya port operations. Sio port yenyewe.
Pipelines in countries like the US are in private hands. Rockefeller mwenyewe ndiye alijenga ya kwanza.
KenGen is one of several electricity generating companies. Already a good part of our electricity generation iko in private hands, including company moja huko Turkana amabayo Google iko na shares.
Privatizing electricity production haimaanishi serikali haiwezi regulate bei. Hata sasa hivi, petroleum is private, lakini serikali inaregulate bei.
Huu uwongo mnaeneza hapa ati tunauza kwa sababu ya bajeti.
Process ya kuuza haya makampuni ilianza serikali ya Kibaki. In fact, ata wakati wa Moi makampuni kadhaa yaliuzwa.
Yes, ni ukweli kwamba tutapata pesa za bajeti, lakini hio sio the main reason ya kuprivatize.
Kama nilivyoambia mwenzako, nenda kasome kuhusu the Kenya Privatization Commission, established in 2005.
Soma mission yake, aim zake nk.