So kama wamekamatwa tunafanyaje,mid income unapigwa hadharani kwa ajili ya njaa!
Wachina wenyewe wamekamatwa na polisi. Soma habari wacha kuzubaa zubaa tu.
People need food not terminology, you are very good in changing terminologies, from New and the best constitution, BBI, Tangatanga, Kieleweke and so many others, but all can't help when Kenyans are dying of hunger yearly. Stop your stupidity for a while and help your brothers and sisters who are in their death beds because of hungerand they are not just words boy,those are terminologies we use in econ to gauge productivity,things you wouldnt understand
Ya Dewj na Azania zinatoka wapi ??95% ya ngano ya Azam inatoka Tanzania, huyo ni pimbi mwenzako
Show me where he said Kenya imports is not 70%Okay. Show me where president Uhuru said that Kenya imports 70% of its food.
Azam ni mfanyabiashara mkubwa sana hapa Afrika, huwa anaagiza mali ghafi sana toka nje, pia anasafirisha malighafi toka hapa Tanzania kwenda katika viwanda vyake vilivyopo nchi za nje, kwa mfano, kwa mwaka mmoja anaingiza tani nyingi sana ya za sukari ya viwandani toka nje, 5-10% ya ngano yake hutoka nje ya nchi, pia huchukua tenda ya kuagiza baadhi ya vyakula katika kipindi ambacho Tanzania inakumbwa na upungufu wa vyakula kama mahindi, mchele na Sukari, japo ktk miaka ya karibuni hatujapata tatizo la chakula isipokua Sukari pekee.Ya Dewj na Azania zinatoka wapi ??
Zile tiper zake zinazoendaga bandarini hua zinaenda kuchua nini ? Na vile vinu vyake(azam) bandarini kule hua anashushia mzigo gani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikwete na Mkapa wote wapo Kenya na huku wewe unaongea matope kuhusu Kenya. Hata wanamuziki wenu wanashinda huku kila siku. Wewe unaona tu eti tuna njaa. Sisi tunawakaribisha Watz kwa upendo lakini nyie ni matusi tu.People need food not terminology, you are very good in changing terminologies, from New and the best constitution, BBI, Tangatanga, Kieleweke and so many others, but all can't help when Kenyans are dying of hunger yearly. Stop your stupidity for a while and help your brothers and sisters who are in their death beds because of hunger
sasa kwenye msiba wa dictator Moi hutaki waje kuzika?Kikwete na Mkapa wote wapo Kenya na huku wewe unaongea matope kuhusu Kenya. Hata wanamuziki wenu wanashinda huku kila siku. Wewe unaona tu eti tuna njaa. Sisi tunawakaribisha Watz kwa upendo lakini nyie ni matusi tu.
Waje tu, mimi sina shida ila matusi mpunguze jamani.sasa kwenye msiba wa dictator Moi hutaki waje kuzika?
Matusi yapi? Unajua Moi si vile kama mnavyomdhani nyie! Hana taswira nzuri nje ya Kenya sasa msilaumu watu kutochukulia umuhimu msiba wake!Waje tu, mimi sina shida ila matusi mpunguze jamani.
Moi alikuwa dikteta kama tu Magufuli, tena kesho atapozikwa wakenya walio wengi na wale ambao walidhulumiwa naye wataenjoy sio siri. Aliwatesa wakenya kwa miaka 24 akipigwa jeki na kusifiwa na chama chake cha KANU. Yaani ndio yale yale ambayo mnafanyiwa na Jiwe na chama chenu cha CCM.Matusi yapi? Unajua Moi si vile kama mnavyomdhani nyie! Hana taswira nzuri nje ya Kenya sasa msilaumu watu kutochukulia umuhimu msiba wake!
Bado mnaexport minofu Qatar ama uhaba was ndege na hofu za ndege kukamatwa zilididi? Maji yalizidi unga?Your
Your President speaks differnt language of yours, that Kenya can't feed itself currently and situation will get worse in future. This is the man Who knows each and everything about Kenya, Stop your denial now and start to be real. Watch and listern to the video clip above.