But thats Bullshit, Kenya inazalisha < 2 000 MW za umeme, wakati ina watu zaidi ya milioni 45, huo ni umeme mdogo sana na hauwezi kufanya chochote.
Vuvuzela zako hizi tumezoea, sisi tunajivunia kwenye hatua yetu, mzungu alijenga Afrika Kusini na akagoma kuondoka, ila sisi tunaijenga nchi yetu wenyewe tofali kwa tofali hivyo tuna haki ya kusheherekea mafanikio yetu kwa kila hatua. Nyie liinchi lote hilo lenye kila kitu halafu hata nusu yenu hamjaunga kwenye umeme halafu unataka tujadili mambo ya Afrika Kusini.
Muzungu anaingiaje hapa? Isitoshe Kenya imeongeza MW ngapi kuacha zile alizoacha Muzungu miaka 50 iliyopita? Na Je, Malysia pia ni Muzungu amejenga? ambo mengine ni ya kukaa kimya tu na kuendelea kupiga kazi, lkn kujisisfu nchi nzima kuzalisha chini ya
2 000MW siyo sawa.
Megawatts mingi za Afrika Kusini huenda kwa mining. Jibu umepata.
Kenya hatuna large mining operations, kwa hivyo consumption yetu mingi ni small consumers.
Hili suala nusra tutoane macho humu kipindi fulani, tulibishana na Watanzania hadi uzi ukapata kurasa nyingi za pumba tupu.
Ni ajabu Kenya kainchi kadogo bila madini, halafu zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini waliounganishwa na umeme ni mara mbili ya Tanzania
Yaani Kenya 75% wameunga tayari
Zaidi ya mara mbili ya Tanzania ambao ni 32.8%
Zaidi ya mara tatu ya Uganda 22%
Hii nchi yetu ni baba mkubwa ukanda huu, kila Mkenya tembea kifua mbele na usikubali kuambiwa kitu na mtu, tuendelee kujituma, tutie bidii, tupo sahihi tena kwenye njia kuu "raiti traki" kama wasemavyo Wabongo.
Hata Kenya pia sehemu kubwa ya 1800 MW inazalishwa inakwenda kwenye mining pia kama Magadi soda, cement production, Viwandani n.k. na sehemu ndogo sana ya hiyo 1 800 MW ndiyo hutumiwa na watu ambao labda wanawasha tu incandenscent bulb
Lol. Unaongea kuhusu mining companies mbili. Kenya hatuna madini.
Mining in South Africa is a $40 billion a year industry. Here in Kenya I don't think its even $1 billion a year.
Take some English class, brother...perishing for hunger.
Muzungu anaingiaje hapa? Isitoshe Kenya imeongeza MW ngapi kuacha zile alizoacha Muzungu miaka 50 iliyopita? Na Je, Malaysia pia ni Muzungu amejenga? Mambo mengine ni ya kukaa kimya tu na kuendelea kupiga kazi, lkn kujisisfu nchi nzima kuzalisha chini ya 2 000MW siyo sawa.
Hio 32.8% ya 2016 ..world bank report ..mnataka mjikute superior....yenu ya 2016 ilikuwa 56% mmefika 75% ni 2019 ..niletee ya tz 2019 sio ku compare na zamanHili suala nusra tutoane macho humu kipindi fulani, tulibishana na Watanzania hadi uzi ukapata kurasa nyingi za pumba tupu.
Ni ajabu Kenya kainchi kadogo bila madini, halafu zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini waliounganishwa na umeme ni mara mbili ya Tanzania
Yaani Kenya 75% wameunga tayari
Zaidi ya mara mbili ya Tanzania ambao ni 32.8%
Zaidi ya mara tatu ya Uganda 22%
Hii nchi yetu ni baba mkubwa ukanda huu, kila Mkenya tembea kifua mbele na usikubali kuambiwa kitu na mtu, tuendelee kujituma, tutie bidii, tupo sahihi tena kwenye njia kuu "raiti traki" kama wasemavyo Wabongo.
Huko Malaysia unafuata nini, tunazungumza vya hapa hapa EAC, wacha kutumia vitu vya nchi za watu kujisifia.
Mzungu aliijenga Afrika Kusini na mpaka sasa yupo anaijenga, sisi wazee wetu walipokezwa uongozi bila ya kujua pakuanzia maana hawakua wamesoma, hakukua na miundo mbinu ya maana, ila taratibu tumeijenga hadi hapo tulipo kama kiongozi Affrika mashariki na Kati, tumewazidi mataifa yote ukanda huu, nyote LDC ilhali hatuna madini na ardhi yetu ndogo sana.
Kwa hiyo wewe ni inferior kwa Mmalaysia /Muzungu? Kwa nini ushindwe kujilinganisha na Mmalaysia/Muzungu?
Kwa sababu Mzungu aliikoloni Afrika, yeye kwake alianza shughuli za viwanda karne kadhaa zimepita, sisi tumeanza miaka michache sana. Hivyo yeye anayo kitu kinachoitwa head-start ya mbali, ila tunaenda kwa kiwango chetu na kujivunia kila hatua tunayopiga.
Ndio maana unakuta Tanzania mnasheherekea nchi yote kwa Taifa stars kufuzu kuhusika kwenye michuano ya kombe la Afrika, sasa angekuja chizi kama wewe ahoji na kusema ni aibu maana mlifaa kusheherekea ushindi wa kombe la dunia.
Celebrate your little victories, step by step....
Kimsingi ni kwamba, ukanda wote huu hakuna wa kuongea mbele yetu, tumewabamiza nyote kimiundo mbinu, kielimu, kijeshi n.k.
Take some English class, brother...
Kenya's installed capacity is currently above 2400MWMambo mengine hata muwe mnaona aibu kuandika, Kenya ina watu zaidi ya milioni 45 inatumia < 2 000 MW, hii ni aibu kubwa sana kwa kweli, kuna kipi cha kujivunia hapo? AK ina watu karibia sawa na Kenya inazalisha > 48 000 MW za Umeme na bado wana shida ya umeme, Malaysia ina watu milioni 32 inazalisha zaidi ya 34 000 MW za Umeme halafu mnaongelea 2 000 MW Kenya na kujisifu?
Kenya's installed capacity is currently above 2400MW
what about Danganyika? a nation of almost 60million people, miserable though they have everything in resources.Mambo mengine hata muwe mnaona aibu kuandika, Kenya ina watu zaidi ya milioni 45 inatumia < 2 000 MW, hii ni aibu kubwa sana kwa kweli, kuna kipi cha kujivunia hapo? AK ina watu karibia sawa na Kenya inazalisha > 48 000 MW za Umeme na bado wana shida ya umeme, Malaysia ina watu milioni 32 inazalisha zaidi ya 34 000 MW za Umeme halafu mnaongelea 2 000 MW Kenya na kujisifu?
Ongea about connectivity in Danganyika ya watu 60m. 32% is shame..Hata kama ni 5000 MW bado ni ndogo sana kwa matumizi ya watu zaidi ya miloni 45 kuweza hata kujivunia!