Kenya Tops East Africa in Access to Mains Electricity

Kenya Tops East Africa in Access to Mains Electricity

Hapa hoja ni Electricity access bwana sio GDP..
Ukitaka GDP kumbuka Imf imesema kenya currency ni 17.5% inflated😂😂 kubali hilo kwanza vile unakubali IMF kusema gdp ni $99b
Boss fuata thread ujue mambo ya GDP imeanza wapi kati yangu na yeye.
 
The devil is in the details anasema Muzungu, Kenya haizalishi zaidi ya 2 000 MW na watu zaidi ya milioni 45, sasa, mtacheza na namba na misamiati ya kizungu sijui connectivity mnavyotraka lkn huo ni umeme mdogo sana kwa zaidi ya milioni 45 haijalishi namba gani mnaweka!
Mbona machungu?
 
Uchumi kubwa kuwaliko, high electricity access kuwaliko, high literacy levels kuwaliko....i can go on and on and on
Labda Uchumi wa kwenye makaratasi, kwenda kujifunza kingereza tu shuleni huku kichwani hamna kitu, tribalism, wivu, ukora nk
 
Muzungu anaingiaje hapa? Isitoshe Kenya imeongeza MW ngapi kuacha zile alizoacha Muzungu miaka 50 iliyopita? Na Je, Malaysia pia ni Muzungu amejenga? Mambo mengine ni ya kukaa kimya tu na kuendelea kupiga kazi, lkn kujisisfu nchi nzima kuzalisha chini ya 2 000MW siyo sawa.
Tunazalisha zaidi ya 2,500 MW. matumizi ndio yako 1,800 MW. Nyie mnazalisha chini ya 1,800 MW matumizi yako chini ya 1,300 MW.
 
Ndio maana inaitwa gdp ya makaratasi, Tz tunaiita lake Nyasa not lake Malawi.
Mmewaibia Wamalawi lake yao kwa sababu wao ni wanyonge kushinda nyinyi.
 
Hivi mijubilee bado mnajifariji na FAKE NEWS???
Reporti ya WB kuhusu electricity connections mwisho kuchapishwa ni 2016
KENYA 56%
TANZANIA 32.8%
ukitaka uhalisia nenda
View attachment 1116081
View attachment 1116084View attachment 1116085

Wapi WB wamesema eti kenya sasa ina 75% au Tz bado wamekomalia 32.8%.
FAKE NEWS
Latest report inasema KE imefika 74 percent
 
Mmewaibia Wamalawi lake yao kwa sababu wao ni wanyonge kushinda nyinyi.
Ile ni nusu kwa nusu mkuu, ile ni mpaka, hatuwezi ruhusu wale puppets kusogelea mpaka wetu hadi kwenye shores, sisi sio somalia wanawaachia mnauza offshore oil fields alafu wanaenda mahakamani, tunakutandika kwanza alafu mahakamani badae.
 
Ile ni nusu kwa nusu mkuu, ile ni mpaka, hatuwezi ruhusu wale puppets kusogelea mpaka wetu hadi kwenye shores, sisi sio somalia wanawaachia mnauza offshore oil fields alafu wanaenda mahakamani, tunakutandika kwanza alafu mahakamani badae.
Nyinyi ni wanyanyasaji tu, mbona inaitwa lake Malawi na sio lake Tanzania.
 
Nyinyi ni wanyanyasaji tu, mbona inaitwa lake Malawi na sio lake Tanzania.

Hili la ziwa kiaina huwa nawaelewa Watanzania maana huwa wamekaliwa kishenzi hadi kukojolewa mdomoni, yaani hebu chukulia ziwa Victoria uambiwe wakazi wa Kisumu kila wakigusa hayo maji wanakua wameingia kwenye nchi ya watu, eti mpaka uwe kwenye fukwe, muwe mnaomba ruhusa hata ya kwenda kuvua samaki.
Sijui ufala gani uliwaingia Watanzania wakakubali kupokezwa mpaka uliokaa kihivyo....hawa huwa mtihani sana, yaani wamezoea kuliwa kote kote.

Hebu ona hii ramani ilivyokaa ovyoo

Malawi-tanzania-2.png
 
Nyinyi ni wanyanyasaji tu, mbona inaitwa lake Malawi na sio lake Tanzania.
Inaitwa lake nyasa, former name of the area around before colonial boundaries, it was for all people bordering it, that is what Tz wants. Otherwise ni vita mura.
 
Ndio maana inaitwa gdp ya makaratasi, Tz tunaiita lake Nyasa not lake Malawi.
You can call it whatever you want to call it...GDP size is not a matter of public opinion, its a calculated number.
hata useme ni makaratasi ama unyamaze hayatakuwa.. enda ukale albino
 
Mwangalieni huyu! Yaani wewe umeingia World Bank website, ukaona hiyo link na wewe ukaibeba kama ilivyo bila hata kusoma! Kama umesoma, ungekutana na hiki kitu:-
View attachment 1116268

Ukiangalia hiyo figure, inafanana na approximation za kwangu ambazo niliandika:-Sasa hivi nyie Wapwa zetu shule mnaenda kusomea nini?! Au mkishajua Kiingereza cha kuwatambia Watanzania tu, basi!!!

Wacha upumbavu. Go download the PDF provided with 2019 figures.
The website is talking of 2017 figures.
 
Hili la ziwa kiaina huwa nawaelewa Watanzania maana huwa wamekaliwa kishenzi hadi kukojolewa mdomoni, yaani hebu chukulia ziwa Victoria uambiwe wakazi wa Kisumu kila wakigusa hayo maji wanakua wameingia kwenye nchi ya watu, eti mpaka uwe kwenye fukwe, muwe mnaomba ruhusa hata ya kwenda kuvua samaki.
Sijui ufala gani uliwaingia Watanzania wakakubali kupokezwa mpaka uliokaa kihivyo....hawa huwa mtihani sana, yaani wamezoea kuliwa kote kote.

Hebu ona hii ramani ilivyokaa ovyoo

Malawi-tanzania-2.png
Enyewe ni kweli wamekaliwa. Nilisikia ilibidi wapigane mangumi na Malawi ili heshima ipatikane.
 
Inaitwa lake nyasa, former name of the area around before colonial boundaries, it was for all people bordering it, that is what Tz wants. Otherwise ni vita mura.
Kwa hivyo ilibidi mpigane makonde na Malawi? Nani alishinda kwenye hio vita?
 
Back
Top Bottom