Boss fuata thread ujue mambo ya GDP imeanza wapi kati yangu na yeye.Hapa hoja ni Electricity access bwana sio GDP..
Ukitaka GDP kumbuka Imf imesema kenya currency ni 17.5% inflated😂😂 kubali hilo kwanza vile unakubali IMF kusema gdp ni $99b
Yani hawa wavivu hata wanyarwanda wanawashinda!! Maajabu haya
Nyie wachapa kazi mna nn?Yani hawa wavivu hata wanyarwanda wanawashinda!! Maajabu haya
Mbona machungu?The devil is in the details anasema Muzungu, Kenya haizalishi zaidi ya 2 000 MW na watu zaidi ya milioni 45, sasa, mtacheza na namba na misamiati ya kizungu sijui connectivity mnavyotraka lkn huo ni umeme mdogo sana kwa zaidi ya milioni 45 haijalishi namba gani mnaweka!
Uchumi kubwa kuwaliko, high electricity access kuwaliko, high literacy levels kuwaliko....i can go on and on and onNyie wachapa kazi mna nn?
Labda Uchumi wa kwenye makaratasi, kwenda kujifunza kingereza tu shuleni huku kichwani hamna kitu, tribalism, wivu, ukora nkUchumi kubwa kuwaliko, high electricity access kuwaliko, high literacy levels kuwaliko....i can go on and on and on
Ndio maana inaitwa gdp ya makaratasi, Tz tunaiita lake Nyasa not lake Malawi.Go jump into Lake Malawi,
Tunazalisha zaidi ya 2,500 MW. matumizi ndio yako 1,800 MW. Nyie mnazalisha chini ya 1,800 MW matumizi yako chini ya 1,300 MW.Muzungu anaingiaje hapa? Isitoshe Kenya imeongeza MW ngapi kuacha zile alizoacha Muzungu miaka 50 iliyopita? Na Je, Malaysia pia ni Muzungu amejenga? Mambo mengine ni ya kukaa kimya tu na kuendelea kupiga kazi, lkn kujisisfu nchi nzima kuzalisha chini ya 2 000MW siyo sawa.
Mmewaibia Wamalawi lake yao kwa sababu wao ni wanyonge kushinda nyinyi.Ndio maana inaitwa gdp ya makaratasi, Tz tunaiita lake Nyasa not lake Malawi.
Latest report inasema KE imefika 74 percentHivi mijubilee bado mnajifariji na FAKE NEWS???
Reporti ya WB kuhusu electricity connections mwisho kuchapishwa ni 2016
KENYA 56%
TANZANIA 32.8%
ukitaka uhalisia nenda
View attachment 1116081
View attachment 1116084View attachment 1116085
Wapi WB wamesema eti kenya sasa ina 75% au Tz bado wamekomalia 32.8%.
FAKE NEWS
Ile ni nusu kwa nusu mkuu, ile ni mpaka, hatuwezi ruhusu wale puppets kusogelea mpaka wetu hadi kwenye shores, sisi sio somalia wanawaachia mnauza offshore oil fields alafu wanaenda mahakamani, tunakutandika kwanza alafu mahakamani badae.Mmewaibia Wamalawi lake yao kwa sababu wao ni wanyonge kushinda nyinyi.
Nyinyi ni wanyanyasaji tu, mbona inaitwa lake Malawi na sio lake Tanzania.Ile ni nusu kwa nusu mkuu, ile ni mpaka, hatuwezi ruhusu wale puppets kusogelea mpaka wetu hadi kwenye shores, sisi sio somalia wanawaachia mnauza offshore oil fields alafu wanaenda mahakamani, tunakutandika kwanza alafu mahakamani badae.
Nyinyi ni wanyanyasaji tu, mbona inaitwa lake Malawi na sio lake Tanzania.
Inaitwa lake nyasa, former name of the area around before colonial boundaries, it was for all people bordering it, that is what Tz wants. Otherwise ni vita mura.Nyinyi ni wanyanyasaji tu, mbona inaitwa lake Malawi na sio lake Tanzania.
You can call it whatever you want to call it...GDP size is not a matter of public opinion, its a calculated number.Ndio maana inaitwa gdp ya makaratasi, Tz tunaiita lake Nyasa not lake Malawi.
Weka evidence hapa kwamba
KE 75%
TZ 32%
Hauze tufanya vijakazi wako na tumekupatia data from WB website
Mwangalieni huyu! Yaani wewe umeingia World Bank website, ukaona hiyo link na wewe ukaibeba kama ilivyo bila hata kusoma! Kama umesoma, ungekutana na hiki kitu:-
View attachment 1116268
Ukiangalia hiyo figure, inafanana na approximation za kwangu ambazo niliandika:-Sasa hivi nyie Wapwa zetu shule mnaenda kusomea nini?! Au mkishajua Kiingereza cha kuwatambia Watanzania tu, basi!!!
Enyewe ni kweli wamekaliwa. Nilisikia ilibidi wapigane mangumi na Malawi ili heshima ipatikane.Hili la ziwa kiaina huwa nawaelewa Watanzania maana huwa wamekaliwa kishenzi hadi kukojolewa mdomoni, yaani hebu chukulia ziwa Victoria uambiwe wakazi wa Kisumu kila wakigusa hayo maji wanakua wameingia kwenye nchi ya watu, eti mpaka uwe kwenye fukwe, muwe mnaomba ruhusa hata ya kwenda kuvua samaki.
Sijui ufala gani uliwaingia Watanzania wakakubali kupokezwa mpaka uliokaa kihivyo....hawa huwa mtihani sana, yaani wamezoea kuliwa kote kote.
Hebu ona hii ramani ilivyokaa ovyoo
Kwa hivyo ilibidi mpigane makonde na Malawi? Nani alishinda kwenye hio vita?Inaitwa lake nyasa, former name of the area around before colonial boundaries, it was for all people bordering it, that is what Tz wants. Otherwise ni vita mura.