Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Mkuu mbona miss Tanzania yupo natural hata nywele hajaweka dawa na hajichubui.
Wenyu-wenuMnafikiri wazungu hawajui kilicho asili?....wengi wenyu humo tanganyika mnajichubua, meaning you are fake.
Kinachoangaliwa ni UASILIA WA MTU, UKUBWA WA AKILI...BONGO...BONGO..BONGO....
Hata nikimtazama dada huyu urefu na mpangilio wa mifupa (body frame)upo imara, wengi wenyu wabongo wafupi mithili ya MBILIKIMO WA KONGO, mikorogo,kujichubua,kichwani kweupe,wapi na wapi?
Kumbuka yule dada wa kinijeria aliyeshinda miss world zama zile...(AGBANI DAREGO)..tena alikua mweusi kama chokoleti vile, rangi tamu na adimu inayoashiria UAFRIKA.
Hongera zake dada wa kikenya, umeiwakilisha Afrika ulipofika hapo.
Rudi darasani ukajifunze nini tofauti ya East Africa Region and East Africa Community...Wabongo huwa mnatia aibu kwa elimu yenu duni, na usikute wewe hapo unategemewa sana kielimu huko.
Wenyu-wenu
tanganyika-Tanganyika
kwa hiyo wazungu ndo miungu wako....punguzu ujinga
usikiongee hapa unatutapisha"Wenyu" ndicho kiswahili changu, chako hicho kalitia mkunduo!..
kalb hayawan!
usikiongee hapa unatutapisha
Umeandika lugha isiyoelewekaMnafikiri wazungu hawajui kilicho asili?....wengi wenyu humo tanganyika mnajichubua, meaning you are fake.
Kinachoangaliwa ni UASILIA WA MTU, UKUBWA WA AKILI...BONGO...BONGO..BONGO....
Hata nikimtazama dada huyu urefu na mpangilio wa mifupa (body frame)upo imara, wengi wenyu wabongo wafupi mithili ya MBILIKIMO WA KONGO, mikorogo,kujichubua,kichwani kweupe,wapi na wapi?
Kumbuka yule dada wa kinijeria aliyeshinda miss world zama zile...(AGBANI DAREGO)..tena alikua mweusi kama chokoleti vile, rangi tamu na adimu inayoashiria UAFRIKA.
Hongera zake dada wa kikenya, umeiwakilisha Afrika ulipofika hapo.
Ww acha ufala wako ...east Africa community and east Africa region it's not the same thing....mmeanza kuwashobokea Ethiopia baada yakuona wanawapita kwa kila kitu sasahivi...Rudi darasani ukajifunze nini tofauti ya East Africa Region and East Africa Community...Wabongo huwa mnatia aibu kwa elimu yenu duni, na usikute wewe hapo unategemewa sana kielimu huko.
Umeandika lugha isiyoeleweka
[emoji23][emoji23]Labda bibiyo akutafsirie!..bongolala wahed!
Ethiopia Somalia sudan Eritrea mpaka mozambique ni EA nyerere ndio aliwa chocha ni EAC pekeeKhaa hadi mambo ya wanawake mnaleta league? Sasa Ethiopia ipo east Africa tangu lini...
Unachomeaje ma nguchi picha hvi [emoji23][emoji23]Rudi darasani ukajifunze nini tofauti ya East Africa Region and East Africa Community...Wabongo huwa mnatia aibu kwa elimu yenu duni, na usikute wewe hapo unategemewa sana kielimu huko.
Vanessa mdee ameenda statehouse girls akaingia USIU i consider her KenyanWabongo full majungu hata kwa wanawake, nyie mlirogwa zamani na hamna dawa.
Ndio maana hata Mdee anawaita vidume suruali kwenye wimbo wake...
Tatizo lenu mnakula milaaa (milungi) ndio maana mnakuwa wapuuzi puuuziLabda bibiyo akutafsirie!..bongolala wahed!
Btw she is the one who hosted the ALBINO BEAUTY PEAGENT [emoji7]
Milaaaa ni nini????Tatizo lenu mnakula milaaa (milungi) ndio maana mnakuwa wapuuzi puuuzi
Uku kwetu Tanzania, milaaa (milungi) ni Madawa ya Kulevya