KENYA TUnawakilishi tuu!!!

KENYA TUnawakilishi tuu!!!

Mkuu mbona miss Tanzania yupo natural hata nywele hajaweka dawa na hajichubui.

Huenda hajafikIa alikofika dada huyu mkenya kwasababu kichwani huyo mbilikimo wenyu yu mweupe pee!.., kama mlivyo tu watanzania..BONGO..BONGO..BONGO
 
C0BcW3gWEAAWDye.jpg
 
Mnafikiri wazungu hawajui kilicho asili?....wengi wenyu humo tanganyika mnajichubua, meaning you are fake.
Kinachoangaliwa ni UASILIA WA MTU, UKUBWA WA AKILI...BONGO...BONGO..BONGO....
Hata nikimtazama dada huyu urefu na mpangilio wa mifupa (body frame)upo imara, wengi wenyu wabongo wafupi mithili ya MBILIKIMO WA KONGO, mikorogo,kujichubua,kichwani kweupe,wapi na wapi?
Kumbuka yule dada wa kinijeria aliyeshinda miss world zama zile...(AGBANI DAREGO)..tena alikua mweusi kama chokoleti vile, rangi tamu na adimu inayoashiria UAFRIKA.
Hongera zake dada wa kikenya, umeiwakilisha Afrika ulipofika hapo.
Wenyu-wenu
tanganyika-Tanganyika
kwa hiyo wazungu ndo miungu wako....punguzu ujinga
 
Wajua kuwa beauty peagent, lazima uwe beautiful, intelligent, innovative and fast in reaction, has intelligence ndo huangusha wengi!
 
Rudi darasani ukajifunze nini tofauti ya East Africa Region and East Africa Community...Wabongo huwa mnatia aibu kwa elimu yenu duni, na usikute wewe hapo unategemewa sana kielimu huko.

slide_2.jpg

Mkuu!

Natumai kapata darsa, mbilikimo hilo!

😀 mbilikimo wahed!
 
Mnafikiri wazungu hawajui kilicho asili?....wengi wenyu humo tanganyika mnajichubua, meaning you are fake.
Kinachoangaliwa ni UASILIA WA MTU, UKUBWA WA AKILI...BONGO...BONGO..BONGO....
Hata nikimtazama dada huyu urefu na mpangilio wa mifupa (body frame)upo imara, wengi wenyu wabongo wafupi mithili ya MBILIKIMO WA KONGO, mikorogo,kujichubua,kichwani kweupe,wapi na wapi?
Kumbuka yule dada wa kinijeria aliyeshinda miss world zama zile...(AGBANI DAREGO)..tena alikua mweusi kama chokoleti vile, rangi tamu na adimu inayoashiria UAFRIKA.
Hongera zake dada wa kikenya, umeiwakilisha Afrika ulipofika hapo.
Umeandika lugha isiyoeleweka
 
Uzalendo ndio wa Kenya, huyu demu ameonesha hivyo!!! kama wengine hawana flags, yeye lazima aibebe! We always love our country whenever we go in whatever we do!!
look at how she is proud of her flag!!!
C0BcW3VXAAAH4G1.jpg
 
Rudi darasani ukajifunze nini tofauti ya East Africa Region and East Africa Community...Wabongo huwa mnatia aibu kwa elimu yenu duni, na usikute wewe hapo unategemewa sana kielimu huko.

slide_2.jpg
Ww acha ufala wako ...east Africa community and east Africa region it's not the same thing....mmeanza kuwashobokea Ethiopia baada yakuona wanawapita kwa kila kitu sasahivi...
Nan elimu duni ndio ww uliesoma hongera sana!!
Mnapenda sana kuwashobokea Ethiopia kisa wamewakalisha
 
Khaa hadi mambo ya wanawake mnaleta league? Sasa Ethiopia ipo east Africa tangu lini...
Ethiopia Somalia sudan Eritrea mpaka mozambique ni EA nyerere ndio aliwa chocha ni EAC pekee
 
Rudi darasani ukajifunze nini tofauti ya East Africa Region and East Africa Community...Wabongo huwa mnatia aibu kwa elimu yenu duni, na usikute wewe hapo unategemewa sana kielimu huko.

slide_2.jpg
Unachomeaje ma nguchi picha hvi [emoji23][emoji23]
 
Wabongo full majungu hata kwa wanawake, nyie mlirogwa zamani na hamna dawa.
Ndio maana hata Mdee anawaita vidume suruali kwenye wimbo wake...

Vanessa mdee ameenda statehouse girls akaingia USIU i consider her Kenyan
 
Back
Top Bottom