Kenya -TZ Trade Wars

Naomba rejea swali nililokuuliza😝😝😝
 
Visasi vya kitoto kama hivi ni kawaida sana kwenye nchi zinazo ongozwa na madikteta. Yes, I said it.
 
Ukiweka ushabiki pembeni utapata jibu moja tu, Mombasa port inanuka rushwa. Kimahesabu ata kama bandari ya Dar ingekua na charges mara 2 ya Msa port hiyo biashara ya kuzunguka na mzigo kutoka Msa uulete kwa bus mpaka Dar na yule ambae anashusha Dar moja kwa moja wa Mombasa asingeweza kishindana. Kuna wakikuyu wanaingiza mzigo mwingi Msa port bila kulipa kodi na kuuza kwa bei za jumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa basi inawezekana ikawa na rushwa chungu mzima.unaweza kuwa sahihi vipi kuhusu wale wanaoenda uganda?
 
Visasi vya kitoto kama hivi ni kawaida sana kwenye nchi zinazo ongozwa na madikteta. Yes, I said it.
Hii ishu ilianza kipindi cha Kikwete ambapo Tz ilianza kukua kiuchumi kwa kasi..
Kwanza mnabidi mumshukuru Magufuli maana uchumi wetu unakua by decreasing rates

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usidhani unaijua biashara au diplomacy kuliko Uhuru, ishu ni mlikua at our own expense na mlifurahia kutuita SLEEPING GIANT.. sasa viwanda vinaanzishwa na ujasiriamali unashika kasi hivyo kufanya substitution ya imports kutoka kwenu...
Its just natural mzee

Kwanza nyie hamuishi kulalama maana you always want to feel superior while you are not.. Wakati Ethiopia mmeizidi kiuchumi mlikuwa mna kiburi sana ila baada ya Ethiopia kuchukua kiti cha Economical power wa Eastern Africa mkaanza mara wana large population kutuzidi..

Tulivyowakalisha kwenye tourism mkaanza mara mna vivutio vingi ili mradi tu muonekane the best...guys Kenyans mna insecurities sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asanteni wakenya kwa kuendelea kuleta pesa za kutosha nyumbanπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚

 
Offcourse, uchumi wa Tz umeshaupiku wa Kenya, tena kwa mbali sana.
Uchumi wa Tanzania upo chini ya Kenya katika figures.. Hilo hakuna mtu wa kubisha na hata HDI yenu iko high pia kuliko yetu..Hiyo ni kawaida

The fact is kwa nini wakenya mchukie every step tunayopiga ilhali ninyi ni Economical hub ya East Africa.. Issue ni moja tu ukimuona kaka anachukia kila step ya mdogo wake bhasi ni kuwa huyo mdogo wake ni THREAT...

Huwa sipendi huu ushabiki maana kwa kiasi una utoto lakini ukweli ni kuwa Wakenya mnatuongelea vibaya kuanzia forum zenu local na hadi zile foreign ..tuliopo huko tunajua.. You guys really look down on us nd when we make every tinny steps ,it really hurts your Ego

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We have the weakest administration ever, by now Kenya is supposed to have reciprocated and returned in kind every hate from Tanzania, inafaa tuwe na kiwango cha uvumilivu sio kuruhusu kila upuzi.

Deep inside you are weak, nyie wakenya mnajua nini zaidi ya Kingereza pekee??
Hamna lolote mnaweza fanya against the Mighty Tz
 
Sector ya ufisadi na ukabila ziko vizuri mungiki land
 
Kuna viwanda arusha 15 vimekufa,general tyres,Tanzania pharmaceuticals industries, Arusha food corporation etc hivi tu vikifululiwa tutaheshimiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…